fitna

Fitna (Arabic: فِتْنَة‎) is a 2008 short film by Dutch parliamentarian Geert Wilders. Approximately 17 minutes in length, the film attempts to demonstrate that the Qur'an motivates its followers to hate all who violate Islamic teachings. The movie shows selected excerpts from Suras of the Qur'an, interspersed with media clips and newspaper cuttings showing or describing acts of violence and/or hatred by Muslims.
The film argues that Islam encourages – among other things – acts of terrorism, antisemitism, violence against women, violence and subjugation of infidels and against homosexuals and Islamic universalism. A large part of the film details the influence of Islam on the Netherlands. The film was published on the Internet in 2008. Shortly before its release, its announcement was suspended from its website by the American provider because of the perceived controversy. It stirred a still continuing debate in the Netherlands as well as abroad.The Arabic title-word "fitna" means "disagreement and division among people" or a "test of faith in times of trial".

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Fitna za Ndumbaro zamuondoa Katibu Mkuu wa CHANETA

    Katibu Mkuu wa Chama cha Netball nchini Tanzania , Rose Mkisi amejiuzulu wadhifa huo kwa madai kwamba serikali imekitelekeza Chama hicho na Timu zake , hawaungwi mkono wala hawasaidiwi chochote . Timu za Netball haziwezi kuendeshwa kwa hela za mfukoni za viongozi wake wakati Wizara ya michezo...
  2. Dong Jin

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    ... 🔖 𝙉𝘼𝙉𝙄 𝙕𝘼𝙄𝘿𝙄 ? Baada ya ushindi wa Simba (6-0) dhidi ya Jwaneng nimeona mijadala mitandaoni watu wakibishana nani zaidi kati ya Chama na Pacome ?! Nami nimeona nisipitwe na mjadala huu. Kama kawaida yangu huwa naongea na takwimu kisha nawaachia mchambue wenyewe kama hivi ; 𝘾𝙃𝘼𝙈𝘼...
  3. BUDANOV

    Mo Dewji kaiva kwenye fitna za Kariakoo Derby

    Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri. Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja. Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee...
  4. GENTAMYCINE

    Baada ya kujua Mbeya City FC wana Uyanga mwingi najitolea kufanya Fitna ili ifungwe na KMC FC na ishuke kabisa Daraja

    Kocha wa KMC FC na Mtoto wa Mjini Mwenzangu Jamhuri Kihwelo ( alias Julio ) najua leo mmefungwa nao Goli 2 kwa 1 huko Kwao Mbeya na Ijumaa mnarudiana nao Dar es Salaam hivyo tulia wana Simba SC Wenzako tuicheze Kimafia na Kimjinimjini hiyo Mechi uwafunge Goli 3 au 4 kwa bila ili mbakie Ligi Kuu...
  5. N

    Azam kuonesha mechi ya Yanga na Al Hilal

    Naam, baada ya vibonde Al Hilal kunusurika kupigwa kama ngoma uwanja wa Mkapa silaha yao kubwa iliyokuwa imebaki ni kutaka kuchezea mechi gizani, yaani isonyeshwe kwenye TV. Lakini Azam TV wamefanikiwa kupangua baada ya kuwashawishi ma bosi wa Al Hilal kuonyesha mechi hiyo. Ikumbukwe kwamba...
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Simba Sc ijiandae na fitna nchini Angola

    By ELIUS KAMBILI NILIKUWA pale Luanda, Angola na Namungo iliyokwenda kucheza na Clube Desportivo 1 de Agosto mwaka jana. Lakini wageni hawakugusa mpira hata wa mazoezi kutokana na vihoja kutawala nje ya Uwanja. Simba msimu huu imepangwa kucheza na klabu hiyo katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa...
  7. N

    Licha ya fitna na kushinda ugenini, Yanga SC kuwasili nchini leo

    Jana wote tumeshuhudia Yanga wakishinda bao 4-0 ugenini licha ya kufanyiwa vitimbi kibaooo. Leo mabingwa hao watarejea nyumbani saa 3 usiku. Nyote mnaombwa kwenda kuwapokea airport. Hizo ndo dozi za kutoa ugenini siyo eti kushinda 2-0
  8. N

    Karia, TFF, CAF wamfanyia fitna Crispin Ngushi akatwa jina caf

    Ni uleule muendelezo wa vita kati ya karia na yanga sc kwa kutumia ukaribu wake na Motsepe ameagiza Ngushi akatwe jina lake wana yanga amkeni nyie, mnaonewa sana.
  9. Dr Matola PhD

    Simba na Yanga zinapaswa kujifunza zaidi fitna za mechi za kimataifa, tulichokiona Sudan ni trailer tu, picha lenyewe linakuja

    Kwanza nikiri mechi ya Jana kati ya Simba na Al hilal sikuangalia Kwa lakini kutokana na mazingira nilikuwa sehemu za kugonga vyombo. Lakini nimejifunza kitu Watanzania tuna ukarimu wa kiboya sana, tunawakarimu wageni wakija kwetu lakini tukienda kwao ni tofauti. Kwa mechi kama ya Jana tena...
  10. chiembe

    Hassan Bumbuli, hebu tembeza fitna Haji Manara atoke kabisa Yanga, wewe unatosha

    Namshauri Hassan Bumbuli asimuonee huruma huyo Haji Manara, amuombee njaa afukuzwe kabisa katika tasnia ya mpira. Aina ya utendaji wa Bumbuli ni wa kitaalamu kabisa, hana mambo ya kihunihuni. Hii ni fursa kwa Bumbuli kumuondoa kabisa Haji Manara, na sio kumsaidia
  11. GENTAMYCINE

    Hatimaye wenye Simba SC yao ( Wazee wa Fitna na Umafia ) wamerejea rasmi Kuirudisha Simba SC tuliyoizoea

    CEO Barbara Gonzalez Siku zingine uache kuwa Mbishi hasa pale ukiwa unashauriwa kuwa pamoja na kwamba Wewe ndiyo kila Kitu kwa upande wa Malipo na Operations za Klabu ila ni lazima utambue kuwa huwezi kuwa na Mafanikio kama utawaweka pembeni Wazee wa Kazi Chafu na Umafia kwa Soka la Tanzania (...
  12. M

    Yanga SC jitahidini na famyeni kila fitna ili Simba SC leo isimfunge Kagera Sugar FC 'kwa Mkapa' kwani ikishinda tu Ubingwa mnaukosa na hamtoamini

    Kwa Mkakati ulioko Simba SC anaweza akasababisha Maafa Yanga SC kwa Kuukosa Ubingwa waliodhania ni Wao. Mwambieni Mayele amlipe Mganga wake.
  13. Orketeemi

    Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga

    Wanasports salaam. Kwa zaid ya miaka 4 TFF na Simba wamekuwa maswahiba wakubwa hali iliyopelekea minong'ono upande wa Yanga kwamba TFF Soka anaibeba Simba. Baada ya ujio wa GSM mitaa ya Jangwana mambi mengi yamebadilika lakin bado Yanga hawajaweza kupata ubingwa mbele ya Simba. Msimu huu...
  14. OKW BOBAN SUNZU

    Njia ya kibabe kukomesha fitna na majungu

    Katika harakati za kutafuta mkate kumekuwa na fitina nyingi na majungu miongoni mwetu. Sasa katika biashara zangu nikapata bro ambaye kila ikitika jioni anapiga simu kuwasema wenzake mabaya. Nilimvumilia mara ya kwanza tu,mara ya pili nimemuunga conference call (mkutano) na mtu aliyekuwa...
  15. C

    Nugaz anafanyiwa fitna hadi kwenye tuzo

    Juma kahtib a.k.a Nugaz alifanyiwa fitna na msukule hadi akapoteza kazi pale utopoloni lakini cha kushangaza majina ya wahamasishaji bora kwenye tuzo za TFF yametoka lakini Jina la Nugaz halipo kwenye list. Unless ile data ya kwamba mwaka jana utopwenga ndiyo waliongoza kwa kuingiz mashabiki...
  16. N

    Karia na TFF wasipowafanyia fitna Kambole na Djuma Shaban itakuwa balaa sana

    Sisi sote ni mashahidi jinsi wallace karia na TFF walivyokuwa wanawazuia kina yikpe,sarpong na wachezaji kadhaa nyota wa kigeni kufunga magoali na kusababisha wakose magoli ya wazi huku wakiwabeba wachezaji wa kiwango cha kawaida mno kama cham,kagere,luis jose waonekane wana shine. Wana...
  17. Countrywide

    Ninakemea uongo, uzushi na fitna kwa Rais Samia. Wote mnaokosoa hamtafanikiwa

    Leo imenibidi niliongee hili ili niae huru kwa maana moyo unauma kuona uongo uzushi chuki na fitna kwa Mama Samia. Ninaona ni kama watu wamejipa ajira ya kudumu ya kukosoa maraisi. Kukosoa sio dhambi Ila inategemea na unachokosoa. Hadi Sasa sijaona kama kuna jambo la kumkosoa Mama Samia...
  18. Slim5

    Fitna kubwa ilianzia hapa!

    Fitna kubwa ilianzia hapa! Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom