thread

  1. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda THREAD: Uganda's First National Cleaning Day | July 25, 2026

    Today, Uganda held its first-ever mandatory National Cleaning Day, marking the launch of a nationwide monthly community cleaning exercise to be observed on the last Saturday of every month. Under the new directive, the movement of private vehicles and boda bodas is prohibited, while...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wana-JF tusiwe wavivu ku-comment na kuishia kutoa likes nk peke yake; reply thread nzuri ili zikae kwenye chat muda mrefu na ujumbe usomwe na wengi

    Kuna watu wanatembelea JF ilikusoma threads za watu wengine na kazi yao ni kutoa likes, laughs, dislikes, fire etc peke yake, Nadhami mnatambua JF wametengeneza system kwa namna mbayo thread isipopata replies au comments basi itazidi kushuka chini na kupotea, ili kutoa nafasi ya juu kwa thread...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kuna account za JF kama Mwashambwa zilifunguliwa zitumiwe na group la watu wanaolipwa kuandika propaganda au kukosoa thread au posts, sio member mmoja

    Kuna account humu JF zimefunguliwa na watawala kwa ajili ya kutumiwa na group la watu wanaolipwa kwa ajili ya kujibu, kukosoa, kukejeli nk thread ambazo zinatolewa ambazo zinaanika uobu wa serikali na viongozi wake. Kwa mfano, unakuta Tlaatlaa au Mwanshambwa sio mtu mmoja. Ni account ambazo...
  4. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Omega Men Special Thread

    “Omega men” ni neno linalotumika hasa kwenye mijadala ya mitandao kuelezea aina fulani ya mwanaume anayejitenga na mienendo ya kawaida ya “alpha” au “beta.” Kwa ufupi, husemwa kuwa ni mwanaume anayeishi kwa misingi yake mwenyewe, asiyependa mashindano ya kijamii, na mara nyingi hapendi...
  5. Light Saber Imetosha Sasa

    JamiiForums Tanzania Ni Wakati Sasa JF Kuanzisha Mfumo wa Kuwalipa "Content Creators" Wetu. Huu Ndio Ukweli wa Kisheria na Kiuchumi.

    Wakuu salama, Mimi ni mwanachama wa muda mrefu hapa JamiiForums (JF). Leo nimekaa na kutafakari kwa kina sana kuhusu mchango wetu sisi watumiaji katika kuuendesha, kuukuza, na kuuongezea thamani mtandao huu unaopendwa zaidi nchini. Nimekuja na hoja moja ya msingi: Ni wakati sasa kwa uongozi wa...
  6. BARON99

    JamiiForums Tanzania Nini kimeikumba thread ya ndug yetu Insiderman?

    Ni siku nyingi kidogo sijaingia humu jukwaani hivyo sielewi ni kipi kime happen kwenye thread yetu pendwa ya Mr. Insiderman?? Maana nashangaa kila navosachi kila ninavojua hata dalili ya thread siioni kwani kulikoni????
  7. Saint Anne

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Bongo Star Search 2026 - Msimu wa 16 🔥 Sasa inaitwa CRDB Bank Bongo Star Search 2026 Mambo muhimu ya msimu huu: 1. Theme & Zawadi Theme: "Next Level Revolution" + "Beyond Borders" Mshindi anaenda na milioni 50+ na gari jipya 2. Sio uimbaji tu tena Msimu huu umepanuka. Sasa wanakubali...
  8. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hatimaye thread yangu kuhusu Terence Crawford imemfikia waziri wa utalii na maliasili na amempa ubalozi wa utalii Tanzania

    Niliandika thread hapa kushangaa kwa nini mtu kama Terence Crawford kuonesha mapenzi yake ya dhati kwa Tanzania kuitangaza kimataifa na kupost kila hatua anayopita kuonesha ni kwa namna gani Tanzania imebarikiwa lakini viongozi wa nchi walimkalia kimya kana kwamba ni mtu wa kawaida tu. Kwa...
  9. Vien

    JamiiForums Tanzania Portugal national Team special thread

    🇵🇹 PORTUGAL NATIONAL TEAM Portugal ni moja ya mataifa yaliyobadilika sana kwenye historia ya soka duniani. Kutoka taifa lililokuwa halipewi nafasi kubwa, mpaka kuwa moja ya nguvu kubwa Ulaya na duniani 🇵🇹🔥 Leo Portugal imejaa historia ya: •Vipaji vikubwa •Magoli ya ajabu •Vilabu maarufu...
  10. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Funny texts special thread😁

