angola

Angola ( (listen); Portuguese: [ɐ̃ˈɡɔlɐ]), officially the Republic of Angola (Portuguese: República de Angola), is a country on the west coast of Southern Africa. It is the second-largest lusophone (Portuguese-speaking) country in both total area and population (behind Brazil), and is the seventh-largest country in Africa. It is bordered by Namibia to the south, the DR Congo to the north, Zambia to the east, and the Atlantic Ocean to the west. Angola has an exclave province, the province of Cabinda, that borders the Republic of the Congo and the Democratic Republic of the Congo. The capital and largest city is Luanda.
Angola has been inhabited since the Paleolithic Age. Its formation as a nation-state originates from Portuguese colonisation, which initially began with coastal settlements and trading posts founded in the 16th century. In the 19th century, European settlers gradually began to establish themselves in the interior. The Portuguese colony that became Angola did not have its present borders until the early 20th century, owing to resistance by native groups such as the Cuamato, the Kwanyama and the Mbunda.
After a protracted anti-colonial struggle, Angola achieved independence in 1975 as a Marxist–Leninist one-party Republic. The country descended into a devastating civil war the same year, between the ruling People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA), backed by the Soviet Union and Cuba, and the insurgent anti-communist National Union for the Total Independence of Angola (UNITA), supported by the United States and South Africa. The country has been governed by MPLA ever since its independence in 1975. Following the end of the war in 2002, Angola emerged as a relatively stable unitary, presidential constitutional republic.
Angola has vast mineral and petroleum reserves, and its economy is among the fastest-growing in the world, especially since the end of the civil war. However, economic growth is highly uneven, with most of the nation's wealth concentrated in a disproportionately small sector of the population. The standard of living remains low for most Angolans; life expectancy is among the lowest in the world, while infant mortality is among the highest.
Since 2017, the government of João Lourenço has made fighting corruption its flagship, so much so that many individuals of the previous government are either jailed or awaiting trial. Whilst this effort has been recognised by foreign diplomats to be legitimate, some skeptics see the actions as being politically motivated.
Angola is a member of the United Nations, OPEC, African Union, the Community of Portuguese Language Countries, and the Southern African Development Community. As of 2019, the Angolan population is estimated at 31.83 million. Angola is multicultural and multiethnic. Angolan culture reflects centuries of Portuguese rule, namely the predominance of the Portuguese language and of the Catholic Church, intermingled with a variety of indigenous customs and traditions.

View More On Wikipedia.org
  1. Execute

    Simba imsajili yule Lookman wa Nigeria na Gilberto wa Angola

    Simba tumtoe pale Atalanta huyu Lookman aje na pia yule Gilberto apewe mkataba. Hivyo tutabeba Caf CL mwakani.
  2. Mjanja M1

    Wachezaji wa Angola kuzawadiwa Million 20 wakiifunga Nigeria

    Wachezaji wa timu ya Taifa ya Angola wamepewa simu [ Iphone 15 ] na kampuni ya UNITEL hii ni baada ya kufanikiwa kuingia Robo Fainali. Aidha Angolan Bank pia imetoa dola 6,000 kwa kila mchezaji kwa kufika hatua hii ya Robo Fainali. Kama haitoshi Angolan bank, imetoa ahadi ya dola $9,600 sawa...
  3. benzemah

    Wakuu wa Nchi za SADC kukutana kwa dharura nchini Angola tarehe 04 Novemba, 2023

    Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wanatarajia kukutana katika mkutano wa dharura Jijini Luanda, Angola tarehe 04 Novemba, 2023. Mkutano huo unalenga kujadili juhudi za SADC katika kuimarisha hali ya amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya...
  4. Kijakazi

    DP World imebuma, EU kujenga Transafrika Corridor kuunganisha Kongo na Zambia with Lobito Angola Harbor!

