Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,805
- 218,454
Katibu Mkuu wa Chama cha Netball nchini Tanzania , Rose Mkisi amejiuzulu wadhifa huo kwa madai kwamba serikali imekitelekeza Chama hicho na Timu zake , hawaungwi mkono wala hawasaidiwi chochote .
Timu za Netball haziwezi kuendeshwa kwa hela za mfukoni za viongozi wake wakati Wizara ya michezo ipo lakini imeweka nguvu kwenye michezo yenye Kiki tu .