Kumsujudia Jaji au Hakimu Mahakamani ni kumchukiza Mwenyenzi MUNGU; hakuna sheria inayolazimisha kusujudu

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Mahakamani pamekuwa kama kwenye nyumba za Ibada; watu wakifika mahakamani lazima wasujudu Sijui huu utamaduni wa kimiungu ulitokana na Nani. Mahakimu na Majaji siyo watu wa kuabudiwa ni Watumishi wa Umma. Mahakama siyo nyumba ya ibada NDIYO maana kila mtu uapa Kwa Imani yake.

Mfano kwa Wakristo Biblia inakataza kuabudu Miungu Mingine; kwanini wampigie Hakimu au Jaji Magoti au ishara ya kusujudu wakiwa wanatoka au kuingia mahakamani?

Mawakili Tuambieni hiizi tamaduni za kikoloni Bado zinapslaswa kufanya sheria za nchi. Wanasiasa Tuambieni mnawasujudia Hawa watu au mnasujudia nembo ya Taifa?

Ukianza kusujudu unaanza kuvaa roho ya kuabudu; unakosa Uhuru na kuanza kuongea kwa woga kumbe tunashindwa kuelewa Jaji na Hakimu ni Watumishi kama watumishi webgine.

Wapo mahakamani kama wengine waLivyo kwenye kazi zao maeneo MENGINE. Nimefuatilia Malema alivyosimama kizimbani na kumweleza Jaji ukweli na hakuna kitu anafanywa; hapa kwetu ukitabasamu Mahakaman tu Ndani siku kumi na nne.

Ukicheka kwa kosa alilofanya Kiongozi wa mahakama utasikia aende Ndani siku kumi na nne; HAYA ni matokeo ya kuabudiwa
 
Mle kuna mafungamano ya miroho mingine hivyo wanavyofanya vile ni kuwa wameikubali .
Wee huoni baadhi wanaopanda kizimbani wanaugua ghafla bila kujua sababu!
 
Mahakamani ni sehemu ambayo tunakwenda kutafuta/kupata haki.Ni mahakimu na majaji wanaopanajisi lakini ilitakiwa kuwa sehemu ya kumwamini na kumuogopa Mungu mno.Kumuinamia mtu si kumuabudu bali kumheshimu!!
 
Tuacheni waheshimiwa mahakimu na majaji tusujudiwe maana ni kazi kubwa kutoa haki.

Na ukicheka ama mambo yanayofanana na hayo tunakuhukumu kwa kosa la contempt of court hakuna mchezo.
 
Law is a noble profession lazima iheshimiwe na kila mmoja.

By then sheria walikuwa wanasoma watoto wa wakubwa tu huko ulaya na baadae maeneo mengine ya ulimwengu.

Sasahivi ndo kila mtu anaweza kusoma sheria.
 
Mamlaka utoka kwa Mungu tiini mamlaka ata hao wameweka na Mungu kimaandiko maana Mungu usema kila jambo ni mipango yake. kwaiyo unabishana na Sir God
 
Hakuna hakimu atakayeiona mbingu
Sio sahihi

Hakimu atakaeiona mbingu ni yule tu anayehukumu kwa mujibu wa sheria ya Mungu.Otherwise wengine wote watakwenda kuonja joto ya jiwe

Quran 5:45

And whoever does not judge by what Allah has revealed - then it is those who are the wrongdoers [i.e., the unjust]


Marko 7:6-8

‘Mungu asema: Watu hawa, huniheshimu kwa maneno tu,
lakini mioyoni mwao, wako mbali nami.
Kuniabudu kwao hakufai,
maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’
Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
 
Law is a noble profession lazima iheshimiwe na kila mmoja.

By then sheria walikuwa wanasoma watoto wa wakubwa tu huko ulaya na baadae maeneo mengine ya ulimwengu.

Sasahivi ndo kila mtu anaweza kusoma sheria.
Ila ni baada ya taasisi husika kujiridhisha kwamba the said ana akili timamu! Hii si kusema kwamba nakubali hiyo misujudio mahakamani.
 
