Jadon Sancho aondolewa kwenye Group la WhatsApp la Man United

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Winga Jadon Sancho ambaye yupo nje ya kikosi cha kwanza cha Manchester United kutokana na kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha wake, Erik ten Hag ameondolewa katika Kundi la Wachezaji la timu hiyo kwenye Mtandao wa WhatsApp hali inayoonesha uwezekano wa kurejea kikosini ni jambo gumu

Gazeti la The Sun limesema hatua hiyo ni mwendelezo wa kumweka Sancho (23) mbali na Wachezaji wenzake kwa kuwa kundi hilo linatumiwa na Ten Hag na Watumishi wengine kutoa taarifa mbalimbali kwa wachezaji.


==========

Jadon Sancho is 'REMOVED from Man United's WhatsApp group' as his exile from the first team continues after refusing to apologise for a social media outburst that claimed he had been made a 'scapegoat' and branded Erik ten Hag a liar

Jadon Sancho has reportedly been removed from Manchester United's WhatsApp group as his exile shows no sign of ending.

The £73million winger has been forced to train on his own at the academy and barred from using first team facilities since publicly branding manager Erik ten Hag a liar over his reasons for dropping him for the 3-1 away defeat by Arsenal in September.

Sancho removed the social media post media but refused to apologise for the outburst resulting in a now prolonged absence from the senior squad.

According to The Sun, the 23-year-old is no closer to reintegrating with his team-mates, instead he has been axed from another link to the United dressing room.

They report that Sancho has been removed from the team's WhatsApp group which is used by Ten Hag and his staff to send key information to the players.

Source: The Sun
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom