sherehe

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini hatukuhudhuria Sherehe za kuzaliwa na kutawazwa kuwa Mfalme Mswati?

    “Ezulwini Palazzo” is the newest luxury and biggest tourism attraction infrastructure constructed by a company under Inyatsi Group after being contracted by the Eswatini Government. South African President Cyril Ramaphosa and other Heads of State within the Southern African Development...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Halafu Mungu aingilie kati watu tusifanye sherehe? Thubutu! Yaani ntashangilia hadi nizime, nikiamka naanza upyaaaaaaa!

    Wakuu, Si hata Mungu mwenyewe anaona vile wanatusogezea sabufa na wali wa hitima! Yaani yeye na genge lake wakiendelea kuanguka mmoja baada ya mwingine mabosi huo msiwe na hiyana, Boss usitubanie siku hiyo, tujipatie siku zetu mbili za kusherekea kwa kichwa😌😌 Siku hiyo ntapiga maji hadi...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Sherehe za miaka 78 ya Uhuru wa Israel Rais Isaac Herzog atoa salamu!!

    Salamu kutoka kwa Rais wa Israeli Isaac Herzog kwa jamii za Wayahudi duniani kote katika Siku ya Uhuru wa Israeli ya miaka 78.
  4. X

    JamiiForums Tanzania Moja ya tukio la kijinga na la kitoto ni kufanya sherehe ya HARUSI, ujinga ujinga mtupu

    Events za harusi zinaboa sana. Miaka nenda miaka rudi ukumbini mambo ni yaleyale: Ingia ukumbini Cheza kidogo Kata keki Tambulisha ndugu Toa zawadi Nenda kwenye msosi Muziki Tuwaage maharusi wetu wakapumzike (wakaichape) Kweli miezi 3-4 watu wazima wanakaa vikao kwa ajili ya ujinga kama...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Baada ya kusimamishwa Mapigano Magaidi wa Hezboulah na wafuasi wao wafanya Sherehe!!

    Magaidi wa Hezbollah na wafuasi wao wanasherehekea kote Lebanon kuanza kwa usitishaji vita wanazodai kuwa walishinda na kuanza kwa watu waliokimbia makazi yao kurejea katika maeneo yao - huko Dahieh, Beirut na kusini mwa Lebanon. Vizuizi vya zege kutoka kwa viingilio vya vitongoji vya kusini...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Iran yafanya sherehe, wadai kusitisha mashambulizi kwa muda ni ushindi mkubwa kwa utawala wa taifa hilo

    Serikali ya Iran na vyombo vya habari vya taifa hilo, vinasema kuwa makubaliano ya kusitisha mashambulizi kwa muda ni ushindi mkubwa kwa utawala wa taifa hilo. Katika taarifa iliyotolewa na Baraza Kuu la Usalama wa Taifa, Iran imesema imeyafikia karibu malengo yake yote ya vita hivyo na kuwa...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Siku nikifa kama nilihusika kwenye kuwadhulumu na kuwatesa furahini na wekeni sherehe. Msilete unafiki wa kijinga kwamba marehemu hasemwi

    Hamjambo Wote! 1. Sijui kama naeleweka. Yaani nikuumize, nikutese, nikuharibie maisha alafu Siku yamenipata ulete ngonjera za ajabuajabu. Sijui UTU. Sijui Imani! 2. Aiseeh! Hakuna cha utu kwa mtu asiye na Utu. 3. Hakuna cha staha sijui stara kwa watu waliokosa stara na stags. 4. Hakuna cha...
  8. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Watalii wa kimataifa wajiunga na sherehe ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina nchini China

    Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina inakaribia. Siku hizi katika mitaa na vichochoro nchini China, kuna wageni wengi ambao wamekuja China kujionea na kupata uzoefu wa sikukuu hiyo muhimu sana kwa Wachina. Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina imekuwa kivutio kipya cha China kwa watalii...
  9. Inside10

    JamiiForums Tanzania Wanahabari wapata Ajali wakitoka kwenye sherehe ya CCM

    Baadhi ya waandishi wa habari mkoani Iringa wamepata ajali ya gari leo Februari 5, 2026, wakati wakirejea kutoka kwenye sherehe za Maadhimisho ya Miaka 49 ya Kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), yaliyofanyika kimkoa katika Kata ya Idodi, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Kwa mujibu wa taarifa...
  10. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Unapopanga Jambo lako la sherehe punguza matarajio

