pakistan

Pakistan, officially the Islamic Republic of Pakistan, is a country in South Asia. It is the world’s sixth-most populous country with a population exceeding 212.7 million people. In area, it is the 33rd-largest country, spanning 881,913 square kilometres (340,509 square miles). Pakistan has a 1,046-kilometre (650-mile) coastline along the Arabian Sea and Gulf of Oman in the south and is bordered by India to the east, Afghanistan to the west, Iran to the southwest, and China in the northeast. It is separated narrowly from Tajikistan by Afghanistan's Wakhan Corridor in the northwest, and also shares a maritime border with Oman.
The territory that now constitutes Pakistan was the site of several ancient cultures and intertwined with the history of the broader Indian subcontinent. The ancient history involves the Neolithic site of Mehrgarh and the Bronze Age Indus Valley Civilisation, and was later home to kingdoms ruled by people of different faiths and cultures, including Hindus, Indo-Greeks, Muslims, Turco-Mongols, Afghans and Sikhs. The area has been ruled by numerous empires and dynasties, including the Persian Achaemenid Empire, Alexander III of Macedon, the Seleucid Empire, the Indian Maurya Empire, the Gupta Empire, the Arab Umayyad Caliphate, the Delhi Sultanate, the Mongol Empire, the Mughal Empire, the Afghan Durrani Empire, the Sikh Empire (partially) and, most recently, the British Indian Empire. Pakistan is the only country to have been created in the name of Islam. It is an ethnically and linguistically diverse country, with similarly diverse geography and wildlife. Initially a dominion, Pakistan adopted a constitution in 1956, becoming an Islamic republic. An ethnic civil war and Indian military intervention in 1971 resulted in the secession of East Pakistan as the new country of Bangladesh. In 1973, Pakistan adopted a new constitution which stipulated that all laws are to conform to the injunctions of Islam as laid down in the Quran and Sunnah.A middle power, Pakistan has the sixth-largest standing armed forces in the world and is also a nuclear power as well as a declared nuclear-weapons state, the second in South Asia and the only nation in the Muslim world to have that status. Pakistan has a semi-industrialised economy with a well-integrated agriculture sector and a growing services sector. It is ranked among the emerging and growth-leading economies of the world, and is backed by one of the world's largest and fastest-growing middle class. Pakistan's political history since independence has been characterized by periods of military rule, political instability and conflicts with India. The country continues to face challenging problems, including overpopulation, terrorism, poverty, illiteracy, and corruption. Pakistan is a member of the UN, the Shanghai Cooperation Organisation, the OIC, the Commonwealth of Nations, the SAARC, the Islamic Military Counter Terrorism Coalition and the Major non-NATO ally.

View More On Wikipedia.org
  1. Abdull Kazi

    Saudi Arabia yaunga mkono msimamo wa India kuhusu Kashmir

    Katika taarifa ya pamoja na Pakistan nchi hizo mbili zilitoa taarifa ya pamoja baada ya mkutano kati ya Mrithi wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman Al Saud na Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif. RIYADH: Saudi Arabia inaonekana kuunga mkono msimamo wa India kuhusu Jammu na Kashmir katika...
  2. Teslarati

    Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Mimi ni mkristu ila kuna muda inabidi ukweli usemwe. Leo nimekaa nikakumbuka trip yangu ya kwanza Dubai, kuna protocols nilivunja ila wahusika pale (waarabu) wakaniita ofisini kwao kwanza nikaulizwa kama nimekula, nikapelekwa kula kisha ndo wakanikalisha chini kunielekeza. Overall experience...
  3. Roving Journalist

    Tanzania na Pakistan kushirikiana Sekta za Biashara na Uwekezaji

    Tanzania na Pakistan zimeahidi kuendelea kushirikiana kuimarisha zaidi sekta za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Ahadi hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Salvastory Mbilinyi...
  4. Masikio Masikio

    Cyrill radcliff mwanasheria kutoka london aliyeigawanya india na pakistan

    Baada ya vita vya pili vya dunia uingereza kutoka na kutumia hela nyingi sana kwenye vita waliona ni mda muafaka wa kupunguza baadhi ya makoloni moja wapo likawa ni india Kwa kipindi ambacho mwingireza ametawala india aliona itakua ngumu kwa jamii mbili za waislaimu na wahindu kukaa pamoja kwa...
  5. Webabu

    Hasira za Pakistan na Iran ni kama za wagonjwa wa safura

    Kwa takriban miaka mitano sana makamanda wakubwa wa Iran na vituo muhimu vya kijeshi vya Iran vimekuwa vikishambuliwa na Israel ndani ya Syria na hata ndani ya Iran yenyewe. Mtekelezaji wa mashambulio hayo Iran amekuwa akimtaja bila kificho na mwenyewe (Israel) mara moja moja amekuwa akikiri...
  6. Joyboy

    Anaejua kwanini Taliban anamvamia Pakistan aje anieleze

    Aisee huu mwaka una nn, kila kukicha story mpya za kutatanisha, ukitulia kidogo unasikia wengine wamelianzisha huko, kwasasa naona trend ni Muslim vs Muslim vs Muslim. Hawa watu wameamua kujiana juu. Breaking; Heavy clashes have erupted on the border of Afghanistan and Pakistan. Taliban...
  7. Eli Cohen

    Al jazeera ni kituko. Iran na Pakistan wameanza kupigana ila habari zao siku nzima ni kuisakama Israel

    Haw jamaa sio chombo cha habari bali ni chombo cha itikadi. Wanaona haya kubroadcast mvutano ulianza kati ya iran na pakistan eti kisa ni mataifa ya kiislam. Bado tu ni kuwalaumu Israel juu ya vita yao dhidi ya hamas. Double standard sana hawa watetea magaidi.
  8. Exile

    Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

    Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan...
  9. Richard

    Pakistan yamuita nyumbani balozi wake kutoka Iran na balozi wa Iran Pakistan alieko likizo Iran hatoruhusiwa kurudi kazini

    Pakistan imemuita nyumbani balozi wake alieko nchini Iran na pia imesema haitomruhusu balozi wa Iran alieko nchini Iran kwa likizo kutorudi Pakistan. Uamuzi huo wa serikali ya Pakistani umetolewa baada ya jeshi la mapinduzi la Iran (IRG) kufanya mashambulizi ndani jimbo la Balochistan lililoko...
  10. Uhakika Bro

    Mnaosubiri miujiza mlosoma kwenye vitabu kuweni makini hasa mnaoungaunga dots

    Mambo mengine ni ya kwetu kabisa wala sio miujiza. Maana kikanuni Mungu hapendi kuingilia mambo binafsi ya watu na kuyaendesha kwa mkono wa chuma. Tunajiamulia wenyewe. Sasa wewe endelea kusubiri au kuamini katika miujiza utakoma. Au utakomeshwa. Mnasikia saivi kuna vita kati ya Israel na...
  11. JanguKamaJangu

    Mjane wa mwanahabari wa Pakistan anaishtaki Serikali ya Kenya kwa mauaji ya mumewe

    Mjane wa mwanahabari maarufu wa Pakistan anaishtaki serikali ya Kenya kwa "mauaji yanayolengwa" ya mumewe. Javeria Siddique aliwasilisha kesi jijini Nairobi siku ya Jumatano kwa mauaji ya kimakosa ya Arshad Sharif. Mwanahabari huyo alipigwa risasi na kuuawa mwaka mmoja uliopita na maafisa wa...
  12. MK254

    Pakistan: Wapiga risasi watu wakiabudu ndani ya msikiti

    Hawa kuja kuwaelewa itachukua muda sana, sijui shida huwa nini haswa, mauaji na vita vita. ==== LAHORE, Pakistan (AP) — A pair of gunmen walked into a mosque in Eastern Pakistan on Wednesday and opened fire at the worshippers, killing a member of an outlawed anti-India militant group and...
  13. Dalton elijah

    Pakistan kumekuwa na mashambulizi makali dhidi ya makazi ya Wakiristo

    Shambulio la kundi la watu dhidi ya makazi ya Kikristo nchini Pakistan linaonyesha hitaji la mamlaka kuchukua hatua za haraka ili kulinda dini ndogo dhidi ya vurugu, Human Rights Watch ilisema leo. Serikali za shirikisho na mikoa nchini Pakistani zina wajibu wa kuchunguza na kuwashtaki ipasavyo...
  14. Dalton elijah

    Pakistan: Authorities must ensure protection of minority Christian community

    Responding to the attack and arson of at least five Churches and many Christian homes in Jaranwala in Pakistan, Rehab Mahamoor, interim regional researcher for South Asia at Amnesty International said: “The Pakistani authorities must urgently ensure the protection of the minority Christian...
  15. J

    Waislam wa Pakistan wachoma moto Makanisa na nyumba za wakirsto Tarehe 15 Agosti, 2023

    Fikiria Taifa la Pakistan ambapo Jamii ya Waislam ndyo wengi takribani 98% wakati Wakristo ni asilimia 1.5% tu, halafu bado Jamii hiyo ya Waislam walio wengi hawaonyeshi huruma hata kidogo kwa wenzao ambao wingi wao ni kama tone la maji kwenye ndoo ya lita 20. Kwa taarifa tu ni kwamba nchi ya...
  16. JanguKamaJangu

    Treni ya abiria ya Pakistan yaacha njia na kuua watu 30

    Pakistan passenger train derails killing 30 At least 30 people have been killed and 100 injured when a train derailed in southern Pakistan, a police spokesman has confirmed. Several carriages of the Hazara Express overturned near Sahara railway station in Nawabshah, about 275km (171 miles)...
  17. BARD AI

    Pakistan: Treni ya Abiria yaacha njia na kuua watu zaidi ya 30

    Takriban watu 30 wamefariki dunia na wengine 100 kujeruhiwa baada ya Treni kuacha njia kusini mwa Pakistan, msemaji wa polisi amethibitisha. Mabehewa kadhaa ya Hazara Express yalipinduka karibu na kituo cha reli cha Sahara huko Nawabshah, takriban kilomita 275 (maili 171) kutoka mji mkubwa...
  18. JanguKamaJangu

    Pakistan: Watu 44 wauawa kwa Mlipuko katika mkutano wa siasa

    Polisi imesema mlipuko huo umetokana na bomu la kujitoa mhanga lililotokea Kaskazini Magharibi mwa Pakistan Zaidi ya 100 wamejeruhiwa kati yao 17 hali zao ni vibaya, katika shambulio lililowalenga Wanachama wa chama cha Jamiat Ulema-e-Islam-Fazl (JUI-F) katika Mji wa Khar, karibu na mpaka wa...
  19. Mpwayungu Village

    Kenya, Pakistan, Peru, Djibouti, Ethiopia, USA, Somaliland waliwafukuza DP World kama mbwa

    Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa...
  20. Yoda

    Pakistan na siasa za aina yake, uongozi huko ni jasho na damu

    Hili taifa miaka yote tangu kuanzishwa kwake huwa liko katika migogoro ya kisiasa. Mawaziri wake wakuu rasmi wote 18 waliowahi kuingia madarakani hakuna aliyewahi kumaliza awamu yake ya uongozi. Lazima moja kati ya kuuwawa, kupinduliwa, kuondolewa kwa kura ya kutokuwa na imani au kujiuzulu na...
Back
Top Bottom