whatsapp

  1. R

    JamiiForums Tanzania Serikali fungulieni mitandao ya JF, X, Telegram na mingine

    Mpaka kupata mitandao hiyo ni kubahatisha. Shida tupi! why all that trouble? Hamjatosheka na mateso tunayopata
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Hivi ndivyo ilivyo Whatsapp status yangu kimaudhui Dini (Mahubiri, nyimbo, Aya za biblia n.k)-50% Mpira-20% Matukio(ndoa, birthdays, misiba n.k)-20% Fursa za uchumi,biashara-5% Memes, Quotes-5%
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Makundi ya WhatsApp Siha: Udhalilishaji Watawala

    KERO: MATUMIZI MABAYA YA MAKUNDI YA WHATSAPP WILAYANI SIHA Mimi ni mkazi wa Wilaya ya Siha. Nina kero kuhusu uwepo wa makundi ya WhatsApp yanayotambulika kwa majina ya Siha Development, Siha Unity na Sauti ya Siha. Makundi haya ambayo awali yalikuwa yakitumika kujadili maendeleo ya wananchi...
  4. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kutumia WhatsApp Business Kuongeza Mauzo na Kujenga Biashara Mtandaoni

    Katika kipindi hiki cha digital, WhatsApp imekuwa zaidi ya app ya chatting. Leo watu wengi wanatumia WhatsApp kama njia ya kuuza bidhaa, kupata wateja na kuendesha biashara moja kwa moja kupitia simu zao. Tatizo kubwa ni kwamba watu wengi bado wanatumia WhatsApp kawaida bila mfumo wa biashara...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗮 𝗰𝗹𝗼𝘂𝗱 𝘀𝘁𝗼𝗿𝗮𝗴𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗲 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗵𝗶𝗳𝗮𝗱𝗵𝗶 𝗱𝗮𝘁𝗮 𝘇𝗮𝗸𝗼 𝘇𝗶𝘀𝗶𝘄𝗲𝘇𝗲 𝗸𝘂𝗽𝗼𝘁𝗲𝗮

    Wengi tumezoea ukitaka kuhifadhi data zako zilizopo kwenye Whatsapp lazima uwe na Google Drive au icloud sio 🫢. Jambo linalopelekea ukipoteza email ndo basi Tena huwezi kuzipata data zako kirahisi, Sasa jambo ilo linakwenda kufa. Kwani watumiaji wengi wa Android wanatumia Google drive kuweza...
  6. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kushare CV kwa Whatsapp number?

    Habari, Kuna baadhi ya matangazo ya KAZI huwa yanahitaji CV hasa kwa njia ya WhatsApp. Je njia hii ni salama kwa ajili ya privacy nk? Je ni hatari kiasi Gani? Ahsante.
  7. 888I

    JamiiForums Tanzania TANESCO Simanjiro: Je, mnatupa Umeme au mnatulisha "Radhi" za WhatsApp?

    Wakuu wa JamiiForums, habari za muda huu. Nimekuja hapa kuelezea machungu ya sisi wananchi wa Wilaya ya Simanjiro, hususan maeneo ya Terrat, na vijiji vyote vinavyopata umeme kupitia njia za Sinoni na Monduli. Kiukweli hali ya umeme huku kwetu imekuwa ni kero isiyovumilika,Sijui kwa maeneo...
  8. Drax001

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuona messages zilizofutwa WhatsApp 'view once' utaziona

    Kuna hii inaitwa Whatsapp bot ukiiset kwenye Whatsapp yako unaweza kupata features zifuatazo na hizi ni baadhi TU ila zipo 500+ Zaidi siwezi zielezea zote . Naelezea baadhi tu 1. Kuweza kuona messages zilizofutwa na mtu yoyote iwe kwenye groups Au messages ya kawaida. 2. Kuset always online...
  9. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Nililinyamazia WhatsApp group la Sekondari kutokana na kuchoshwa na vizinga

    Kwa nia njema ya kujumuika tena na wanangu wa sekondari. Safari hii ilikuwa kupitia WhatsApp group. Halikuwa tofauti sana na magroup mengine, mambo yalikuwa ni yaleyale tu, kusaidiana kwenye shida na raha. Tuliweka mkakati mzuri wa kusaidiana kwenye misiba na ugonjwa. Kosa nililofanya ni...
  10. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kupigwa ban na WhatsApp bila sababu ya msingi?

