senegal

Senegal ( (listen); French: Sénégal; Wolof: Senegaal), officially the Republic of Senegal (French: République du Sénégal; Wolof: Réewum Senegaal), is a country in West Africa. Senegal is bordered by Mauritania in the north, Mali to the east, Guinea to the southeast, and Guinea-Bissau to the southwest. Senegal nearly surrounds The Gambia, a country occupying a narrow sliver of land along the banks of the Gambia River, which separates Senegal's southern region of Casamance from the rest of the country. Senegal also shares a maritime border with Cape Verde. Senegal's economic and political capital is Dakar.It is a unitary presidential republic and is the western-most country in Afro-Eurasia. It owes its name to the Senegal River, which borders it to the east and north. Senegal covers a land area of almost 197,000 square kilometres (76,000 sq mi) and has a population of around 16 million. The state was formed as part of the independence of French West Africa from French colonial rule. Because of this history, the official language is French. Like other post-colonial African states, the country includes a wide mix of ethnic and linguistic communities, with the largest being the Wolof, Fula, and Serer people, and the Wolof and French languages acting as lingua francas.
Senegal is classified as a heavily indebted poor country, with a relatively low Human Development Index. Most of the population is on the coast and works in agriculture or other food industries. Other major industries include mining, tourism and services. The climate is typically Sahelian, though there is a rainy season.
Senegal is a member state of the African Union, the United Nations, the Economic Community of West African States (ECOWAS), and the Community of Sahel-Saharan States.

View More On Wikipedia.org
  1. upupu255

    JamiiForums Tanzania FALSE Is it true that Court of Arbitration for Sport crowns Senegal African Champion 2025?

  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Senegal yamtimua kocha Pape Thiaw na benchi lake la ufundi

    Shirikisho la Soka la Senegal limemfuta kazi kocha mkuu Pape Thiaw na benchi lake lote la ufundi baada ya kutolewa katika hatua ya 32 bora, wiki chache tu baada ya kusaini mkataba mpya kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia la FIFA. Senegal ilikuwa ikitarajiwa kuwa miongoni mwa timu zitakazowania...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Sadio Mané atangaza kustaafu kuichea Senegal

    Baada ya Senegal kuondolewa kwa maumivu katika hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kufungwa mabao 3-2 na Ubelgiji, nyota wa timu hiyo, Sadio Mané, ametangaza kustaafu kuchezea timu ya taifa. Mané (34), alitangaza uamuzi huo kupitia taarifa iliyochapishwa na gazeti la Senegal la...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Senegal wameuza match dhidi ya Ubelgiji

    Ulishaona wapi, mchezaji wa Afrika atajituma kuifunga nchi ya Ulaya ambayo wao hao wachezaji wa kiafrika wanapata ugali wao. Kitakachotokea ni kuchimbwq biti na kuuza match tu. Hatuwalaumu wachezaji wa Senegal, bali tunawalaumu njaa zao.
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Belgium 3-2 Senegal | World Cup 2026 | Lumen Field | 1 Julai, 2026 |5:00 Usiku

    Belgium na Senegal Kukutana Katika Hatua ya 32 Bora Kombe la Dunia 2026 Belgium walijihakikishia kumaliza kileleni mwa Kundi G baada ya ushindi mnono katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi, na sasa watavaana na Senegal katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 mjini Seattle. Belgium...
  6. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa Katiba Mpya Senegal Sio Lelemama: Je, Unaweza Kukata Tawi Ulilokalia?

    Wakuu, ni wazi kabisa kwamba mchakato wa kusuka Katiba Mpya barani Afrika sio lelemama hata kidogo. Tukio la jana, Juni 29, 2026, kwenye Bunge la Senegal limebainisha wazi kuwa safari hii sio lelemama, yaaani bunge liligeuka uskiku wa vitasa! Kushikana mashati, kusukumana, na kurushiana maneno...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Senegal 5-0 Iraq | World Cup 2026 | BMO Field | 26 Juni, 2026 | 4:00 Usiku

    Senegal na Iraq Zatafuta Ushindi wa Kwanza Kombe la Dunia 2026 Senegal na Iraq zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kumaliza hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa ushindi, katika mchezo wa Kundi I utakaopigwa mjini Toronto. Timu zote mbili bado hazijapata ushindi kwenye mashindano...
  8. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Mamilioni ya FIFA yako wapi? Mabingwa wa Afrika wanaishi maisha ya kubahatisha Kombe la Dunia 2026

    Wana-jamvi, mambo si shwari hata kidogo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Senegal ("Teranga Lions") inayoshiriki Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani. Pamoja na sifa zote na ukweli kwamba walitwaa Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (AFCON), ripoti za ndani zinaleta taswira ya kusikitisha kuhusu uongozi...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Huyu referee siyo Mmoroko kweli? Anyway Senegal nanyi mtumie na akili si nguvu peke yake

