whatsapp

  1. KikulachoChako

    Kero na changamoto za kwenye magroup ya WhatsApp

    Habari za mida hiii wadau. Maendeleo ya kiteknolojia yameleta unafuu wa maisha na kuyafurahia maisha hasa kwenye mawasiliano. Lakini maendeleo hayo kwa upande mwingine yameleta usumbufu na kero hasa yakikutana ndugu zetu ambao hawana nidhamu kwenye kutumia. Kumekuwa na makundi ya kupiga soga...
  2. Yuda Eskareote

    Msaada: Nimefungiwa Whatsapp account yangu

    Habari wanajamvi Ninaomba Msaada juu ya kufunguliwa Kwa account yangu ya whatsapp iliyofungiwa burned Natumia whatsapp messenger Pelee na sikufanya chochote Kama forwarding SMS wala majibizano na mtu inaandika hivi Msaada tafadhari
  3. mr pipa

    Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

    Nimekaa nasoma JF, Mara text hizo kwa wasapu yangu angalia mwenyewe hizi screenshot
  4. Kaveli

    Msaada: namna ya ku-recover WhatsApp Video call (outgoing) if possible.

    Kwa tech gurus wote kwenye jukwaa hili, title ya uzi yahusika. Naombeni namna ya ku-watch/download WhatsApp Video call (outgoing). Urgently naihitaji video husika ila haipatikani kwenye storage. Naishia kuona video call 'history' tu ya tarehe husika. N.B: Nahitaji video husika urgently for...
  5. MwaFreeca

    Msaada whatsapp

    Habari ndugu zangu, Nina shida Whatsapp yangu ilifungiwa kwasababu nilikua natumia GB whatsapp. Nikawasiliana nao kwa njia ya Email account ikafunguliwa. Nikatumia whatsapp official kwa muda wa miezi mitatu ikaja kukataa tena inaleta ujumbe huu hali yakuwa natumia Official whatsapp..
  6. Arnold Kalikawe

    Watumiaji wa Whatsapp Status watakuwa na uwezo wa kuweka video ya dakika 1

    WhatsApp imeanza kufanya majaribio ya kuongeza urefu wa video ambayo mtu anaweza kuweka katika sehemu ya WhatsApp Status. WhatsApp imeanza kuweka limit ya dakika 1 (sekunde 60) katika video za WhatsApp Status. Kwa kawaida limit yake ni sekunde 30! Majaribio haya yameanza kwa watumiaji wa Android.
  7. N

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Serikali haisajili 'groups za WhatsApp' bali inasajili kisheria jumuiya zisizo za kidini

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Kihampa amesema kuwa Serikali haisajili 'groups' za WhatsApp isipokuwa wanasajili jumuiya mbalimbali ambazo sio za kidini ambazo zipo kwenye jamii. Anasema kuwa zoezi la usajili ambalo linaanzia kwenye Mkoa wa Dar es...
  8. Kiboko ya Jiwe

    Mwanzilishi wa Whatsapp hajachukua hata sh. 10 kutoka kwenye kikundi /group lolote. Serikali ya Tanzania bila aibu inataka fedha bila kuitolea jasho.

    Hii tabia ya serikali ya Tanzania kukosa ubunifu kwenye kukusanya mapato iishe. Dunia yote sehemu ambayo gari used linatozwa kodi kubwa ni Tanzania. Gari ambayo kodi yake inachukua sh. Milioni 15 nchi za Zimbabwe na Zambia ambazo hupitisha hizo gari Bandari yetu wanachaji Kodi isoyozidi...
  9. K

    Upumbavu wa kusajili makundi ya WhatsApp kwa shs 200,000/=,nani kapitisha sheria hii??!!