    Hii December nimepigwa ban mara sita Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban Kurud hiv vitu vikawa vinarecover Kutuma text kidogo ti ban Ban ban Christmas ban Je wewe hii hali ishawahi kukutokea? Ni...
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania WhatsApp wanapaswa kuangalia haya maudhui ya channels wanazotupendekezea

    Sina magrupu ya ngono wala nini basi waseme ni algorithm, yani unaamka asubuhi hii ndio unacho kutana nacho. Kuna namna ya kunyuti utumbo huu?
  12. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Polisi Geita: Maadimi wa magroup ya Whatsapp chukua hatua madhubuti kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi

    Kwahiyo tumeanza kupangiana cha kufanya kwenye magroup au sio? ============= Jeshi la Polisi mkoani Geita limewataka viongozi wa makundi Whatsapp kuchukua hatua madhubuti kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi na uvunjifu wa amani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo ametoa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mange kufungiwa namba ya whatsapp kutapunguza sana ueneaji wa video na picha za matukio ya D9

    Mange alikuwa anafowadiwa matukio mengi kwasababu alipatikana whatsap. karibia kila mtu mwenye smartphone kajiunga whatsapp, wachache wapo instagram, wachache zaidi wapo X. Wenzake kina Hilda, Sativa, Maria n.k. hawaweki hadharani namba zao za whatsapp, hutegemea zaidi Instagram na akaunti...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Geita: Polisi yawaonya Viongozi wa makundi ya WhatsApp 😄

    Kila kukicha mwisho mtavua nguo sasa. Viongozi wa makundi ya whatsapp mnatakiwa mje kutoa taamko.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Jamani WhatsApp vipi huko, inapatikana?

    Naona kama wameifungia, kwako vipi?
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polisi waweka namba hadharani za Wanaotumia WhatsApp kupanga kufanya uhalifu, sheria inasemaje?

    Sheria ya data protection inahusu watu gani? Nimeshangaa kuona Polisi Tanzania wakivunja sheria and za nchi na luhumu watu kabla ya mahakama kutoa hukumu. Kosa ni kuwa CHADEMA na kupinga maovu yanayoendelea Nchini iikiwemo polisi kuua watu, na Uchafuzi wanaouita uchaguzi. Ukipinga maovu ya...
  17. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Netblocks: Mitandao ya kijamii bado Inakabiliwa na vikwazo licha ya Intaneti kurejeshwa Tanzania

    Kwa mujibu wa taarifa za NetBlocks, takwimu za moja kwa moja zinaonyesha kuwepo kwa vikwazo vikubwa kwenye mitandao ya kijamii na programu za ujumbe nchini Tanzania, hata baada ya huduma za intaneti kuanza kurejea taratibu kufuatia kukatikwa kwa mtandao kwa zaidi ya siku tano tangu Oktoba 29...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mitandao ya YouTube, TikTok na Signal imeliwa kichwa kama X na Telegram. Facebook, Instagram na WhatsApp kufuatia?

    Wakuu, Mpaka sasa motandao ya Youtube, TikTok na Signal imeliwa kichwa, haipatikani mpaka utumie VPN, yote hii ikiwa ni kuzuia wananchi kupata taarifa wakati muhimu kabisa wa uchaguzi ambao wananchi wana haki na wanastahili kupata taarifa kujua kinachoendelea katika siku muhimu inayoenda...
  19. H

    JamiiForums Tanzania Mahakama iruhusu WhatsApp na SmS kutumika ktk kutoa wito wa mahakama

    Ni wakati sasa mahakama za Tanzania kufanya mabadiliko ktk sheria zake ili kuwezesha hati za wito kupelekwa na kupokelewa kwa whatssapp na sms kama njia ya haraka na sahihi na yenye kupunguza gharama kwa mdai na mdaiwa kama ilivyo kwa e.mail. Mahakama haiwezi kujinadi kuwa imeingia kwenye...
  20. Scott junior

    JamiiForums Tanzania WhatsApp family group

    Ukiachana na mimi hapa nani mwingine anatokea familia ambaya haina WhatsApp group?😂
Back
Top Bottom