nyenzo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora katika Kilimo ni Nyenzo ya Kuinua Uchumi

    Uwajibikaji na Utawala Bora katika Kilimo ni Nyenzo ya Kuinua Uchumi Utangulizi Tanzania, kama nchi inayojivunia utajiri wa rasilimali za ardhi na kilimo, ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wake kupitia sekta ya kilimo. Hata hivyo, ili kufikia mafanikio haya, uwajibikaji na utawala bora katika...
  2. L

    ‘Mtego wa madeni’ ni nyenzo ya propaganda inayotumika na jopo la washauri bingwa wa nchi za Magharibi

    Mwaka huu ni wa 10 tangu Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja lilipotolewa na rais wa China Xi Jinping. Katika miaka hii 10, ushirikiano kati ya China na nchi zilizo katika njia ya Ukanda Mmoja na Njia Moja zimefaidika kwa kiasi kikubwa. Mwenyekiti wa Taasisi ya Ukanda Mmoja na Njia Moja ya...
  3. jemsic

    SoC03 Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika kukuza Uwajibikaji Tanzania

    Picha: RF studio DIBAJI Uwajibikaji ni moja ya nguzo muhimu sana ya ustawi wa taifa lolote duniani. Hata maitaifa makubwa na yenye ustawi kimaendeleo kama Marekani yamezingatia uwajibikaji ili kufikia hapo walipo sasa. Teknologia ni moja ya nyezo umuhimu katika karne ya ishirini na moja ambayo...
  4. The Sheriff

    Uhuru wa Kidigitali haupaswi kuwa tishio kwa Serikali bali nyenzo ya kuimarisha uhusiano wake na Wananchi

    Uhuru wa Kidigitali ni muhimu sana kwa utawala bora katika karne hii ya 21. Teknolojia ya kidigitali inatoa fursa nyingi kwa watu kuwasiliana, kushirikiana na kushiriki katika masuala yanayohusu nchi yao. Kwa mfano, serikali inaweza kutumia mifumo ya kidigitali kuboresha upatikanaji wa huduma za...
  5. The Sheriff

    Digitali ni Nyenzo Muhimu Katika Kuongeza Ufahamu na Ushiriki wa Umma Katika Haki za Kijamii

    Teknolojia ya digitali imerahisisha mambo mengi katika dunia ya leo. Si tu imerahisisha mawasiliano na kutoa fursa za ajira kwa vijana na kukuza biashara, bali imekuwa na umuhimu mkubwa katika kupaza sauti za wanyonge, kueneza taarifa, na kuongeza ushirikiano katika makundi mbalimbali ya watu...
  6. Sildenafil Citrate

    Dkt. Ndugulile: Internet ni nyenzo Muhimu kwa Maendeleo

    Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile amesema kuwa Internet ni nyenzo muhimu kwenye kuchochea maendeleo. Kupitia andiko lake kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter, Dkt. Ndungulile amesisitiza umuhimu huduma hii kupatikana kirahisi, kwa gharama...
  7. Allen Kilewella

    Tatizo la Elimu yetu ni kwenye shule za Umma siyo za Binafsi

    Kwenye mfumo wa Elimu Yetu tuna matatizo mengi sana ambayo kwa haraka haraka inawezekana ikatuchukua hata miaka zaidi ya 20 kuyarekebisha, tena kama tukiwa makini na tuliodhamiria kufanya marekebisho yanayotakiwa. Kwenye Mfumo wetu wa Elimu watu waliofundishwa kuwa Maafisa Elimu kwenye vyuo...
  8. The Sheriff

    Teknolojia Saidizi: Nyenzo Muhimu kwa Ustawi wa Watu Wenye Mahitaji Maalum na Dunia

