Recent content by kifupi kirefu

  1. K

    DOKEZO Uwanja wa Ndege wa Zanzibar una huduma mbovu, mtalii anazongwa na watu wenye uniform na wasio na uniform utadhani mwizi

    Huduma za kuingia na kutoka Zanzibar zipo tofauti Sana na huduma za viwanja vingine vya ndege Duniani. Nadhani mentality ya wizi au Rushwa umepelekea serikali ya Zanzibar kujaza taasisi nyingi zinazosumbua wageni kinyume kabisa na nchi nyingi. Nadhani uwanja una camera, ingetosha data...
  2. K

    Wafuasi wa Halima Mdee na wenzake kwanini mmewatelekeza wenzenu? Mliwadanganya wanawafuasi kama mlivyomdanganya Dkt. Slaa

    Baadhi ya Wabunge 19 walio na mgogoro walikuwa wanakubalika Sana mtaani. Toka wapate Ubunge wameondoka majimboni na kwenye mitandao ya kijamii, wamefifia kwenye bunge na mtaani. Leo Bungeni spika alipotangaza waendelee na Ubunge nikasikia vifijo na nderemo kutoka ccm nikajiuliza siyo Hawa...
  3. K

    Nani anaelekeza madereva Mwendo Kasi kupakia abiria kupitia milango iliyoangalia barabarani (Kibaha to Kimara)? Hadi abiria wagongwe?

    Watu wa huko Dar Wana uwoga wa ajabu sana Sijui akili zinadumazwa na Nini: kama wao wanaweza kupanda mwendokasi Kwa mlango wa kulia wakivutwa mkono unadhani watu wa mikoani watafanyaje? Wasomi wengi tumefauli history kwakujibu tulitokana na nyani na Sasa tupo kwenye practical exercise ya unyani...
  4. K

    Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

    Mataifa mengi hupinga dhuruma Kwa kuwafichua wadhulumati, hupinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho...
  5. K

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali ifumuliwe, iondolewe jukumu walilozoea la kuahisrisha kesi hata pale ambao wanaona ushahidi umekamika

    Taifa linawatafuta akina Jaji Samata wa Leo Lakini awaonekani, tunatafuta wakina Waryoba no where to be seen. Nadhani makosa yanatokana na mfumo wa kupata majaji, mfumo wa kupandisha vyeo mahakimu na mfumo wa Mahakama kujitaftia Uhuru wake pamoja na mfumo wa kupandisha vyeo mawakili wa serikali...
  6. K

    Kufutwa kazi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kutawakumbusha Viongozi hatupo awamu ya Tano

    Kwa alichofanya mkuu wa mkoa wa Mwanza cha kumdhalilisha mwandishi wa Habari Mabere makubi pamoja na kutumia madaraka yake kumfukuza kazi mtangazani huyo ni ishara ya ukatili na uonevu unaofanywa na viongozi wanaolipwa Kodi na wananchi. Mhe.Rais Naamini hatovumilia aina hii ya viongozi...
  7. K

    Edward Hosea, constructive engagement uliyonayo itaua TLS. Serikali ikiwanyima fedha mtajiendesha vipi?

    TLS ilizaliwa miaka zaidi ya 60 iliyopita huko nchini Tanzania zama hizo ikiwa Tanganyika. Imejaaliwa kupata watoto zaidi ya elfu kumi; watoto kadhaa wamebainika TLS ilizaa na serikali (Watumishi wa Umma), watoto kadhaa wamebainika mzazi wao mmoja taarifa zake hazipo weli known (wasio practice)...
  8. K

    “Dkt. Anna Peter Makakala kuendelea kuwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji ni kubariki uhujumu uchumi”

    Mkubwa Martin nathamini mchango wako wa mawazo lakini Kwa hoja hizi ulizoandika hapa Naomba kutofautiana na Wewe kutokana na ukweli kwamba ulichokiandika hapa na ukweli ulioripotiwa kqenye vyombo vya habari ni tofauti kabisa. Kwanza, Naomba nikueleze kwamba waliokamata visa feki nakutangaza...
  9. K

    CAG na Peter Madeleka wanapotosha umma, serikali ilikosa ushahidi kesi ya VISA- KIA na kuamua kuifuta; watuhumiwa walikaa Gerezani zaidi ya mwaka.