Mahakamani pamekuwa kama kwenye nyumba za Ibada; watu wakifika mahakamani lazima wasujudu Sijui huu utamaduni wa kimiungu ulitokana na Nani. Mahakimu na Majaji siyo watu wa kuabudiwa ni Watumishi wa Umma. Mahakama siyo nyumba ya ibada NDIYO maana kila mtu uapa Kwa Imani yake.

Mfano kwa Wakristo Biblia inakataza kuabudu Miungu Mingine; kwanini wampigie Hakimu au Jaji Magoti au ishara ya kusujudu wakiwa wanatoka au kuingia mahakamani?

Mawakili Tuambieni hiizi tamaduni za kikoloni Bado zinapslaswa kufanya sheria za nchi. Wanasiasa Tuambieni mnawasujudia Hawa watu au mnasujudia nembo ya Taifa?

Ukianza kusujudu unaanza kuvaa roho ya kuabudu; unakosa Uhuru na kuanza kuongea kwa woga kumbe tunashindwa kuelewa Jaji na Hakimu ni Watumishi kama watumishi webgine.

Wapo mahakamani kama wengine waLivyo kwenye kazi zao maeneo MENGINE. Nimefuatilia Malema alivyosimama kizimbani na kumweleza Jaji ukweli na hakuna kitu anafanywa; hapa kwetu ukitabasamu Mahakaman tu Ndani siku kumi na nne.

Ukicheka kwa kosa alilofanya Kiongozi wa mahakama utasikia aende Ndani siku kumi na nne; HAYA ni matokeo ya kuabudiwa
Ndiyo maana inaitwa mahakama tukufu.

Ofisi gani inayoitwa tukufu ???
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Mahakamani pamekuwa kama kwenye nyumba za Ibada; watu wakifika mahakamani lazima wasujudu Sijui huu utamaduni wa kimiungu ulitokana na Nani. Mahakimu na Majaji siyo watu wa kuabudiwa ni Watumishi wa Umma. Mahakama siyo nyumba ya ibada NDIYO maana kila mtu uapa Kwa Imani yake.

Mfano kwa Wakristo Biblia inakataza kuabudu Miungu Mingine; kwanini wampigie Hakimu au Jaji Magoti au ishara ya kusujudu wakiwa wanatoka au kuingia mahakamani?

Mawakili Tuambieni hiizi tamaduni za kikoloni Bado zinapslaswa kufanya sheria za nchi. Wanasiasa Tuambieni mnawasujudia Hawa watu au mnasujudia nembo ya Taifa?

Ukianza kusujudu unaanza kuvaa roho ya kuabudu; unakosa Uhuru na kuanza kuongea kwa woga kumbe tunashindwa kuelewa Jaji na Hakimu ni Watumishi kama watumishi webgine.

Wapo mahakamani kama wengine waLivyo kwenye kazi zao maeneo MENGINE. Nimefuatilia Malema alivyosimama kizimbani na kumweleza Jaji ukweli na hakuna kitu anafanywa; hapa kwetu ukitabasamu Mahakaman tu Ndani siku kumi na nne.

Ukicheka kwa kosa alilofanya Kiongozi wa mahakama utasikia aende Ndani siku kumi na nne; HAYA ni matokeo ya kuabudiwa
Laiti ungefahamu historia ya wanasheria na walianzaje kuwepo kwenye maamuzi ya utoaji wa haki mpaka Mahakama zilipoanzishwa enzi za wafalme labda ndio ungeelewa hata maana ya kuvaa yale majoho.

Laiti ungefahamu kwamba kuna tofauti ya ku-bow kwa Hakimu na ku-bow kwa Mahakama basi usingeongea haya uliyoongea.

Laiti ungefahamu sababu ya kutumika msahafu/Quran na Biblia Mahakamani basi usingethubutu kujidhalilisha kuandika haya uliyoandika.

Ila sababu umeamua kujionyesha wewe ni mjuaji basi asiyejua maana huwa haambiwi maana, subiri wakuweke lupango au wakudhulumu mali ndio utajua kwa nini mtu alisoma sheria.

In the meantime I wish you all the joy to your mockery and enjoy your constitutional rights by speaking whatever you desire.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom