man united

Manchester United Football Club, commonly referred to as Man United (often stylised as Man Utd), or simply United, is a professional football club based in Old Trafford, Greater Manchester, England. The club competes in the Premier League, the top division in the English football league system. Nicknamed the Red Devils, they were founded as Newton Heath LYR Football Club in 1878, but changed their name to Manchester United in 1902. After a spell playing in Clayton, Manchester, the club moved to their current stadium, Old Trafford, in 1910.
Domestically, Manchester United have won a record 20 league titles, 12 FA Cups, six League Cups and a record 21 FA Community Shields. In international football, they have won the European Cup/UEFA Champions League three times, and the UEFA Europa League, the UEFA Cup Winners' Cup, the UEFA Super Cup, the Intercontinental Cup and the FIFA Club World Cup once each. In 1968, under the management of Matt Busby, 10 years after eight of the club's players were killed in the Munich air disaster, they became the first English club to win the European Cup. Sir Alex Ferguson is the club's longest-serving and most successful manager, winning 38 trophies, including 13 league titles, five FA Cups, and two Champions League titles between 1986 and 2013. In the 1998–99 season, under Ferguson, the club became the first in the history of English football to achieve the continental treble of the Premier League, FA Cup and UEFA Champions League. In winning the UEFA Europa League under José Mourinho in 2016–17, they became one of five clubs to have won the original three main UEFA club competitions (the Champions League, Europa League and Cup Winners' Cup).
Manchester United is one of the most widely supported football clubs in the world and has rivalries with Liverpool, Manchester City, Arsenal and Leeds United. Manchester United was the highest-earning football club in the world for 2016–17, with an annual revenue of €676.3 million, and the world's third-most-valuable football club in 2019, valued at £3.15 billion ($3.81 billion). After being floated on the London Stock Exchange in 1991, the club was taken private in 2005 after a purchase by American businessman Malcolm Glazer valued at almost £800 million, of which over £500 million of borrowed money became the club's debt. From 2012, some shares of the club were listed on the New York Stock Exchange, although the Glazer family retains overall ownership and control of the club.

View More On Wikipedia.org
  1. Mdakuzi

    Man United kupigania kutoshuka daraja

    Man United: Kipigo, Matumaini Yanayoyeyuka, na Mvumo wa Mashaka Usiku wa Desemba 30, 2024, Old Trafford, uwanja uliojaa kumbukumbu za ushindi wa kihistoria ukageuka kuwa kaburi la matumaini ya mashabiki wa Manchester United. Sauti za shangwe zilizokuwa zinaashiria imani ya mashabiki...
  2. JanguKamaJangu

    Marcus Rashford asema yupo tayari kuondoka Man United ili kupata changamoto mpya

    Mshambuliaji wa #ManchesterUnited, Marcus Rashford amesema yupo tayari kupata changamoto mpya nje ya klabu yake na kusisitiza kuwa hata ikitokea ameondoka hatajisikia vibaya. Amesema hayo wakati ambapo amepoteza nafasi katika kikosi cha kwanza chini ya Kocha Ruben Amorim, pia inadaiwa kuna...
  3. Dalton elijah

    ERIK TEN HAG kama ataondoka Man United basi itakuwa wameamua kumuondoa tu!

    Bado mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama shida ni kocha, TEN HAG anaweza kuwa kuwa sehemu ndogo sana ya tatizo lililopo Old Trafford kwa sasa! David Moyes kapita hapo na alitoka Everton akiwa bora sana, Louis Van Gaal amepita hapo akiwa na Uholanzi tishio Duniani, Jose Mourinho ndio hakuna...
  4. JanguKamaJangu

    Ole Gunnar Solskjaer asema yupo tayari kurejea Man United

    Ole Gunnar Solskjaer piles pressure on Erik ten Hag by opening the door for sensational Man United return three years after Old Trafford sacking Ole Gunnar Solskjaer has given his verdict on if he would ever return to Manchester United. After initially making his name as a player at Old...
  5. J

    Ten Hag ana mechi mbili tu Man United

    Mchezaji wa zamani wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Alan Shearer amesema kocha wa Manchester United, Erik ten Hag ana michezo miwili pekee ya kuokoa kibarua chake. Man United ambayo kwa sasa inashika nafasi ya 14, katika mechi tatu za mwanzo za EPL imeshinda moja na kupoteza...
  6. Waufukweni

    Mkurugenzi Mtendaji wa Man United: Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%

    Mkurugenzi Mtendaji wa Manchester United Omar Berrada anasema kocha Erik ten Hag anaungwa mkono kikamilifu na klabu hiyo na ana amini kuwa ndiye kocha atakayewapa mafanikio ya muda mrefu. "Tunafikiri Erik Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%". United...
  7. JanguKamaJangu

