psg

PSG College of Technology is an autonomous, government aided, private engineering college in Coimbatore, India. It is affiliated with Anna University. It is affiliated to PSG and Sons Charities Trust. Among engineering colleges in India, PSG College of Technology was ranked 6th in private engineering colleges by India Today in 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania PSG Wamefanya Historia Tena✍️🏆

    👉 Tarehe 30 Mei 2026 itabaki kuwa siku ya kukumbukwa kwa mashabiki wa Paris Saint-Germain baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Champions League kwa mara nyingine mbele ya Arsenal katika fainali iliyokuwa na presha kubwa. PSG walionyesha moyo wa kishujaa, utulivu na uzoefu wa mabingwa hadi kufikia...
  2. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa mechi Kati ya PSG vs Arsenal

    Mfalme wa safu ya kiungo ya PSG. Ndiye pekee kati ya viungo watatu wa kwanza wa PSG aliyedumu dakika zote 120. Na katika muda wa nyongeza, alikuwa tishio kubwa zaidi la PSG katika mashambulizi. Ana ustadi mkubwa wa kugusa na kumiliki mpira, nguvu katika mapambano ya ana kwa ana, uwezo wa...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Arsenal akishinda nipewe ban ya siku 3, nimechoka kelele zao😵‍💫' Aloooo hawa watu wana keleleee sanaaaaaaà, unawanaonea huruma wana miaka ya mtu mzima bila kombe ila wakishinda hatunywi maji! PSG nao wana kiu ya kushinda na usongo wa kupata ushindi kwa mara ya pili, mechi otakuwa motooo, ila...
  4. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Hivi Arsenal hawaogopi? PSG hii si ya mabishoo wanaotembea uwanjani

    Hivi kweli Arsenal F.C. hawaogopi? 😅 Hii si ile PSG ya Lionel Messi, Neymar na vibes za Paris nights, hii ya sasa ni tofauti kabisa. Hakuna show nyingi, hakuna kutembea uwanjani. Hawa wanakaba kama wamekosewa hela 😭 Arsenal wana mpira mzuri, lakini PSG ya sasa ina njaa ya ubingwa kuliko likes...
  5. M

    JamiiForums Tanzania FT: Bayern München 0 - 1 PSG | UEFA Semi Final 2nd Leg | Allianz Arena | 6 Mei 2026

    Bayern Munich Vs PSG; Leo! leo! leo! kazi ipo Ubavu chuma upande mwanaume mashine Bayern Munich, wakiwa nyumbani katika dimba la Allianz Arena mbele ya mashabiki wao, wanawakaribisha Paris Saint-Germain kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League. Mchezo huu utapigwa saa nne...
  6. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    heirry Henry speaks on PSG vs Bayern Munich score line 5:4 "Listen, we need to have a serious conversation about what we are watching. For the fans, of course, it’s exciting, nine goals, end-to-end, moments everywhere, Everyone is on social media screaming, 'Oh, what a game! But is it? Really...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Robo Fainali UEFA: Liverpool na Barcelona kufanya 'Comeback' dhidi ya PSG na Atletico leo?

    Liverpool na Barcelona usiku wa leo zinakabiliwa na kibarua kigumu cha kujaribu kufanya mapinduzi (comeback) katika michezo yao ya marudiano ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA). Timu zote mbili zinaingia uwanjani zikiwa na deni la mabao mawili, hali inayozilazimu kushinda kwa...
  8. P

    JamiiForums Tanzania UCL Quarter Finals: Real Madrid kukipiga na Bayern, Liverpool kukutana na PSG

    Hatua ya robo fainali ya Uefa Champions League kuanza kuchezwa tarehe 7 na 8 mwezi wa 4 kwa hatua ya kwanza na mechi za marudiano zitachezwa tarehe 14 na 15 mwezi wa 4. Hivi ndivyo mechi zitakavyokuwa, je nani atatoboa kuingia nusu fainali
  9. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Barcelona 1 - 2 PSG kuna watu wanasema goli la pili ni offside

    Barcelona 1 - 2 PSG, kuna watu wanaamini goli la pili ni Offside kwamba hadi VAR imefanya makosa! Ushabiki wa hovyo kabisa!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mara yangu ya kwanza na ya mwisho kubeti ni mechi ya PSG vs Chelsea, mnaobeti mna mioyo ya chuma

