Fitna za Ndumbaro zamuondoa Katibu Mkuu wa CHANETA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,805
218,454
Screenshot_2024-03-05-22-55-50-1-1.png


Katibu Mkuu wa Chama cha Netball nchini Tanzania , Rose Mkisi amejiuzulu wadhifa huo kwa madai kwamba serikali imekitelekeza Chama hicho na Timu zake , hawaungwi mkono wala hawasaidiwi chochote .

Timu za Netball haziwezi kuendeshwa kwa hela za mfukoni za viongozi wake wakati Wizara ya michezo ipo lakini imeweka nguvu kwenye michezo yenye Kiki tu .
 
Wanatakiwa wadesign namna ambayo hiyo michezo italeta kick kiasi cha serikali kuona ngoja itie nguvu kama ilivyotia nguvu kwenye soka.


Ila kiukweli serikali inakomaa na soka zaidi,na ni baada ya soka kufanya vizuri kimataifa kuliko hapo nyuma kidogo.


Biashara united ilishindwa kusafiri kwenda Libya kiss nauli.
Nonesense
 
Back
Top Bottom