accountability

Accountability, in terms of ethics and governance, is equated with answerability, blameworthiness, liability, and the expectation of account-giving. As in an aspect of governance, it has been central to discussions related to problems in the public sector, nonprofit and private (corporate) and individual contexts. In leadership roles, accountability is the acknowledgment and assumption of responsibility for actions, products, decisions, and policies including the administration, governance, and implementation within the scope of the role or employment position and encompassing the obligation to report, explain and be answerable for resulting consequences.
In governance, accountability has expanded beyond the basic definition of "being called to account for one's actions". It is frequently described as an account giving relationship between individuals, e.g. "A is accountable to B when A is obliged to inform B about A's (past or future) actions and decisions, to justify them, and to suffer punishment in the case of eventual misconduct"and more. Accountability cannot exist without proper accounting practices; in other words, an absence of accounting means an absence of accountability. Another key area that contributes to accountability is good records management.

View More On Wikipedia.org
  1. JF Toons

    Umeelewaje katuni hii Mdau?

    Vipi mdau, umeelewaje katuni hii? Upi mtanzamo wako kwenye katuni hii?
  2. Jamii Opportunities

    Resource Mobilization & Communications Manager at WAJIBU – Institute of Public Accountability April, 2024

    Introduction: WAJIBU – Institute of Public Accountability was founded in 2015 to foster an environment that supports transparency, accountability and good governance in the management of public funds in the country. WAJIBU is a Non-Governmental Organization (with Registration Number...
  3. Jamii Opportunities

    Data and Accountability Officer at Plan International November, 2023

    Position: Data and Accountability Officer Location: Kibondo, Tanzania Location: Kibondo Reports to: MEAL Coordinator – PlayMatters Level: 12 Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls. We believe in...
  4. The Sheriff

    Unachukua tahadhari gani za kiusalama unapotumia Taksi Mtandao (Uber, Bolt n.k)?

    Tukio la kusikitisha la kifo cha Catherine Serou, mwanamke Mamrekani, linatufundisha umuhimu wa kuchukua tahadhari zinapohusiana na usalama wako unapotumia huduma hizi. Kifo cha Catherine Serou kilitokea baada ya kupanda gari la mtu asiyejulikana, akiwa na imani kuwa ni dereva wa Uber. Usalama...
  5. J

    SoC03 Promoting Accountability and Good Governance in the Gold Mining Sector in Geita, Tanzania

    Abstract: Accountability and good governance are crucial factors in the gold mining sector in Geita, Tanzania. This sector significantly contributes to the country's economy while providing employment opportunities to a large number of people. However, in order to drive positive change and...
  6. Advocate_Silayo

    The Influence of Social Media on Global Connectivity and Personal Accountability

    Since the inception of social media, it has become an easy and convenient way for people to connect quickly, even if they are far apart. Today, someone living in Tanzania can speak and see someone living in many other countries around the world. This convenience has been brought about by the use...
  7. R

    Watumishi wa umma, wanasiasa na wafanyabiashara wanaiba na wataendelea kuiba kwa sababu tajiri Tanzania hafungwi

    Ripoti ya CAG itaendelea kuwa Stori zisizo na funzo lolote Kwa Sababu wezi wamegundua kwamba ukiwa na pesa hakuna wakukuchukulia hatua. Wanasiasa wote walioiba na waliobambikiwa kesi wapo uraia na wananchi wanampongoza awamu ya sita Kwa kuwaachia matajiri; lakini tujiulize NI maskini gani...
  8. The Sheriff

    Uraia Hai ni chachu ya mabadiliko chanya katika jamii

    Uraia Hai (active citizenship) unamaanisha watu kujihusisha katika jamii zao na demokrasia katika ngazi zote na kuelewa kuwa sisi sote ni tofauti, lakini jukumu la kubadilisha jamii zetu ni sawa. Uraia hai unaweza kuanzia katika ngazi ndogo kama vile kampeni ya kusafisha mtaa wako au kubwa kama...
  9. sifi leo

    Waziri Dorothy Gwajima, ingilia kati harakati za Mwenyekiti wa SUMAUJATA Wilaya ya Moshi Vijijini mtoto huyu apate haki ya elimu

    Ninaandika barua hii nikibubujikwa na Machozi Mimi kama Mzazi lakini nasitika kuona vyombo vya Dola ikiwemo ofisi ya mkurugenzi, wilaya Moshi vijijini, Mkuu wa Wilaya kutotimiza wajibu wao ipasavyo kuhakikisha Vitendo vya ukatili kwa watoto hasa wa kike na kiume havikomeshwi mkoani Kilimanjaro...
  10. The Festival

