Manchester United Football Club, commonly referred to as Man United (often stylised as Man Utd), or simply United, is a professional football club based in Old Trafford, Greater Manchester, England. The club competes in the Premier League, the top division in the English football league system. Nicknamed the Red Devils, they were founded as Newton Heath LYR Football Club in 1878, but changed their name to Manchester United in 1902. After a spell playing in Clayton, Manchester, the club moved to their current stadium, Old Trafford, in 1910.
Domestically, Manchester United have won a record 20 league titles, 12 FA Cups, six League Cups and a record 21 FA Community Shields. In international football, they have won the European Cup/UEFA Champions League three times, and the UEFA Europa League, the UEFA Cup Winners' Cup, the UEFA Super Cup, the Intercontinental Cup and the FIFA Club World Cup once each. In 1968, under the management of Matt Busby, 10 years after eight of the club's players were killed in the Munich air disaster, they became the first English club to win the European Cup. Sir Alex Ferguson is the club's longest-serving and most successful manager, winning 38 trophies, including 13 league titles, five FA Cups, and two Champions League titles between 1986 and 2013. In the 1998–99 season, under Ferguson, the club became the first in the history of English football to achieve the continental treble of the Premier League, FA Cup and UEFA Champions League. In winning the UEFA Europa League under José Mourinho in 2016–17, they became one of five clubs to have won the original three main UEFA club competitions (the Champions League, Europa League and Cup Winners' Cup).
Manchester United is one of the most widely supported football clubs in the world and has rivalries with Liverpool, Manchester City, Arsenal and Leeds United. Manchester United was the highest-earning football club in the world for 2016–17, with an annual revenue of €676.3 million, and the world's third-most-valuable football club in 2019, valued at £3.15 billion ($3.81 billion). After being floated on the London Stock Exchange in 1991, the club was taken private in 2005 after a purchase by American businessman Malcolm Glazer valued at almost £800 million, of which over £500 million of borrowed money became the club's debt. From 2012, some shares of the club were listed on the New York Stock Exchange, although the Glazer family retains overall ownership and control of the club.
Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3.
Baada ya kuongeza dakika 30 za nyongeza katika Nusu Fainali hiyo ya...
Mchezo wetu (Liverpool) ugenini dhidi ya Manchester United ni mechi maalum kwa United kuliko wanapocheza dhidi ya timu nyingine, wanacheza kwa bidii zaidi ya kawaida yao, ndio maana inakuwa mechi ngumu, hivyo ndivyo ilivyo.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, Aprili 7, 2024, ametoa kauli hiyo...
Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema wanatarajia kufanya uchunguzi wa ndani kubaini sababu za wachezaji wake kuumia mara kwa mara ikiwa ni siku chache baada ya Lisandro Martinez na Victor Lindelof kupata majeraha.
Walinzi hao wanatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja, Martinez akipata...
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
Alex Fergus aliteseka sana
https://youtu.be/XXYbVpkI-UY?si=4NGKVOT9hgXRoIG-
Sio ten hag peke yake angalia hii.
Baada ya hapa sir alex alihakikisha anampata Ronaldo. Na akampa.nafasi
Ikicheza mchezo wake wa 18 katika Premier League msimu huu wa 2023/24, Manchester United imepoteza kwa magoli 2-0 dhidi ya West Ham United, ikiwa ni mchezo wa 8 kupoteza katika Ligi hiyo.
United ambayo imeshinda mchezo mmoja tu kati ya mitano iliyopita katika EPL, inazidiwa pointi 11 na vinara...
Jumapili ya Desemba 17, 2023, Saa 1:30 Usiku, Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag anatarajiwa kuwa na mtihani mgumu wa kuivaa Liverpool katika mchezo wa Premier League kwenye Uwanja wa Anfield, huku akiwa na orodha ndefu ya wachezaji wa kikosi cha kwanza anaotarajiwa kuwakosa.
Marcus...
Haya kwa wale wapenzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya leo kwa upekee kabisa tunawaletea kitakachojiri live wakati wa mchezo huo.
Mchezo huu wa mwisho kabisa wa hatua ya Makundi unabeba hisia nyingi za wapenzi wa soka kutokana na uhitaji wa ushindi kwa Timu ya Man United ili aendelee kubaki kwenye...