    Jamii forum Facebook account pamoja na Habari leo ni baadhi ya vyombo vya habari vilivyoripoti hoja ya visa bandia zilizokamatwa zikitokea afrika kusini; Kwa urahisi wa rejea wanajamvi tunaweza kupitia google kuuliza habari hizi na tutapata taarifa za ndani. Tukio hili linaonekana kuripotiwa Kwa...
  10. K

    Nadhani jeshi la polisi mnakosea kukamata Bajaji na pikipiki; hawa Watu wanatafuta riziki walishe familia mnapanda chuki

    Jeshi la polisi KAZI mnayofanya Sasa hivi inatia kichefuchefu hasa Kwa mtu anayetambua ugumu wa maisha uliopo. Kukamata pikipiki na Bajaji Katika Hali hii ya ukata nikudhibiti Watu wasitafute riziki. Mmewanyima vijana ajira ya pikipiki na Bajaji matokeo yake wizi umeshamiri Kwa Kasi kubwa Sana...
  11. K

    Kumsujudia Jaji au Hakimu Mahakamani ni kumchukiza Mwenyenzi MUNGU; hakuna sheria inayolazimisha kusujudu

    Mahakamani pamekuwa kama kwenye nyumba za Ibada; watu wakifika mahakamani lazima wasujudu Sijui huu utamaduni wa kimiungu ulitokana na Nani. Mahakimu na Majaji siyo watu wa kuabudiwa ni Watumishi wa Umma. Mahakama siyo nyumba ya ibada NDIYO maana kila mtu uapa Kwa Imani yake. Mfano kwa Wakristo...
  12. K

    Napingana na Mahakama kuzungumza na Mbowe peke yake bila watuhumiwa wengine, watuhumiwa watatu wanatetewa na Mbowe Kwenye Haki yao ya Kula?

    Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani. Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi...
  13. K

    Dk. Anna Makakala, utoaji Pasipoti kwa vijana wa Kitanzania unaambatana na fogery Kwasababu maafisa wako wanalazimisha watoto wetu kudanganya

    Ukweli ilio wazi ni kwamba watu wanaorudishwa na maombi Yao wanaambiwa wakajipange kwa sababu wakijipanga vyema wanapokelewa na kupewa huduma. Umependekeza Suluhu ya Rushwa Uhamiaji ambayo naamini Kwa tabia ya viongozi WA Uhamiaji wengi watakataa ushauri wako ila wakiufanyia kazi Rushwa...
  14. K

    Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

    Kosa la Zitto anachukulia masuala ya nchi aidha kidini sana au anayachukulia kijamii Sana. Anavyoongea ni wazi anakaa na waliomweka Mbowe ndani na wanampa masharti na kwa anavyoongea ni wazi yeye anajua kwamba Mbowe siyo Gaidi na amewekwa ndani Kwa sababu za kisiasa. Ambacho Zitto ajajiuliza ni...
  15. K

    Rais Samia, ili kupambana na Rushwa weka misingi ya Taifa anayethibitika kupokea rushwa anafukuzwa urgently

    Lipo tatizo kubwa la rushwa Kila sekta. Kisingizio kikubwa Watumishi wa umma ni mishahara midogo. Nakishauri Mhe. Rais weka kifungu cha sheria kinachomwajibisha mpokea Rushwa akiwa mtumishi wa Umma na pale anapofukizwa kazi pengo lake lizibweKwkwa haraka arudi uraiani akaishi bila mshahara...
Back
Top Bottom