    Ni kwamba tumekosa vyanzo vipya vya mapato ama lengo ni nini?!! Makundi ya UVCCM,CCM nchi nzima yatasajiliwa na kulipiwa 200,000?!! Watu wanafunguaga group la mazishi ambapo huwa kwa siku 2-5 pia yasajiliwe kwanza kwa shs 200,000?!! Wazazi wengine wana magroup ya shule kwa ajili ya updates...
  10. Heparin

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Makundi ya WhatsApp kusajiliwa Kisheria kwa TZS 200,000/-

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Kihampa, amesema kampeni ya usajili wa jumuiya zisizo za kidini iliyoanza mkoani Dar es Salaam, inahusisha vyama au vikundi vikiwamo vinavyoendeshwa kwa njia ya mtandao wa WhatsApp. Amesisitiza kuwa ni muhimu vyama...
  11. Drax001

    Hii ndio Whatsapp bot na hizi ni features zake

    WHATSAPP BOT Ulimwengu wa Sasa matumizi makubwa ni ya artificial intelligence (robot) now Whatsapp Kuna robot maarufu kama Whatsapp bot. BOT FEATURES 🤖 Auto View Status 👉Hii utaview status ata ukiwa offline tena just now😁 🤖Always Online 👉hii muda wote utaonekana active online ata Kam...
  12. Mama Edina

    Tangu waizime WhatsApp GB huduma ya WhatsApp imepoteza mvuto

    App ya WhatsApp GB ina raha yake. Ilikuwa na feature nyingi nyingi sana. Na mara kwa mara wanatoa update inavutia sana. Sasa majuzi nilishuhudia watu wakitakiwa ku download official WhatsApp app mm najua ni njama tu. Ile ilikuwa inaruhusu kuona kama mtu alituma kitu akakifuta wewe unaona na...
  13. Mhaya

    Hakuna mtu anayeweza ku-hack WhatsApp yako

    Kuna taarifa nyingi za uongo mitandaoni, sijui meseji za WhatsApp zitasomwa na watu, sijui nini na nini! Ngoja niwaambie jambo moja. Zuckerberg sio fala, hakuna mtu anayeweza kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine. Hii mitandao ipo imara sana labda uhack, na mara nyingi kuhack hutumika Facebook...
  14. Kang

    Mbinu za kujikwamua WhatsApp ban.

    Tutashare mbinu za kujikwamua na ban humu, kumbuka hii ni cat/ mouse game kwa hiyo sio kila mbinu itafanikiwa kwako. Fanya backup! Baadhi ya hizi njia zitapoteza chat msg/ picha etc so kama ni muhimu kwako fanya backup unvayojua wewe kabla ya kujaribu lolote. Tahadhari na factory reset...
  15. H

    MPYA MABADILIKO MAPYA WHATSAPP

    Je Kuna ukweli wowote kuhusu mabadiliko MAPYA ya muonekano wa whatsapp na faragha ya mtu?
  16. ezekeo

    Msaada kufunguliwa kwa namba yangu kutumia WhatsApp business

    Wakuu Namba yangu imefungiwa kutumia WhatsApp business. Kuna taarifa nyingi za muhimu sana nazihitaji kutoka kule WhatsApp Business. Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya ili namba yangu iweze kuruhusiwa kutumia tena WhatsApp Business. Ahsanteni
  17. SAYVILLE

    Kwa hiyo Yanga ndiyo imegoma kufungua WhatsApp Channel?

    Simba ilipozindua WhatsApp channel yake, hadi CEO Imani Kajura akafanya press conference kuhusu uzinduzi huu. Binafsi na wengi wetu tuliona hii siyo issue kubwa kihivyo na tulikwazika pale ilipoorodheshwa kwenye Mkutano Mkuu kama ni moja ya mafanikio ya klabu msimu huu. Pamoja na yote hayo yote...
  18. Kiboko ya Jiwe

    Tahadhari: Moja ya kiashiria cha utapeli wa Kimtandao ni kuitwa WhatsApp

    Ukikutana na tangazo la nafasi za kazi, tangazo la biashara au tangazo la fursa yoyote ya kifedha na mwishowe unaambiwa njoo Whatsapp hapo kuna harufu ya utapeli kwa 96% -100%. Ni hayo tu. Ogopa neno njoo Whatsapp!
  19. Annie X6

    Naomba kujua kwanini whatsapp GB inaomba udownload official apps? GB inaondolewa?

    Wakuu habarini Nimetumia WhatsApp Gb muda mrefu sasa. Moja ya simu yangu imeomba nitafute official app kwenye playstore. Kabla ya hapo WhatsApp gb nilipatika kwa kudowload through akp kwenye search engine particularly chrome Je, ninkwamba gb whatsapp inatuagaaga au? Wajuzi msaada hapo?
Back
Top Bottom