    Basi, miaka fulani nilikuwa nimeshawahi kufundishwa kubeti, lakini sikuwa nikibeti, Ila ile mechi ya PSG vs Chelsea fainali… ah! niliiona nitupiemo laki 1 kwa PSG nishinde 160K. Nilijiona usiku ule nikilala na elf 60 nyepesi kuzidi kuchuma mapera, Nilijua nashinda tu! Nikaenda nikafungua...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea 3 – 0 PSG: Bahati hupendelea jasiri

    Niseme tuu kuwa matokeo ya mchezo wa jana yalinihuzunisha sana. Miungu ya mpira ilishindwa kumzawadia PSG kombe pamoja na kwamba mchoni pa wengi ndio ilikuwa timu bora. Mpira ni magoli, Chelsea walifunga magoli na hivyo walistahili kushindi mchezo wa jana. Lakini inakuwaje timu ambayo kwa...
  12. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania FT: Chelsea FC 3-0 Paris Saint-Germain | FIFA Club World Cup | Final Match | MetLife Stadium | July 13, 2025.

    Mambo vipi wadau! Leo ni siku ya kipekee kwani tunasubiri fainali ya FIFA Club World Cup 2025 kati ya Chelsea na Paris Saint-Germain (PSG) itakayochezwa saa nne usiku (10:00pm EAT) kwenye dimba la MetLife Stadium, New Jersey. Hii ni mechi ya kihistoria, kwani ni fainali ya kwanza kati ya timu...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Nani kutwaa taji la FIFA Club World Cup 2025, kati ya Chelsea na PSG?

    Wakuu, Wekeni utabiri wenu kuelekea mechi hii PSG wanasema hakuna mtu kulibeba inawezeka kirahisi hivyo? Mechi ya fainali ya Kombe la Dunia kwa Vilabu kati ya Chelsea ya England na Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa inatarajiwa kuchezwa siku ya Jumapili, Julai 13, 2025, kwenye Uwanja wa...
  14. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje mpaka PSG ameruhusiwa kutengeneza timu iliyokamilika namna hii?

    Muda mrefu sana umepita tangu kushuhudia timu iliyokamilika kama hii PSG! Hivi imekuwaje timu kongwe na kubwa za ulaya zimeruhusu PSG akusanye kikosi kilichokamilika namna hii!? Huyo dogo Neves ni namba sita CHAFU kwelikweli, Vitinha kiungo ya mpira inapapasa mali kama imelaaniwa, Fabian Luiz...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PSG watinga hatua ya nusu fainali FIFA Club World Cup 2025

    Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu la FIFA (#FIFACWC) mwaka 2025 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Bayern Munich ya Ujerumani katika mchezo wa robo fainali uliopigwa mjini Atlanta, Marekani. Mchezo...
  16. O

    JamiiForums Tanzania Full Time: UEFA Champions League Final: PSG 5-0 Inter Milan | Mei 31, 2025 - Allianz Arena Stadium

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa, zilikuwa ni wiki zikawa siku hatimae ule muda wa kusubiri umeisha na leo ndio ile siku ya kuhitimisha michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwa msimu wa 2024/25. Mtanange wa leo utakuwa baina ya mabingwa wa ligi kuu nchini Ufaransa Paris Saint-Germain (PSG): na...
  17. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Final Inter vs PSG

    All d best wazee WA mizigooo Tunaendeleaa kusomaaa kurujuani yetuuu Mzigo WA final huoo No drw No 120 mins Ft 2-1/3-1/3-2 All d best Gammbys
  18. Pdidy

    JamiiForums Tanzania PSG ATASHINDA 2-0/2-1/3-1

    Haina 120 mins Mapema kabisa KAZI onaisha 2-0/2-1/3-1 Nawatamia hero PSG na arsenal kwenye mechi hii
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Arsenal 0 - 1 PSG | UEFA Champions League | Nusu Fainali | Aprili 29, 2024

    Arsenal 0 - 1 PSG | UEFA CHAMPIONS LEAGUE | Aprili 29, 2024 Dakika 16, PSG bado yupo mbele
  20. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Tumeamia psg arsenyani lazima atolewe tu

    Katika mechi ambazo zilikua za ajabu ni real Madrid na arsenyani yaani walikutana pipa na mfuniko nikajua labda Madrid ataonyesha mpira mzuri kumbe Naye bangusilo hakuna kitu kabisa aisee rasmi nawaunga mkono psg sababu wanaiweza hii kazi Kule dembele Kule barcola huku achirafu hakimi huku...
Back
Top Bottom