    1. Referee sijajua ana tatizo gani na Senegal. Wakiangushwa ni kama haoni kabisa anasonga mbele tu.au anataka mpaka mtu avunjwe shingo ndo iwe foul? 2. Senegal nanyi mpira ni pamoja na akili siyo nguvu tu. Tulieni muwafunge wafaransa hao.
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Ufaransa 3-1 Senegal | World Cup 2026 | MetLife Stadium | 16 Juni, 2026

    Timu ya Taifa ya Senegal imekubali kichapo hicho katika Kundi I, licha ya kuanza kucheza vizuri kipindi cha kwanza cha mchezo huo, kipindi cha pili mbinu za Ufaransa zikawa bora na kupata magoli kupitia kwa Kylian Mbappe dakika ya 66 na 90 na Bradley Barcola (82). Senegal imepata goli lake...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania DJ Sma: Ningekuwa mimi, ningewapeleka Wazazi wa Serengeti Boys, wale Senegal wangekula 5

    Dj SMA kwenye mahojiano na Bongo Plus ametoa maoni yake kuhusu timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 maarufu Serengeti Boys baada ya fainali ya AFCON akisema ; Soma: Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (U-17), maarufu kama Serengeti Boys, leo inashuka dimbani kuivaa Senegal U-17 katika mchezo wa mwisho wa michuano ya TotalEnergies AFCON U-17. Mchezo huo utaanza saa 4:00 usiku katika Uwanja wa Stade Moulay Hassan, Rabat, Morocco...
  13. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Rais wa Senegal atoa msamaha kwa Mwandishi wa Habari Rene Capain Bassene aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha Maisha jela

    Rais wa Senegal ametoa msamaha kwa mwandishi wa habari, Rene Capain Bassene, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha maisha jela kuhusiana na mauaji ya watu 14 yaliyotokea mwaka 2018 katika mkoa wa Casamance. Mnamo Januari 2018, watu 14 waliokuwa wakikata mbao (loggers) walivamiwa na kuuawa katika...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Bunge la Senegal limemchagua Waziri Mkuu wa zamani, Ousmane Sonko, kuwa Spika mpya. Hatua hii inaweza kumpa jukwaa lenye nguvu kubwa la kutoa upinzani kwa Rais Bassirou Diomaye Faye. Spika wa zamani wa bunge hilo, El Malick Ndiaye, alijiuzulu Mei 24, 2026 hatua ambayo wachambuzi wa mambo...
  15. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Rais FAYE wa Senegal Amemfukuza Kazi Waziri Mkuu Wake Kisa Kugombea Madaraka.Hawa ni Kama Mbowe na Lisu.Ukiwa mjinga Utatumikishwa na Wanasiasa.

    Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Ijumaa amemfuta kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali, kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa kupitia shirika la utangazaji la kitaifa, RTS. Tangazo hilo linakuja baada ya miezi kadhaa ya mivutano inayoongezeka kati ya washirika hao wawili...
  16. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Senegal: Mwisho wa "Ndoa" ya Kisiasa? Rais Diomaye Faye amtimua kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali

    Jana, tarehe 22 Mei 2026, ulimwengu wa siasa za Afrika Magharibi umeshuhudia mtikisiko mzito baada ya Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, kumfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, na kuivunja Serikali yote. Uamuzi huu, uliosomwa kupitia televisheni ya taifa na Katibu Mkuu wa Kiongozi...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Senegal waliokamatwa kwenye vurugu za AFCON 2025 Morocco wakana mashtaka

    Mashabiki 18 wa soka wa Senegal waliowekwa jela kwa kosa la kuingia uwanjani wakati wa fainali ya fujo ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kule Rabat mwezi Januari 2026, wamekana kuhusika na kosa lolote. Awali Februari 2026, mahakama nchini Morocco iliwahukumu mashabiki hao kifungo cha...
  18. J

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Timu ya taifa ya Senegal imepeleka kombe la AFCON jeshini, baada ya CAF kutangaza kuipoka ubingwa wake na kuipa Morocco

    Naomba kupata msaada wa ufafanuzi
  19. Yesha

    JamiiForums Tanzania CAF President Patrice Motsepe Defends Decision to Strip Senegal of AFCON Title

    Patrice Motsepe, President of the Confederation of African Football, has defended the decision to strip Senegal of the AFCON title following their walkout during the final. The incident has sparked debate across the football community about discipline, sportsmanship, and the enforcement of...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Haturudishi kombe medali wala pesa zao wasahau-Shirikisho la Senegal

    Senegal imekataa kukabidhi kombe na medali za AFCON 2025. Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limesema kuwa kombe hilo “halitatoka nchini” na lina mpango wa kupinga uamuzi wa CAF. Maafisa wa shirikisho hilo wanasisitiza kuwa mapambano bado hayajaisha, huku baadhi ya wachezaji wakichapisha...
Back
Top Bottom