Tume ya Uchunguzi imependekeza kuanzishwa kwa mfumo madhubuti wa kufuatilia na kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi ili kuzuia uchochezi na uenezi wa habari za uwongo. Serikali inashauriwa kuweka sheria maalumu zinazohitaji majukwaa ya mitandao kutoa taarifa za...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo, nikiwahimiza Watanzania, tuache chuki, ni ugonjwa hatari unao eneo kwa kasi kwenye taifa letu, uliokolezwa na kilichotokea October 29.
Je ni wangapi miongoni mwetu, wajua kuwa chuki ikizidi ni ugonjwa?. Chuki ni ugonjwa...
Habari zenu huku,
Nianze kwa kuandika, siyo kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.
Miaka takribani 16 iliyopita nilijiunga na jamii forum, kipindi hicho sikufahamu kabisa juu ya mitandao ya kijamii.. lakini kupitia nyuzi za watu , nilijifunza na kuelewa mambo mengi sana.(kipindi hicho jf ilikua...
Wakuu,
Mwenye ujuzi na ufahamu wa namna Serikali au sisi kama nchi kwa ujumla wake tunanufaika na kufungiwa kwa mitandao kama X, JamiiForums, Telegram nk aseme huenda wanastahili pongezi kwa kufanya hivyo na sisi tuko kimya tu kwa kuwa hatujui. Naomba kufahamishwa ili nianze kutoa pongezi.
Na...
Kauli ya Madam Rita kwa Media ya Mike 360
-------
Jumuia ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii (JUMIKITA) kupitia Mwenyekiti wake, Ndugu Shaaban Matwebe, imesikitishwa na kulaani vikali kitendo kisicho na heshima wala uungwana kilichofanywa na Madam Rita dhidi ya chombo cha habari cha...
MITANDAO YA KIJAMII JINSI INAVYOLIPA!!!
FURSA YA KIPEKEE YA KUKUZA KIPATO CHAKO!
Je, unatafuta njia ya kuongeza kipato chako kupitia mitandao ya kijamii ukiwa nyumbani au popote ulipo?
Karibu kwenye Kampuni ya Eternal International – mahali ambapo ndoto zako za kifedha zinaanza kuwa kweli...
Tumia mitandao ya kijamii kujenga thamani yako.
Vijana wengi wanatumia mitandao ya kijamii kufutilia thamani za wengine kuliko kujenga za kwao hili nao wafutiliwe na wengine wajifunze maisha kutoka kwao.
Kama kijana kitu cha kwanza badili mtazamo juu ya maisha yako,
unataka kujenga kitu gani...
Hii inshu ni halisi wakuu, leo wakati napitia kwenye chombo kimoja cha habari nilikutana na habari ya mkuu wa mkoa wa Dar akitoa taarifa ya zawadi ya IDD ya mama basi nikajaribu kupitia comment zile za kupongeza tu.. nikaona mambo ya ajabu sana!
1. Profile zote zimeshare content moja
2...
Asema Waislamu hawaruhusiwi kutumia chochote cha makafir, na kwa vile hii mitandao na teknolojia zote hizi ni za makafir, hivyo wanaozitumia watakwenda motoni.
https://vm.tiktok.com/ZS9R1jRMqEye9-PlLgb
Katika dunia ya leo, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu kubwa ya maisha ya vijana. Vijana wengi wana simu janja na wanatumia mitandao kama vile **Facebook, WhatsApp, Instagram na TikTok.
Hata hivyo, changamoto kubwa iliyopo ni kwamba vijana wengi hawana elimu ya matumizi sahihi ya mitandao...
Changamoto kubwa iliyopo kwa sasa karibu kila mtu amekuwa mwanahabari. Kila mtu anaripoti matukio yanayoendelea duniani, kila mtu ni mchambuzi. Inaboa mno
Mpira unaletaga huzuni na kukata tamaa timu yako inaposhindwa. Pia mpira unaleta furaha na kuchangamsha.
Video hapo chini inamuonesha Mlinzi wa timu ya taifa ya Ufaransa na Liverpool Ibrahima Konate akishangilia goli la Ekitike ambalo baadaye lilikataliwa.
Kilichowafurahisha wengi kwenye...
Wakuu,
Baada ya media kuanza kuripoti kinachoendelea mahakamani na statements wanazotoa mashahidi kuchekesha na kuonekana ni za ajabu ajabu jamaa wameona sasa waanze kubana na kukataza hizo proceedings za kuripotiwa
Jamaa wanakaba kila sehemu
=========
Mhe Lissu: Siku ya jana tuliambiwa...
Wakuu,
Vyombo vya usalama nchini Uganda vimewakamata washukiwa wanne wa uhalifu wa mtandaoni wanaodaiwa kujifanya Binti wa Rais, Natasha Karugire, kwenye mitandao ya kijamii kwa lengo la kuwalaghai wananchi.
Washukiwa hao, waliokamatwa kupitia operesheni ya pamoja ya JATT, CID na Idara ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Usishindane na aliyebarikiwa, usishindane na aliyepewa kibali na Mungu, usishindane na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu. Lazima mfahamu na ifahamike ya kuwa Aliyepewa kapewa tu. Aliyebarikiwa kabarikiwa tu. Huwezi kumpokonya mtu kibali alichopewa na Mungu.
Rais Samia ni...
Licha ya Mitandao ya Kijamii kurahisisha mawasiliano na kupatikana kwa taarifa katika jamii, imesaidia pia kukuza demokrasia kwa kuwawezesha wananchi kutoa maoni, kuhoji viongozi, na kushiriki mijadala ya kidemokrasia.
Kupitia majukwaa ya mitandao hayo kama WhatsApp, X (zamani Twitter)...
Mkuu wa jeshi ya Ulinzi ya Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kuondolewa kwa vikwazo vya matumizi ya mitandao ya kijamii kufuatia kukamilika kwa mchakato wa uchaguzi nchini humo.
Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) leo Januari 26...
Hii December nimepigwa ban mara sita
Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban
Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban
Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban
Kurud hiv vitu vikawa vinarecover
Kutuma text kidogo ti ban
Ban ban
Christmas ban
Je wewe hii hali ishawahi kukutokea?
Ni...
Pamoja na mchango wake mkubwa katika kuunganisha jamii, bado kumekuwepo na baadhi ya viongozi ambao hawajatambua kikamilifu umuhimu wa mitandao ya kijamii kama chombo cha kuwasogeza karibu na wananchi wanaowaongoza.
Mitandao ya kijamii imeondoa mipaka kati ya kiongozi na mwananchi, dunia sio...
JamiiForums ni social media website ambayo inapokea User Generated Content
Katika mitandao ya Kijamii ulimwenguni, ina watumiaji wa aina mbili
Watumiaji wanaotii na wasiotii Sheria
Ili kuweka usawa ni kuwajibisha wale watumiaji wanaovunja Sheria huku wanaotii wakibaki salama
Hatuwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.