england

England is a country that is part of the United Kingdom. It shares land borders with Wales to its west and Scotland to its north. The Irish Sea lies northwest of England and the Celtic Sea to the southwest. England is separated from continental Europe by the North Sea to the east and the English Channel to the south. The country covers five-eighths of the island of Great Britain, which lies in the North Atlantic, and includes over 100 smaller islands, such as the Isles of Scilly and the Isle of Wight.
The area now called England was first inhabited by modern humans during the Upper Paleolithic period, but takes its name from the Angles, a Germanic tribe deriving its name from the Anglia peninsula, who settled during the 5th and 6th centuries. England became a unified state in the 10th century, and since the Age of Discovery, which began during the 15th century, has had a significant cultural and legal impact on the wider world. The English language, the Anglican Church, and English law – the basis for the common law legal systems of many other countries around the world – developed in England, and the country's parliamentary system of government has been widely adopted by other nations. The Industrial Revolution began in 18th-century England, transforming its society into the world's first industrialised nation.England's terrain is chiefly low hills and plains, especially in central and southern England. However, there is upland and mountainous terrain in the north (for example, the Lake District and Pennines) and in the west (for example, Dartmoor and the Shropshire Hills). The capital is London, which has the largest metropolitan area in both the United Kingdom and, prior to Brexit, the European Union. England's population of 56.3 million comprises 84% of the population of the United Kingdom, largely concentrated around London, the South East, and conurbations in the Midlands, the North West, the North East, and Yorkshire, which each developed as major industrial regions during the 19th century.The Kingdom of England – which after 1535 included Wales – ceased being a separate sovereign state on 1 May 1707, when the Acts of Union put into effect the terms agreed in the Treaty of Union the previous year, resulting in a political union with the Kingdom of Scotland to create the Kingdom of Great Britain. In 1801, Great Britain was united with the Kingdom of Ireland (through another Act of Union) to become the United Kingdom of Great Britain and Ireland. In 1922 the Irish Free State seceded from the United Kingdom, leading to the latter being renamed the United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Here are the top players who picked England over Ghana

    Kobbie Mainoo has chosen to represent England over Ghana. But he's not the only Ghanaian to opt for the Three Lions. See also Biography of Andy Penn: Early life, education, career and family
  2. 2 of Amerikaz most wanted

    Garwth Southgate has named his England squad for the games against Brazil and Belgium

    Southgate : "Ben white didn't want to be selected and it's great shame he's player I really like"
  3. JanguKamaJangu

    Takwimu za Ligi Kuu ya England “Premier League” hadi Februari 12, 2024

    Ligi Kuu ya England “Premier League” msimu wa 2023/24 inaendelea, ilianza Agosti 11, 2023 na inatarajiwa kufika tamati Mei 19, 2024. Mechi ambayo hadi sasa ilishuhudiwa na mashabiki wengi uwanjani ni Manchester United 3-0 West Ham United (73,612), iliyoshuhudiwa na mashabiki wachache zaidi...
  4. Jaji Mfawidhi

    Wachezaji England kuanza sex kabla ya 18 ni sawa? Je, Tanzania nako ndivyo ilivyo?

    Kinda wa Manchester united Daniel Gore, kazaliwa 2004 ila anapeleka moto balaa. Garnacho ndio anaingia 20 years! Je, Tanganyika wachezaji wanwaka wazi wanawake zao?[siyo wake]. Je, utamaduni wa wanawake wa wachezaji wa Tanganyika, kama inavyosemekana kuzungukana ndio inafanya waone aibu...
  5. Erythrocyte

    TANZIA Kocha wa zamani wa England Terry Venables afariki

    Taarifa kutoka SkySports imethibitisha ======= Terry Venables was the man at the helm for England's unforgettable run at Euro 96; Former QPR, Tottenham and Barcelona manager died aged 80; Gary Lineker hails him as the "best, most innovative coach" Sunday 26...
  6. BARD AI

    TANZIA Mchezaji wa zamani wa England na Man United, Sir Bobby Charlton afariki dunia

    Mchezaji huyo mkongwe amewahi kuisadia Timu ya Taifa ya England kwa kucheza Mechi 106 na kufunga Magoli 49, pia alicheza michezo 758 na kufunga Magoli 249 katika kipindi cha miaka 17 akiwa mchezaji wa Manchester United, akishinda Kombe la Europa, Mataji 3 ya Ligi na Kombe la FA Baada ya...
  7. JanguKamaJangu

    England: Kimenuka, baada ya kuwekwa benchi, Jadon Sancho amjia juu kocha wake hadharani

    Winga Jadon Sancho amedai sio kweli kuwa amekuwa hapati nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Manchester United kwa sababu hajaonesha kiwango kizuri kama kocha wake, Erik ten Hag alivyodai bali hivyo ni visingizio dhidi yake. Kabla ya kupoteza kwa magoli 3-1 dhidi ya Arsenal, Ten Hag alisema...
  8. JanguKamaJangu

    England: De Bruyne aumia, kuwa nje kwa wiki kadhaa

    Kevin De Bruyne amepata majeraha ya nyama za oaja wakati timu yake ya Manchester City ikishinda magoli 3-0 dhidi ya Burnley katika mchezo wa kwanza wa Premier League. Kocha wa City, Pep Guardiola amesema madaktari watamfanyia vipimo De Bruyne kujua ukubwa wa tatizo lakini kuna uwezekano atakuwa...
  9. T

    Je, inawezekana Waziri pale Uingereza kusafiri na timu ya mpira kama Man UTD au Man City au ni hapa kwetu tu?

