Kylian Mbappé Lottin (born 20 December 1998) is a French professional footballer who plays as a forward for Ligue 1 club Paris Saint-Germain and the France national team.
Mbappé began his senior career with Ligue 1 club Monaco, making his professional debut in 2015, aged 16. With them, he won a Ligue 1 title, Ligue 1 Young Player of the Year, and the Golden Boy award. In 2017, he signed for league rivals Paris Saint-Germain on an initial loan, which was made permanent in 2018 in a transfer worth €180 million plus add ons, making him both the second-most expensive player and most expensive teenager. There, Mbappé won three Ligue 1 titles, three Coupe de France titles, was named Ligue 1 Player of the Year twice, and has finished as Ligue 1 top scorer for three consecutive seasons. He is also the third-highest goalscorer in the club's history.
At international level, Mbappé made his senior debut for France in 2017, at age 18. At the 2018 FIFA World Cup, Mbappé became the youngest French player to score at a World Cup, and became the second teenager, after Pelé, to score in a World Cup Final. He finished as the joint second-highest goalscorer as France won the tournament, and he received the Best Young Player and French Player of the Year awards for his performances.
Naona leo baada ya mnyama kushinda na Chama kuonyesha kiwango cha hali ya juu, mitandao ya kijamii imekuwa ikihoji nani mkali baina ya Chama vs Pacome.
Hii inanikumbusha miaka ile ya 1990 ambapo mashabiki wa Simba na Yanga walikuwa wanabishana nani mkali kati ya Athuman Abdallah China wa Yanga...
Salaam Wakuu,
Nimekutana na Video ikimuonesha mchezaji wa PSG Kylian Mbappe akicheza mpira na Roboti. Kuna ukweli kuhusu video hii?
Tunaombeni ufafanuzi.
Video iliyosambaa mtandaoni
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
Wale wote mliosema Rashford yupo kwenye levo za Mbappe njooni tena mumjadili jamaa yenu.
Rashford amekuwa na fomu mbaya sana na kubwa zaidi ni sehemu ya anguko la ten Hag.
Mje mumtetee jamaa yenu.
Kwa mujibu wa AFP, Klabu ya Paris Saint-German imeruhusu Al Hilal ifanye mazungumzo na mshambuliaji Kylian Mbappe baada ya kuweka mezani dau hilo ikiwa ni siku chache zimepita tangu itume barua ya kuhitaji saini ya nyota huyo.
Mbappe aliyebakiza mwaka mmoja wa kuendelea kuitumikia PSG, amedaiwa...
Mpaka mkichana na Kusajili Virusi wa Simba na Yanga huku pia mkiwa na Viongozi Waandamizi wenye Uyanga na Usimba mwingi.
Ninawashangaa mno mnavyosajili.
Ukisikia madaraka ya kulevya kweli bwana mdogo kayaonesha.
Nimeangalia short clip videp dogo aki block mipira mazoezini isimfikie Messi kwa kuipiga nje, kila anapotaka kupasiwa Messi anawahi anapiga mbali.
Kiukweli Messi alijisikia vibaya sana, au dogo aliumia sana kufungwa final na Argenting...
Kylian Mbappe ndiye mshambuliaji aliyechaguliwa kuwa mbadala wa Hugo Lloris ambaye alistaafu kuchezea timu ya taifa Januari 2023, mwezi mmoja baada ya Ufaransa kupoteza Kombe la Dunia kwa Argentina.
Mbappe ataanza kazi yake ya unahodha katika kikosi kwa mara ya kwanza itakuwa Ijumaa, Machi 24...
Nimewaangalia hawa vijana na kuona wanafanana kwa vitu vingi, hawa ndio walinganishwe pamoja. Sio sahihi kumlinganisha Mbappe na mentor wake pale PSG (ambaye ndio mfalme wa football) au yule mzee asiyekuwa na timu.
Hawa madogo wote ni mafowadi wanaocheza pembeni na hata katikati inapobidi, wako...
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.
Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Jana mchana niliposema Waafrika tulimtuma Kolo Muani kuwapiga kibao Morocco kwa kusema wao sio waafrika na leo tunamtuma Kylian Mbappe kuwapiga ngumi Argentina ilionekana ni kama jambo jepesi lakini lilibeba maana nzito ya kiulimwengu! Waargentina waliwatesa Waafrika miaka ya 1870 hadi 1900 na...
Wabongo washamba sana.
Ibakie tuwashabiki na Mpira umeisha nilikuwa upande wa mfaransa wewe ajentina usiingize masuala ya utumwani Kwa kuwa kama alioutumwani Messi na mbappe ndgu yako sio Messi.
Unaliona lijitu linafanana kabisa copyright na Upemakano yaani utadhani baba na mama mmoja Ile Toka...
#FIFAWorldCup2022: Ni Desemba 18, 2022 Dunia itashuhudia Fainali za Kombe la Dunia lililoanza Nov 20, 2022 huko Qatar kwa kuzileta pamoja Timu za Mataifa 32 zilizomenyana kwa jumla ya Mechi 64.
Leo katika Dimba la Lusail Stadium, Al Daayen watakutana Mabingwa mara 2 wa #KombelaDunia Timu za...
Kiwango cha soka kinachooneshwa na vijana hawa wawili, Saka na Martinelli kinavutia na kudhihirisha kwamba wako makini na kazi yao.
Kwa miaka mitatu iliyopita tumeona vijana hawa wakipikwa na kuwa mawinga hatari sana katika Klabu ya Arsenal. Kiwango chao cha kujituma na nidhamu kinaonesha hatma...
Kylian Mbappe inadaiwa anaweza kuvunja mkataba na klabu yake ya Paris-Saint Germain ikiwa uhusiano utazidi kuwa mbaya kutokana na kutofurahishwa na baadhi ya mambo.
Mvutano huo inaelezwa umesababisha baadhi ya wachezaji wenzake kumtenga wakiamini tabia yake inaweza kutengeneza sumu kikosini...
Wakati Kombe la Dunia likibakiza miezi miwili kuanza, tayari inaonekana nyota wa Ureno na Manchester United Cristiano Ronaldo ataingia kwenye michuano hiyo akiwa mchezaji mwenye nguvu zaidi duniani kwa kuzingatia ushawishi wake kwenye mitandao ya kijamii.
Ronaldo amewapiku mastaa wengine kama...
Wayne Rooney kashangaa Mbappe anatoa jeuri wapi ya kumletea ujeuri Messi wakati Messi alipokuwa umri huu wa Mbappe alikuwa na Ballon d Or nne?
Naona Mbappe anazidi kuongeza maadui, hata Perez alisema huyu Mbappe sio yule tulikuwa tunamtaka.
Hapo majuzi, timu kubwa ufaransa ya PSG ilienda kucheza mechi huku wachezaji maarufu wa dini kuu mbili wakiwa wamevaa jezi za kuhamasisha na kuutetea ushoga na usagaji lakini kuna mchezaji moja Idrissa Gueye alikataa kuvaa hizo jezi akilalamika ni kinyume na anachoamini
Hili suala si la kidini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.