    Hii ndiyo sababu ya ziara ya Zambia? Habari ndiyo hiyo EU kupitia Global Gateway inajenga infrastructure ya kufa mtu kuunganisha nchi za Dr.Kongo na Zambia na Bandari ya Lobito Angola, and guess what Angola hajakodisha Bandari zake hivyo ni profit kwa kwenda mbele, dpworld yenu atasafrisha nini...
  5. S

    Mkutano wa G20 Waunga Mkono Kujengwa Reli ya Kutoka DRC na Zambia Mpaka Angola

    Reli Hiyo ni maalumu kubeba mizigo hasa madini kuitoa mkoa wa Katanga DR Congo na mkoa wa Copper Belt Zambia na kuipeleka bandari ya Lobito Angola. ===== African Union now a permanent G20 member The G20 welcomed the African Union as a member at their annual summit Saturday. There was...
  6. Roving Journalist

    Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Ngazi ya Wataalamu waanza Nchini Angola

    Tanzania inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa Agosti 08, 2023 Jijini Luanda, Angola kwa ngazi ya Maafisa Waandamizi. Wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo, imeshuhudiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ikikabidhi...
  7. GENTAMYCINE

    Baada ya Kukitafiti kilichofanywa na DP World huko Djibouti, Angola na Senegal namuomba Rais Samia aachane nao rasmi

    Na pia GENTAMYCINE namuomba Rais Samia Suluhu Hassan awatazame upya Wasaidizi na Washauri wake kwani nimeanza kuona anahujumiwa na anaowaamini wakiongozwa na Mswahili mmoja asiyechoka na utajiri mkubwa alionao na pesa alizozificha kwa kuzigawa nchini Malaysia na Cyprus. Kama Angola, Djibouti na...
  8. Da Vinci XV

    Queen Nzinga, kiongozi wa Angola aliyewaoa vijana zaidi ya 80 na kuwaua baada ya kushiriki nao tendo

    Na DaVinci XV Naam Wakati huko duniani Caesarian section (Kuzaliwa kwa mtoto kwa njia ya upasuaji) inaingia kwenye vitabu ya medical na Midwifery kwa mara ya kwanza na kuweka miongozo na rekodi mbali mbali basi huku Afrika kulikuwa na Vitimbi vya jamii za kiafrika juu ya wakoloni mbalimbali...
  9. Richard

    Angola walitangaza zabuni na DP World ikashinda na sasa yasimamia kitengo cha makontena bandari ya Luanda

    Naam, ni DP World Luanda Port. Bandari ya Luanda ni moja ya bandari kubwa nchini Angola kati ya bandari zake zikiwemo za Lobito na Benguela ambazo zipo pembezoni mwa bahari ya Atlantic. Lakini serikali ya Angola kwa kuona ufanisi mdogo uso na tija kwa uchumi wake ikaamua kutafuta mzabuni ambae...
  10. H

    Pingpong porini na Savimbi

    Gazeti La Dunia Pingpong porini na Savimbi Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab, akiwa kwenye handaki eneo la Jamba, Angola, ilikokuwa kambi ya kijeshi ya kundi la waasi la UNITA. Kunradhi kwa mwonekano wa picha. Mazingira ya ndani ya handaki yamefinya mwonekano. Picha kwa hisani ya Ahmed...
  11. Lady Whistledown

    Angola: Wachungaji wakamatwa kwa kuvaa sare za jeshi

    Wachungaji wawili wa dhehebu la kidini wamekamatwa na Maafisa wa Huduma ya Upelelezi wa Jinai (SIC) wakiwa wamevaa sare nyekundu zinazofanana na zile zinazovaliwa na Majenerali wa Jeshi. Msemaji wa SIC, Manuel Halaiwa amenukuliwa akisema wawili hao watashtakiwa kwa matumizi haramu ya sare za...
  12. BARD AI

    Angola: Mahakama yaagiza kukamatwa Mali za Tsh. Trilioni 2.3 za Mtoto wa Rais Eduardo dos Santos