    Imenishangaza sana kuona waziri mzima wa michezo badala ya kuwa bize kushughulikia sera ili ziinue michezo kuhakikisha taifa letu linag'ara kimichezo badala yake anazurula na ndege hadi Algeria. Nadhani tuna tatizo kubwa sana linalopelekea tuwe na safari ndefu la kuinua michezo kama watungaji...
  10. Thailand

    Ushauri kuhusu kusoma England

    Habarini ndugu, Namshukuru Mungu niliomba chuo kipo England (Norwich city) kinaitwa University of East Anglia (UEA) course niliyo kubaliwa Masters of science in Economics and Data science kwa mwaka mmoja. Napenda sana hizo mambo za uchumi, changamoto nimepata ufadhili pound £4000 ila...
  11. JanguKamaJangu

    England: Leicester City yamfukuza Brendan Rodgers

    Uamuzi huo umefikiwa baada ya kocha huyo kushuhudia timu yake ikifungwa mechi ya 5 kati ya 6 zilizopita za Premier League. Rodgers aliyeteuliwa kuifundisha timu hiyo FebruarI 2019 na kuiongoza kutwaa Kombe la FA Mwaka 2021. Mwenyekiti wa Leicester City, Aiyawatt Srivaddhanaprabha amesema...
  12. Frumence M Kyauke

    Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika Uingereza

    Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika huko Uingereza. Umetengenezwa kwa mbao. Wataalam wa mambo ya kale wanasema ulitumika katika karne ya pili. Wataalam wanasema ulikuwa unatumiwa na wanawake kama dildo. Dildo hilo lina urefu wa sentimita 16, kwa kawaida uume wa binadamu...
  13. T

    Kanisa la Anglican la Uingereza (Church of England) linajadili kutumia maneno yanayomhusu Mungu yasiyowakilisha jinsia yoyote (gender neutral terms)

    Kanisa la Anglican linajadili uwezekano wa kutokutumia jinsia pale unapotaja Mungu. Yaani mungu sio baba ama mama. Lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha kwamba dini inaendana na muda na wakati wa sasa na dini inakua jumuishi. Dini kua jumuishi ama inclusive ni kutambua haki za mashoga na watu...
  14. mdukuzi

    Mliowahi kuishi Uingereza ni kweli ile nchi ina masikini wengi?

    Nimestaafu mwezi uliopita Nasubiri kiinua mgongo changu kama milioni kadhaa. Napenda sana mpira nikiangalua EPL napata wazimu. Natamani nikaishi England nifie huko Kinachonishangaza kuna uzi wa magari ulikuja humu jamaa anauliza kwa nini waingereza hawanunui magari ya landrover na range,kuna...
  15. Frustration

    TBC badala ya kuonesha mchezo wa Robo Fainali kati ya Ufaransa na England, wao wapo na kipindi cha pambe

    Hawa TBC sio watu wa michezo hawa ni wa kupamba na kusifia serikali na ndio sehemu pekee waliyofanikiwa hadi sasa. Tamaa na ukiritimba imepelekea kutuhadaa watanzania kuwa wataonyesha mechi za kombe la dunia cha ajabu game inaonyeshwa moja moja tena wakati ambao umeme haupo. TBC ni wahuni tu...
  16. B

    England watabeba kombe la Dunia 2022

    England watabeba kombe la Dunia 2022. Hii thread iwekwe makumbusho, muda utaongea.
  17. S

    Utabiri: Senegal 2, England 1

    Huu ndio utabiri wangu kwa mechi baina ya Senagal na England inayoanza muda mfupi ujao. Makartatasi yanaipa nafasi England, ila leo kibao kitageuka licha ya timu za Afrika mara nyingi kupoteza katika mashindano haya zinapocheza na timu kutoka mabara menginre.
  18. Page 94

    England National Football Team (Three Lions), Special Thread

    Huu uzi ni mahususi kwa ajili ya matukio yote yanayoihusu timu ya mpira wa Miguu ya Uingereza. Timu hii inajulikana kwa jina la Utani la Three Lions, yaani Simba Watatu. Jina hili limechochewa zaidi na nembo ya timu hiyo yenye alama ya Simba watatu (tazama picha) Timu hii ipo chini ya...
  19. Achoki

    UTABIRI: Uingereza ndiye bingwa Kombe la Dunia, 2022

    Habari, kama kichwa kinavyojieleza! Mwaka huu bingwa wa Komne la Dunia ni Uingereza kwa vigezo hivi viwili vya kiimani; 1. Mara nyingi bingwa wa Euro au mshindi wa pili wa Euro huwa anachukuwa Kombe la Dunia linalofuata. NB: Siyo mara zote. 2. Ukifuata mtiririko huu wa waliochukuwa kombe...
  20. N

    England atachukua Kombe la Dunia 2022?

    Wadau soon tu Kombe la Dunia linaenda kuanza,, je Nani atachukua? Kuna Wadau wanasema mshindi wa michuano ya EURO huwa wanafanyaga vizuri!! Well inawezekana, Euro ya mwaka juziii ule ufaransa alifika fainal, Portugal anachukua kibahati tu, kwenye Kombe la Dunia 2018 , France anachukua Ndoo...
Back
Top Bottom