Baadhi ya mikoa Azam Antenna ilipotea hewani. Na Visimbusi hivyo vya Azam vikawa vinaonyesha Channel za Startimes.
Waelewa tatizo ni Error code 69.
Sasa kama ilivyofanyika kwenye simu kwamba simu zote zitumie type C.
Kwanini serikali isiangalie hili suala na kuruhusu watanzania kulipia...
Habari wanajf, nilinunua kig'amuzi cha startimes miezi mitano iliyopita ila tatizo ni kwamba nliangalia channels za ofa kwa wiki tu, then zikabaki za local yaan itv,eatv,tbc1 kwa muda mwa miezi minne,
Sasa hvi hata hzo local zimeondoka naimebaki na Guide na ubc tu.
So nimekuja hapa kwa wanajf...
AINA YA TV: StarTimes
MODEL: Smart TV
UPANA: inch 55''
Resolution (Ubora wa picha): 4K
Bei: Milioni moja na laki moja (1,100,000/- TZS)
Mahali: Kimara, Dar es salaam
Kama unaihitaji TV hii tuwasiliane: 0755038159
NB: Haina tatizo lolote
Achana na bei za vifurushi,achana na kuondoa local Chanel kwenye fta.
Leo kupitia Chanel yao ya Tv3 walikua wakionesha mpira Kati ya Simba na raja,,wakati kipindi Cha pili kinaanza hawakurudi uwanjani mapema walidelay for 19 minutes,,,na bado hawajatolea ufafanuzi Wala kutuomba msamaha wateja...
Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi.
Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu...
Habari ndugu wananchi wa jamhuri ya Ukraine na Urusi.
Nitangaze kuwa Mimi Ni mdau mkubwa wa vipindi vinavyorushwa na startime's channels St Swahili na St Mambo.
Kilichonileta hapa jukwaani Ni kutokana na kile kilichotokea Jana kwenye mchuano wa Mang'endo na Kiredio. Kwenye ule mchuano...
Positions: Sales Representatives
Qualification: Bachelor’s Degree in Marketing, Sales, Business Administration or related field
Years of Experience: 3-5 years experience
Sales Representative positions
Main Job Responsibilities
Ensure target achievement on daily basis for DTT/DTH activation...
Kampuni ya Arise (AR) inayotayarisha filamu na yenye makao yake mjini Mombasa Kenya, imepata fursa ya kipekee ya kusaini mkataba wa kuandaa filamu inayoitwa NIA, ambayo inarushwa kupitia kituo cha runinga cha Rembo, kinachomilikiwa na kampuni ya StarTimes.
Akizungumza na CRI Kiswahili, Derrick...
Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa...
Tunaotumia kingamuzi cha startimes sasa tunajifunza lugha ya Kichina kupitia channel ya starswahili hongera kwa Wachina kutumia kampuni yao ya startimes kama jukwaa la kutangaza tamaduni zao pamoja na mafanikio yao.
Mataifa shindani kama USA yameendelea kushangazwa na kuongeza kwa ushawishi wa...
Job Description
The Human Resource will perform different HR tasks and duties to support effective and efficient operations of the Human Resource Department and the organizations.
Responsibilities
Assist with day to day operations of the HR functions and duties.
Provide clerical and...
Wakuu, sasa hivi Tumaini TV haipo kwenye king'amuzi cha Startimes ilihali waliiweka sasa najiuliza ni kitu gani kilichopelekea kuondolewa?
Sasa hivi Tumaini TV ipo kwenye king'amuzi cha Azam.
Sales Administrative Assistant – STARTIMES SOUTHERN ZONE Office (Mbeya)
Job Overview;
StarTimes is the Pay tv leading company in Tanzania. We’re proud of being among the best and Top employer in Tanzania. We are hiring a talented Sales Assistant professional to join our team. If you’re excited...
1. Position Title: Purchasing and Sales Manager
Job Responsibilities:
Under the guidance of Headquarter, be responsible forgiving feedback of the marketability of products purchased in China through survey;
According to the planning of Headquarter, be responsible for finding out the purchase...
Nimeweka Leo king'amuzi cha startimes lakini kitu, kinacho nishangaza ni hiyo black color kwenye kuonesha picha, vipi hapo nawezaje kulimaliza hilo tatizo, sipati raha kabisa, au shida itakua Ni TV au king'amuzi chenyewe, TV yenyewe Ni ya chogo kubwa,
Nina utaratibu was kulipa kifurushi kila ninapotaka kutazama tukio fulani kupitia dekoda ya startimes,
Leo kifurushi kimeisha tangu asubuhi Hadi chaneli ambazo so za kulipia nawekewa hili dudu Hadi picha ya tv siioni vzr, kwani lazima kulipia.
Niko huru, sitaki hili tangazo lenu katika screen...
Job Title: Shop Managers – 4 Positions
Department: Operations
Locations: Dar and Other Regions
Reports To: Operations Manager/ Operations Director
StarTimes Group was founded in 1988. It is the most influential system integrator, technology provider, network operator, and content provider in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.