BUDANOV
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 2,831
- 4,332
Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri.
Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.
Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.
Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.
Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.
Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.
Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.