    Unapopanga jambo lako mfano haruc , birthday au sherehe yeyote ile tambua ya kwamba ratiba yako wewe sio sawa na ya mtu mwengine . Usichukie mtu kwasababu hajatokea kwenye jambo lako hauwezi jua ratiba yake / hali yake ikoje , punguza matarajio ya kwamba fulani atakuwepo
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania Ni sherehe na faraja kubwa tukifanikiwa kuitokomeza CCM na machawa wake

    Chama cha Mapinduzi badala ya kuwa msaada, kimegeuka kampuni binafsi ya watawala na familia zao. Chama hiko kimegeuka kuwa saratani isiyotibika inayoitafuna Tanganyika. Tushikamane kupambana na hili jinamizi ili tufurahie uhuru na ustawi wa nchi yetu. Angalizo muhimu CCM imeungana na vyombo...
  12. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mimi sio nabii ila kesho utaona nyuzi za yesu alikuwa ni mpalestina na christmas ni sherehe ya majini

    Anaesema hivyo yeye mwenyewe anasubiria mto wa mvinyo na wanawake 90 huko peponi 😂😂
  13. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, sherehe za maadhimisho ya uhuru Desemba 9, 2025 zitafanyika kweli?

    Kulingana na taarifa za maandamano ya amani zilizopangwa kufanyika 9 december , je siku hiyo sherehe hizi zitafanyika kweli? Tunajua vyombo vya usalama asilimia kubwa huwa vipo pale uwanja wa taifa kusherehekea sherehe hizi na maigizo yao ya kuvunja matofali kwa vichwa, hii inapelekea maeneo...
  14. Desierto

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumesubiria mpaka tumechoka. Zifanyike sherehe za ushindi wa CCM

    Si kila baada ya dili kutiki watu hukutana na kujipongeza kama bingwa wa ligi anavyosherehekea na ashabiki wake baada ya msimu kuisha, Sasa inashangaza kuona hali ikiwa kimya hadi sasa. Baiskeli hazionekani tena mtaani na pikipiki pia zimepotea kabisa au pengine mnazipaka rangi upya.
  15. guzman_

    JamiiForums Tanzania Gen Z kazeni hapo hapo, msikae kizembe

    Kuna moshi unafuka. Trust me. Gen-z kazeni hapo hapo na ongezeni umakini msikae kizembe. Baada ya kudis-arm wajeshk nataarifiwa alternative imepatikana. Ni wao au sisi. Full stop. Hata wazee sasa tumechoka na huu uk..da. Lakini bado wana mwezi mzima wa kujitafakari. Mungu ni wetu sote...
  16. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Hivi mtoto kumaliza darasa la Saba ni kitu cha kuandalia sherehe?

    Kusini kunachekesha Sana yaani siku ya mahafali ya shule ya msingi mzazi anakwenda kukopa hela kabisa ili afanye shughuli nyumbani karibia mziki wa kukodi laki tatu chakula laki mbili eti kusherehekea mtoto kamaliza la Saba kweli jamani elimu ya msingi ni kitu cha kujivunia hivyo?
  17. Mad Max

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna swali hapa kwa waliooa au kuolewa na kufanya sherehe: Hivi uwa mrudi kuangalia video za shughuli yenu?

    Katika heka heka za kupunguza gharama za uendeshaji wa harusi, kuna hii budget ya videography. Hii sekta inaongeza sana gharama na inaweza kufika Mil 2-3 kizembe sana. Mara nyingi ukienda kwenye harusi utaona TV kadhaa zinaonesha live, macamera man kadhaa, drones na mataa ya picha. Hao ndigo...
  18. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kinachoshangaza ni hawa vijana wa kiume kujishebedua zaidi hata ya wanawake walioalikwa. Iwe jinai kwa sherehe ya aina yoyote yenye maudhui haya

    Generation ya vijana chapati haiwezi koma kama normalization ya namn hii inaendelea katika jamii.
  19. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Vibe za sherehe ukumbini: Ipe maneno clip hii

  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    LINDENI WATOTO WENU LA SIVYO WATAISHIA KUFANYIWA USODOMA Ukiwa masikini hawa wanawake wa mjini wanakuita mdhaifu ila ndio hao hao wa kwanza kufurahia kampani ya hawa chapati
Back
Top Bottom