    Uongozi unaowajibika ni mhimili imara katika mapambano dhidi ya changamoto zinazotukabili

    Habari za muda huu popote pale ulipo. Ni matumaini yangu sote ni wazima wa afya, ama kwa yule aliepatwa na mtihani wa maradhi tunamuombea shifaa apone haraka kwa idhini ya aliyetuumba. Moja kwa moja kwenye neno. Kumekua na kukosoa pale mambo yasipoeleweka, kupongeza pale mambo yanapoenda sawa...
  11. Sildenafil Citrate

    Rais Samia: Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi. “Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo...
  12. The Sheriff

    Serikali Ina Wajibu wa Kuhakikisha Raia Wake Hawadhulumiwi Maisha au Mali Zao

    Moja ya majukumu makubwa kabisa ya serikali ni kuwalinda watu wake dhidi ya changamoto zote za kiusalama na kuwahakikishia amani na utulivu. Jukumu la Serikali si tu kulinda watu wake kutokana na mashambulizi ya nje, lakini pia kuwalinda dhidi ya changamoto zote za kiusalama zinazoweza...
  13. Roving Journalist

    DOKEZO Wanafunzi zaidi ya 100 Mkoani Mbeya walazimishwa kushika kinyesi cha Binadamu kwa mikono na walimu wao

    Tukio la kikatili limeripotiwa kutokea Septemba 7, 2022 majira ya asubuhi Shule ya Sekondari Songwe, Kata ya Bonde la Songwe kwa wanafunzi wa kidato cha pili na cha nne waliopo shuleni hapo kwa maandalizi ya mitihani ya Taifa. Inadaiwa kuwa walimu wa shule hiyo ambao kwa majina ni Lugongo...
  14. Sildenafil Citrate

    Mchango wa Balozi za Tanzania kwenye kusaidia upatikanaji wa Ajira kwa Watanzania

    Naibu waziri wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesema kuwa Balozi zinatafuta fursa za ajira kwa kuingia mikataba ya ajira nje ya nchi, pia kuhakikisha usalama na maslahi yao. Serikali kupitia TAESA inawezesha watanzania kuomba...
  15. Sildenafil Citrate

    Utafiti: Kuku wa kisasa kwenye Manispaa za Ilala na Kinondoni wana kiwango kikubwa cha dawa za kuua Bakteria

    Utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu Cha Muhimbili kwenye machinjio ya kuku ya Shekilango na Manzese umegundua uwepo wa kiwango kikubwa cha dawa za kuua bakteria ambazo wafugaji huzitumia katika kuwatunza. Watafiti hawa wamebaini uwepo wa kiasi kikubwa cha dawa ya tetracycline...
  16. Sildenafil Citrate

    Rais Samia akishiriki Kongamano la Wanawake na Vijana wa eneo huru la Biashara la Afrika (AfCFTA), 12-9-2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Wanawake na Vijana wa Eneo Huru la Biashara la Afrika ( AfCFTA) katika Ukumbi wa JNICC - Dares Salaam, tarehe 12 Septemba, 2022
  17. Sildenafil Citrate

    Rais Samia: Tanzania tuna madini mengi kiasi ambacho mengine hatujui yanaitwaje

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suhulu Hassan amesema kuwa Tanzania ni nchi ambayo Mwenyezi Mungu ameibariki neema nyingi sana. Amesema hayo wakati akitoa hotuba yake kwenye hafla ya maadhimisho ya miaka 50 ya WAWATA (Wanawake Wakatoliki Tanzania) iliyofanyika uwanja wa...
  18. Sildenafil Citrate

    #COVID19 Serikali yaondoa ulazima wa kuvaa barakoa

    Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Serikali imeondoa ulazima wa kuvaa barakoa isipokuwa pale inapobidi, mfano kwa wale wenye magojwa ya mfumo wa hewa na kwenye mikusanyiko ya ndani. Hii inatokana na kupungua kwa maambukizi ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini na Duniani kote. Kulingana na...
  19. Sildenafil Citrate

    Mishahara wanayolipwa Viongozi Wakuu nchini Kenya iko wazi, Tanzania hali ikoje?

    Baadhi ya nchi duniani huwa na taratibu za kuweka wazi mishahara ya viongozi wakuu pamoja na wale wanaoongoza mihimili mingine ili wananchi wao waifahamu. Hii ni sehemu ya kuonesha uwazi na uwajibikaji wa Umma kwa kuwa mamlaka yao hutoka huko. Mfano, Rais wa Nchi ya Kenya hulipwa kiasi cha...
Back
Top Bottom