  11. Fene

    JamiiForums Tanzania Deep message for young men, open the thread

    You’re a man. NO ONE is coming to save you. The pain, struggle, and disrespect, you face it ALONE. But fix your life, and suddenly EVERYONE starts caring. This thread explains WHY they weren't with you at rock bottom... Read this👇 Society celebrates winners, not the broken. While you’re...
  12. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Protection of sovereignty bill thread: will it pass or fail

    Erute South MP Jonathan Odur confronts committee chair at Munyonyo over the #ProtectionOfSovereigntyBill2026. He challenged the directive to adopt the committee report without debating the bill clause-by-clause. The joint committee passed the report anyway — 22 votes to 11. A group of...
  13. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Wekeza kwenye hisa

    Ni wakati wa kujifunza kuhusu uwekezaji katika hisa. Naam — wakati ni sasa. Si kesho, ni leo. Jifunze na uanze kuwekeza kwa minajili ya kukua kifedha. Namba zinaonyesha sekta ya fedha inaendelea kukua kila siku. Ukuaji huu si wa mapato pekee, bali pia watu wengi zaidi wanaanza kujifunza kuhusu...
  14. Rayns

    JamiiForums Tanzania Need Testers? Share Your Software Here | Weka Software Yako | Get Feedback

    Habari Developers, Kama una software/app/project na unahitaji watu wa ku-test na kukupa feedback, iweke hapa 👇 Include: Jina la app/project Link ya ku-download au ku-access Platform (Web, Android, iOS, Desktop, n.k.) Unachotaka kitestiwe (bugs, UI, performance, au vyovyote, n.k.) Testers...
  15. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Series: From SPECIAL THREAD

    FROM. Kama wewe ni mpenzi wa Mystery, Sci-Fi, na Horror (kama uliipenda 'LOST'), basi hapa ndipo mahali pako. UTANGULIZI: Inahusu nini? FROM inatupa picha ya mji mmoja wa ajabu katikati mwa Marekani ambao unawanasa watu wote wanaopita barabarani. Ukishaingia, huwezi kutoka. Kila ukijaribu...
  16. Vien

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa kutafuta hela kwa sasa umebadilika sana; kwa dunia ya leo maarifa yana nguvu kuliko juhudi

    Miaka ya nyuma tulilelewa kwenye dhana kwamba mafanikio yanategemea zaidi jasho, juhudi, na kufanya kazi kwa bidii bila kuchoka. Ilikuwa ni kweli kwa wakati huo, kwa sababu fursa zilikuwa chache na taarifa hazikupatikana kwa urahisi. Lakini kadri dunia ilivyobadilika, hasa kwa ujio wa...
  17. Doto12

    JamiiForums Tanzania Songesha: Special Thread

    Ikiwezekana iwe hapa hii thread napitia changamoto kadhaa na sio mara moja. mfano leo inakataa tatizo ni nini
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Special Thread

    Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA . Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati Karibuni wote! Friends and foes!
  19. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Ujasusi sebuleni kwetu: Itabaki kuwa thread yangu bora ya Wakati wote hapa JF

    Hii thread ililetwa humu miaka kadhaa nyuma na from nowhere kama coincidence nilikutana nayo. Hapo ndipo nilipo fall in love with jeiefu🤌🤌😎 Nadhani aliyeileta alikuwa anajiita bold. Sijui amepotelea wapi. Wewe thread yako Bora ya Wakati wote hapa jeiefu ni Gani?
  20. M

    JamiiForums Tanzania Hizi thread za eti JPM ni chanzo cha uovu wote uliopo, ni za kishamba na kujaribu kumuosha anayepaswa kunyongwa na kupelekwa ICC

    Nyuzi zote hizi ni wale chawa washamba washamba wa mama anaupiga mwingi, na ni kikundi maalumu kinachojaribu kutaka kuangalia upepo wa watanganyika, bahati mbaya kabisa hatujaona uzi wowote unasifia kuupiga mwingi Mo 29 Nyuzi zote hizi zinalengo la kutaka kutuliza mioyo ya walioumizwa na...
Back
Top Bottom