    Premier League imerejea, Man United vs Fulham mzigoni

    Msimu wa 2024/25 katika Ligi Kuu ya England “Premier League” unatarajiwa kuanza leo Agosti 16, 2024 ambapo utaendelea hadi Mei 25, 2025, bingwa mtetezi akiwa ni Manchester City. Timu ya Manchester United inafungua pazia kwenye Uwanja wa Old Trafford kwa kuikaribisha Fulham, huku mechi nyingine...
  8. J

    Owen aitabiria Arsenal ubingwa EPL akiitosa Man United top four

    Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Michael Owen ametabiri Arsenal kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu ujao wa 2024/2025 huku akishindwa kuiweka Man United katika orodha ya timu nne zitakazomaliza katioka nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi hiyo. Owen ambaye pia...
  9. JanguKamaJangu

    Pigo ndani ya Man United: Leny Yoro nje miezi mitatu, Hojlund nje wiki sita

    Kikosi cha Manchester United kimepata pigo baada ya beki mpya wa kati kwenye timu hiyo aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 59, Leny Yoro kupata majeraha yatakayomuweka nje kwa miezi mitatu, pia straika Rasmus Hojlund naye atakuwa nje kwa wiki sita. Wote waliumia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya...
  10. M

    Man united kujenga uwanja mpya kwa euro Bilioni 2.4

    Klabu ya manchester united nchini England imepitisha mpango wa kujenga uwanja mpya wa mpira utakaokua na manufaa zaidi kuliko kukarabati ule uliopo [old trafford], uwanja huo utakaobeba mashabiki 100,000 unakadiriwa kugharimu euro bilioni 2.4. Mpango huu umetokana na kuvuja kwa uwanja wa zamani...
  11. Roving Journalist

    Erik ten Hag bado yupoyupo sana Man United

    Klabu ya Manchester United imeamua kuendelea kubaki na Erik ten Hag na tayari mazungumzo ya mkataba mpya yameanza na Kocha huyo ambaye iliaminika atafukuzwa kazi kutokana na kufanya vibaya katika Premier League Msimu wa 2023/24 Inadaiwa kuwa mmoja wa Wamiliki wa Klabu, Sir Jim Ratcliffe ameamua...
  12. B

    Manchester United mabingwa Kombe la FA 2024 baada ya kuifunga Man City 2-1

    Ni baada ya leo kuichapa ManCity 2-1 uwanja wa Wembley huku golikipa Onana akiwa man of the match. --- Manchester United imefanikiwa kubeba Ubingwa wa FA Cup 2024 kwa kuifunga Manchester City katika Fainali kwa magoli 2-1 kwenye Uwanja wa Emirates Jijini London Magoli ya Alejandro Garnacho na...
  13. JanguKamaJangu

    Man United itamfukuza Ten Hag baada ya Fainali ya FA Cup

    Tetesi kutoka katia vyanzo vya ndani ya Klabu ya Manchester United zimedai kuwa Kocha Erik ten Hag anatarajiwa kufukuzwa kazi mara baada ya mchezo dhidi ya Manchester City katik Fainali ya Kombe la FA, kesho Mei 25, 2024. Taarifa kutoka Gazeti la The Guardian zinaeleza kuwa mmoja wa wamiliki wa...
  14. Annie X6

    Yaani Man united ni vichekesho tu ona huyu

    I nashangaza unapoona watu wanaokusaidia unawatupa Huyu kijana anajitahidi na anacheza kwa kujituma. Unamuachiaje??
  15. JanguKamaJangu

    Man United yaingia Fainali ya FA kwa matuta 4-2

    Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3. Baada ya kuongeza dakika 30 za nyongeza katika Nusu Fainali hiyo ya...
  16. JanguKamaJangu

    Klopp aelezea sababu ya mchezo wa Liverpool na Man United kuwa mgumu

    Mchezo wetu (Liverpool) ugenini dhidi ya Manchester United ni mechi maalum kwa United kuliko wanapocheza dhidi ya timu nyingine, wanacheza kwa bidii zaidi ya kawaida yao, ndio maana inakuwa mechi ngumu, hivyo ndivyo ilivyo. Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, Aprili 7, 2024, ametoa kauli hiyo...
  17. JanguKamaJangu

    Man United kufanya uchunguzi wachezaji wao kuumia mara kwa mara, baada ya Martinez na Lindelof kuumia

    Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema wanatarajia kufanya uchunguzi wa ndani kubaini sababu za wachezaji wake kuumia mara kwa mara ikiwa ni siku chache baada ya Lisandro Martinez na Victor Lindelof kupata majeraha. Walinzi hao wanatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja, Martinez akipata...
  18. Idimi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
  19. Annie X6

    Mechi ambayo hawezi kuisahau kama ni shabiki wa Man United

    Alex Fergus aliteseka sana https://youtu.be/XXYbVpkI-UY?si=4NGKVOT9hgXRoIG- Sio ten hag peke yake angalia hii. Baada ya hapa sir alex alihakikisha anampata Ronaldo. Na akampa.nafasi
Back
Top Bottom