    Katika ulimwengu wa kisasa unaozingatia teknolojia, kuna uvumbuzi mwingi sana wa kurahisisha maisha yetu. Teknolojia saidizi imekuwa muhimu sana kwa watu wenye ulemavu, wazee, na watu walio na maradhi mbalimbali. Teknolojia saidizi (assistive technology) ni vifaa au programu yoyote ambayo...
  9. I

    Tozo za magari nazo zishuke. Gari ni nyenzo muhimu ya maendeleo kwa nchi masikini kama yetu

    Tuipongeze serikali kwa jitihada inazofanya za kutafuta njia tofauti za kupunguza makali ya maisha kwa kupunguza tozo Sasa ifikie wakati serikali ione ulazima wa kupunguza ushuru wa magari kwani ni mkubwa mno hata kwa gari lililotumika Ikumbukwe tu gari ni moja ya nyenzo muhimu ya maendeleo...
  10. armmando

    SoC02 Vyama vya ushirika kama nyenzo kuu ya maendeleo

    USHIRIKA KAMA NYENZO KUU YA MAENDELEO. Vyama vya ushirika ni msamiati unaokaribia kufutika kabisa kwa kizazi cha sasa. Vyama kama SHIRECU, KCU na KNCU viliweza, kwa wakati wao, kuleta mapinduzi kwenye sekta za kilimo cha mazao ya kibiashara kama pamba na kahawa. Kupuuzwa kwa dhana ya ushirika...
  11. M

    SoC02 Kalamu na karatasi ni nyenzo za msingi kabla ya kuanza mapambano

    Sisi Kama WATANZANIA au wanadamu Kila mmoja anashughuli ambayo anaifanya ili kumuingizia kipato Cha Kila siku ambacho kitamsaidia kukidhi mahitaji yake binafsi na familia yake kwa ujumla. Na Kama siyo hivyo basi ipo shughuli ambayo Kila mmoja wetu anaamini akishiriki kikamilifu katika shughuli...
  12. Mr Excel

    SoC02 Ili upate mwangaza ni lazima ukubali kuchoma nyenzo

    Kalamu ya uandishi wangu inakusanya maono ya fikra, hisia, mawazo na shauku ya msomaji mwenye ari ya kutaka kufahamu kichwa cha makala hii kinalenga nini hasa? na je, makala hii inanigusa? na itaniletea mabadiliko baada ya kuisoma na kuielewa vizuri?. Bila shaka na hofu ondoa ndugu msomaji wa...
  13. Tonytz

    SoC02 Tudumishe Kiswahili kwa maendeleo endelevu na nyenzo ya kudai haki

    UTANGULIZI Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi ya uzima na uwezo wa kuniongoza katika kuandika Makala hii yenye kuleta tija hapa nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Pia, nawashukuru na kuwapongeza JF kwa kuweka shindano hili na jukwaa hili ili kuinua vipawa vy vijana wengi hapa nchini...
  14. The Sheriff

    Uwazi katika Utendaji wa Serikali: Nyenzo Muhimu ya Ufuatiliaji wa Rasilimali za Umma na Mapambano dhidi ya Rushwa

    Katika miaka ya hivi karibuni nchi nyingi zimeendelea kutambua umuhimu wa uwazi wa serikali katika kuimarisha demokrasia, kukabiliana na rushwa na kukuza maendeleo. Uwazi wa serikali kimsingi ni wajibu wa serikali kuwa wazi, kuwajibika, na kuwa ya kuaminika kwa raia wake. Uaminifu huu...
  15. BabaMorgan

    Startimes nyenzo muhimu katika kuendeleza na kuimarisha ushawishi wa taifa la China barani Afrika

    Tunaotumia kingamuzi cha startimes sasa tunajifunza lugha ya Kichina kupitia channel ya starswahili hongera kwa Wachina kutumia kampuni yao ya startimes kama jukwaa la kutangaza tamaduni zao pamoja na mafanikio yao. Mataifa shindani kama USA yameendelea kushangazwa na kuongeza kwa ushawishi wa...
Back
Top Bottom