djibouti

Djibouti, officially the Republic of Djibouti, is a country in the Horn of Africa, bordered by Somalia to the south, Ethiopia to the southwest, Eritrea in the north, and the Red Sea and the Gulf of Aden to the east. The country has an area of 23,200 km2 (8,958 sq mi).In antiquity, the territory, together with Ethiopia, Eritrea and Somaliland, was part of the Land of Punt. Nearby Zeila, now in Somaliland, was the seat of the medieval Adal and Ifat Sultanates. In the late 19th century, the colony of French Somaliland was established following treaties signed by the ruling Dir Somali sultans with the French, and its railroad to Dire Dawa (and later Addis Ababa) allowed it to quickly supersede Zeila as the port for southern Ethiopia and the Ogaden. It was renamed the French Territory of the Afars and the Issas in 1967. A decade later, the Djiboutian people voted for independence. This officially marked the establishment of the Republic of Djibouti, named after its capital city. The new state joined the United Nations. In the early 1990s, tensions over government representation led to armed conflict, which ended in a power-sharing agreement in 2000 between the ruling party and the opposition.Djibouti is a multi-ethnic nation with a population of over 920,000 (the smallest in mainland Africa). French and Arabic are the country's two official languages, Afar and Somali are national languages. About 94% adhere to Islam, which is the official religion and has been predominant in the region for more than a thousand years. The Somalis and Afar make up the two largest ethnic groups, with the former comprising the majority of the population. Both speak a language of the Cushitic branch of the Afroasiatic languages.Djibouti is near some of the world's busiest shipping lanes, controlling access to the Red Sea and Indian Ocean. It serves as a key refuelling and transshipment center, and the principal maritime port for imports from and exports to neighboring Ethiopia. A burgeoning commercial hub, the nation is the site of various foreign military bases. The Intergovernmental Authority on Development (IGAD) regional body also has its headquarters in Djibouti City.

View More On Wikipedia.org
  1. ChoiceVariable

    Ethiopia na Djibouti zaomba kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

    EAC inaenda kuwa Jumuiya kubwa na yenye Nguvu zaidi hapa Afrika. Tukifita pass za kusafiria,tukaruhusu free movements of people and goods nadhani tutaendelea zaidi kuliko kuweka mamipaka yasiyo na msingi. Somalia tayari inasubikiwa kutangazwa tuu.Bila Shaka Sudan nayo itaunga trailer sio mda...
  2. SAYVILLE

    AZAM na Baraka Mpenja punguzeni mahaba kwa Yanga, kuweni professionals

    Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili. Jana alikuwa anatoa kauli kama "upande wa pili nao watakuwa wakienda chooni wanasema Yanga kweli anapiga mpira mwingi"...
  3. SAYVILLE

    Yanga inasumbuliwa na timu iliyoshika nafasi ya pili ligi ya Djibouti

    Hili ni jambo la kusikitisha sana na najua wanayanga wengi limewafedhehesha. ASAS Djibouti au kwa jina lingine "AS Ali Sabieh" ni timu ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya pili katika ligi ndogo na dhaifu ya Djibouti lakini jana imeisumbua sana Yanga. Ingekuwa na mshambuliaji mmoja wa...
  4. GENTAMYCINE

    Baada ya Kukitafiti kilichofanywa na DP World huko Djibouti, Angola na Senegal namuomba Rais Samia aachane nao rasmi

    Na pia GENTAMYCINE namuomba Rais Samia Suluhu Hassan awatazame upya Wasaidizi na Washauri wake kwani nimeanza kuona anahujumiwa na anaowaamini wakiongozwa na Mswahili mmoja asiyechoka na utajiri mkubwa alionao na pesa alizozificha kwa kuzigawa nchini Malaysia na Cyprus. Kama Angola, Djibouti na...
  5. raakha

    Ya Djibouti kama ya Tanzania

    Serikali ya nchi ya Djibout imevunja Mkataba wa uendeshaji wa Bandari ya Doraleh nchini Djibouti kati ya Serikali hiyo na Kampuni ya DP World ya Falme za Kiarabu (UAE), Na kuishtaki kampuni hiyo. Serikali ya Djibout imechukua maamuzi hayo magumu baada ya kugundua vipengele vya Mkataba huo...
  6. V

    Mkataba hauifungi DP World isiwekeze Congo na Rwanda. Waliizunguka Djibouti mizigo ya Ethiopia na Somalia ikawa kesi

    Associated Press Djibouti walicheza ngoma bandarini siku ya kwanza. Leo Djibouti wanalia machozi, DP World wamefukuzwa, Djibouti wanasema wameibiwa, wamelipa madola ya mafaini na magharama ya kesi za kimataifa. Hukumu ya siku za karibuni ilitoka mwezi May 2023 Washington DC. Kesi mahakamani...
  7. Mwl.RCT

    Video | Serikali ya Djibouti yavunja mkataba na DP World kuhusu uendeshaji wa bandari ya Doraleh

    Muhtsari Serikali ya Djibouti yavunja Mkataba wa Bandari ya Doraleh na DP World Sababu za kuvunja Mkataba ni kutokuwepo kwa maslahi kwa Taifa la Djibouti na rushwa iliyotolewa na mkuu wa bandari Serikali ya Djibouti yaishtaki DP World kwa madai ya ukiukwaji wa Mkataba Serikali ya Djibouti...
  8. K

    Djibouti waliingia mkenge kama sisi kwenye MOU yao! Tusiwapuuze wataalamu

    https://apnews.com/article/middle-east-africa-china-hong-kong-e01b827fd55dd5fba9d13f5e5baabade
  9. Mpwayungu Village

    Kenya, Pakistan, Peru, Djibouti, Ethiopia, USA, Somaliland waliwafukuza DP World kama mbwa

    Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa...
  10. OLS

    Je, wajua Djibouti walivunja mkataba na DP-World?

    Haya mijadala inaendelea kuhusu uwekezaji wa bandari, hoja nyingi zikitolewa kutokana na masharti ya mkataba huo ambao unaonekana utaathiri uchumi wa Tanzania badala ya kuuendeleza. Kampuni ya Dubai inayosimamia bandari Zaidi ya 78 katika nchi 40 duniani imekuwa na kashfa kadhaa za ukwepaji...
  11. Crocodiletooth

    Hongera South Sudan kwa kununua kipande cha ardhi Djibouti

    South Sudan has bought a piece of land in Djibouti for the construction of a harbour in its latest effort to find an alternative to the port of Mombasa which is facing an onslaught from Dar-es-Salaam. South Sudan has bought three acres of land at the port of Djibouti for the construction of a...
Back
Top Bottom