Baada ya Kukitafiti kilichofanywa na DP World huko Djibouti, Angola na Senegal namuomba Rais Samia aachane nao rasmi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,177
Na pia GENTAMYCINE namuomba Rais Samia Suluhu Hassan awatazame upya Wasaidizi na Washauri wake kwani nimeanza kuona anahujumiwa na anaowaamini wakiongozwa na Mswahili mmoja asiyechoka na utajiri mkubwa alionao na pesa alizozificha kwa kuzigawa nchini Malaysia na Cyprus.

Kama Angola, Djibouti na Senegal wanalia sasa kwa kuwaamini hawa DP World, sisi Tanzania ni nani tusije kulizwa nao zaidi?

Rais Samia achana na DP World Ok?
 
Back
Top Bottom