Winga Jadon Sancho ambaye yupo nje ya kikosi cha kwanza cha Manchester United kutokana na kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha wake, Erik ten Hag ameondolewa katika Kundi la Wachezaji la timu hiyo kwenye Mtandao wa WhatsApp hali inayoonesha uwezekano wa kurejea kikosini ni jambo gumu
Gazeti la...
Kocha Erik Ten Hag yupo katika hatari ya kupoteza kibarua chake ndani ya Manchester United kutokana na matokeo mabaya na kiwango kibovu kinachooneshwa na timu hiyo tangu kuanza kwa msimu huu hasa baada ya kufungwa magoli 3-0 mfululizo na Manchester City na Newcastle United.
Gazeti la The Sun...
Miezi mitatu tangu Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amruhusu David De Gea kuondoka inadaiwa kuna uwezekano wa kipa huyo kurejea klabuni hapo ikiwa Andre Onana ataondoka kwenda kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Onana raia wa Cameroon ambaye alisajiliwa kwa Pauni...
Mchezaji huyo mkongwe amewahi kuisadia Timu ya Taifa ya England kwa kucheza Mechi 106 na kufunga Magoli 49, pia alicheza michezo 758 na kufunga Magoli 249 katika kipindi cha miaka 17 akiwa mchezaji wa Manchester United, akishinda Kombe la Europa, Mataji 3 ya Ligi na Kombe la FA
Baada ya...
Uongozi wa Manchester United unatarajia kuongeza ulinzi katika mchezo ujao dhidi ya Copenhagen katika Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Uwanja wa Old Trafford ili kudhibiti mashabiki wanaodaiwa kujipanga kufanya vurugu.
Inadaiwa kuna kundi la mashabiki linalopanga kuonesha hisia za kuchukizwa na...
Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire ametoa kauli ya kuwa kama ataendelea kupata nafasi ndogo ya kucheza chini ya Kocha Erik ten Hag basi atafikiria kuondoka Januari 2024.
Maguire, ambaye alitoa asisti ya goli la ushindi katika mechi iliyopita dhidi ya Brentford, amesema "Siwezi...
Lisandro Martinez anasumbuliwa na majeraha ya mfupa wa mguu ambayo yaliwahi kumweka nje ya uwanja muda mrefu, hivyo kuna uwezekano wa Manchester United kutomtumia kwa muda wa miezi miwili au mitatu ijayo.
Aidha, beki mwingine wa timu hiyo, Sergio Reguilon naye imebainika ana majeraha hivyo...
Imebainishwa kuwa winga huyo amepewa zuio la kufanya mazoezi na wachezaji wenzake wa kikosi cha kwanza cha Manchester United hadi atakapomuomba radhi kocha wake, Erik ten Hag.
Ametakiwa kufanya mazoezi na wachezaji wa kikosi cha vijana cha timu hiyo kwenye Uwanja wa Carrington.
Sancho...
Winga huyo wa Manchester United amekubaliana na klabu yake kupewa muda wa kushughulikia suala la tuhuma za unyanyasaji dhidi ya aliyekuwa mpenzi wake Gabriela Cavallin.
Antony (23) hajasimamishwa lakini amepewa muda wa kuwa nje ya ofisi yake licha kuwa anaendelea kulipwa kama kawaida, kwani...
Uongozi wa Timu ya Taifa ya Brazil imechukua maamuzi hayo dhidi ya nyota huyo wa Manchester United ikidaiwa alimshambulia kwa kumpiga kichwa Gabriela Cavallin walipokuwa hotelini Januari 15, 2023.
Gabriela ambaye kwa sasa hana uhusiano na Antony (23) anadai aliumizwa kifuani na hivyo kulazimika...
Winga Jadon Sancho amedai sio kweli kuwa amekuwa hapati nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Manchester United kwa sababu hajaonesha kiwango kizuri kama kocha wake, Erik ten Hag alivyodai bali hivyo ni visingizio dhidi yake.
Kabla ya kupoteza kwa magoli 3-1 dhidi ya Arsenal, Ten Hag alisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.