    Mahakama ya Juu (ASC) imetoa agizo la kuzuiwa kwa Mali za Isabel dos Santos kama ilivyoombwa na Wizara ya Umma baada ya kudaiwa kuwa zimetokana na #Ubadhirifu na #Ufisadi wa Mali za Umma. Taarifa hiyo imeagiza kuzuiwa kwa Fedha katika Benki zote, Akaunti za Amana za Muda, Maombi yote ya Fedha...
  13. BARD AI

    Angola: Serikali yaidhinisha kukamatwa mtoto wa Rais wa zamani, Dos Santos

    Mwanasheria Mkuu, Helder Pitta Groz amethibitisha taarifa za Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol) kumtafuta na kumkamata Isabel dos Santos, mtoto wa Rais wa zamani wa nchi hiyo. Isabel ameshtakiwa kwa Matumizi Mabaya ya Mali na Ubadhirifu wa Fedha za Umma wakati Mwenyekiti wa kampuni ya...
  14. L

    Eneo la viwanda la Huawei lazinduliwa nchini Angola

    Hafla ya uzinduzi wa Eneo la Viwanda la Huawei imefanyika jana jumanne wiki hii katika mji mkuu wa Angola, Luanda, na kuhudhuriwa na rais wa nchi hiyo, João Lourenço. Kwenye hafla hiyo, Angola na kampuni ya Huawei zilisaini makubaliano kuhusu kuwaandaa watu wenye ujuzi wa kidigitali. Kutokana...
  15. J

    Yanga imeifunga Club ya Tunisia, ambayo inashiriki kombe la Dunia, Malawi na Angola hazijawahi

    Yanga imeifunga Club kutoka Tunisia ambayo inashiriki Kombe la Dunia mwaka huu, na ni timu ambayo inafanya vizuri sana AFCON, na timu za taifa kutoka nchi za kiarabu kama Egypt, Tunisia, Morroco, Algeria huwa zinaundwa na wachezaji kutoka ligi ya ndani. Tofauti kabisa na timu za taifa za nchi...
  16. N

    Yadaiwa CEO alimpa makavu Kanjanja huko Angola akakataa mahojiano

    Wololooooooooo haiya haiya haiya, watetezi wa Kanjanja Senior mnaruhusiwa kuja kuporomosha matusi na kudai nina chuki binafsi. Kweli ulitarajia mtu ambaye huwa unachukia safari zake na lipstick yake una bifu nayo akuchekee tu kama ndalakyuya, wenye akili walijua hukuwa pale kwa nia nzuri. Kama...
  17. N

    Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

    Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez, ana maadui wa wazi wazi wa Simba wako ndani ndani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu. Lile jitu linalokesha kusambaza habari za uongo za Simba kushoto na kulia liko Angola tayari na inavyoonekana hadi mipango ya ndani ya Simba...
  18. GENTAMYCINE

    Simba S.C. kwenda Angola siku moja kabla ya mechi ni takwa la kiufundi au bajeti imekata?

    Na kama ni takwa la kiufundi mwambieni huyo aliyeamua hivi kuwa hii ni hatari na itatugharimu kimatokeo. Ningewaelewa Simba S.C. (hasa kiufundi) kama wangeenda Angola siku tatu kabla ila hii ya kwenda siku moja kabla ya mechi (yaani Jumamosi na kucheza Jumapili) ni hatari kimchezo...
  19. OKW BOBAN SUNZU

    Simba Sc ijiandae na fitna nchini Angola

    By ELIUS KAMBILI NILIKUWA pale Luanda, Angola na Namungo iliyokwenda kucheza na Clube Desportivo 1 de Agosto mwaka jana. Lakini wageni hawakugusa mpira hata wa mazoezi kutokana na vihoja kutawala nje ya Uwanja. Simba msimu huu imepangwa kucheza na klabu hiyo katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa...
  20. GENTAMYCINE

    Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

    Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa pamoja ( kama Mafahari ) ndiyo watapita. Wengine tumeumbwa kuwa Wakweli halafu tuna Macho ya Kimpira...
Back
Top Bottom