Kufutwa kazi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kutawakumbusha Viongozi hatupo awamu ya Tano

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Kwa alichofanya mkuu wa mkoa wa Mwanza cha kumdhalilisha mwandishi wa Habari Mabere makubi pamoja na kutumia madaraka yake kumfukuza kazi mtangazani huyo ni ishara ya ukatili na uonevu unaofanywa na viongozi wanaolipwa Kodi na wananchi.

Mhe.Rais Naamini hatovumilia aina hii ya viongozi. Viongozi wanaosukumwa na hisia kuadhbu wananchi badala ya kusukumwa na Sheria na Kanuni ni mwiba Kwa utawala wa sheria

Kibaya Zaidi kiongozi anafikia hatua yakulazimisha mwajiri akufute kazi Kwa sababu tu umeeleza mapungufu yake

Kiongoz huyohuyo ndiye wa kwanza kutumbua wanaokosea mkoani kwake, for justice Mhandisi anapaswa atenguliwe apeleke ukatili Kwenye familia yake siyo Kwa wananchi.


Mhe. Rais huu ni unyama, ukatili, umungu MTU, udikteta. Nikuombe uvae viatu vya mwandishi huyu na familia yake, uliishi Kwenye utawala wa Watu wa aina ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, unaelewa maumivu yanayoletwa na tawala za aina yake. Msikilize Makubi , Endapo alikosea basi RC aje aseme alivunja Sheri gani
 
Engineer hawezi kufukuzwa labda ahamishwe kituo ila Mwanza including Geita zenye vichwa mbovu mbovu nyingi ameziweza
 
huyo mwandishi kama ni mkongwe na mweledi angepaswa kujua ni taarifa gani ziende public kwa manufaa ya umma
 
Kwanini mnamlaumu mkuu wa mkoa, hiv yeye ni nani hadi afanye hivyo,? Ninyi waandish wenyewe hamna umoja... Ajira ya makubi ni ITV mkuu wa mkoa anaingiaje.. eleza kinagaubaga. LKn muache kutumika kisiasa hpo ndipo mtaacha kuonewa...
 
Naomba kuelimishwa mkuu wa mkoa anaweza vipi kushinikiza ITV imfukuze kazi mfanyakazi wake?

Pili wengine tupo gizani tujurishe ni habari gani aliyoirusha ambayo inaleta shida na ubaya wa hiyo habari upi?

Kuna sehemu gani amekosea ethics za kazi yake?
 
hapa unamuongelea Gabriel au nani....huyo makubi ajitathmini aiseee.
 
Kwa alichofanya mkuu wa mkoa wa Mwanza Cha kumdhalilisha mwandishi wa Habari Mabere makubi pamoja na kutumia madaraka yake kumfukuza kazi mtangazani huyo ni ishara ya ukatili na uonevu unaofanywa na viongozi wanaolipwa Kodi na wananchi.

Mhe.Rais Naamini hatovumilia aina hii ya viongozi. Viongozi wanaosukumwa na hisia kuadhbu wananchi badala ya kusukumwa na Sheria na Kanuni ni mwiba Kwa utawala wa sheria

Kibaya Zaidi kiongozi anafikia hatua yakulazimisha mwajiri akufute kazi Kwa sababu tu umeeleza mapungufu yake

Kiongoz huyohuyo ndiye wa kwanza kutumbua wanaokosea mkoani kwake, for justice Mhandisi anapaswa atenguliwe apeleke ukatili Kwenye familia yake siyo Kwa wananchi.


Mhe. Rais huu ni unyama, ukatili, umungu MTU, udikteta. Nikuombe uvae viatu vya mwandishi huyu na familia yake, uliishi Kwenye utawala wa Watu wa aina ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, unaelewa maumivu yanayoletwa na tawala za aina yake. Msikilize Makubi , Endapo alikosea basi RC aje aseme alivunja Sheri gani
Ungeeleza nini kimetokea.Umeanza na kumaliza kwa malalamiko tu.
 
Mleta mada ni kilaza mo 1. Sasa unadhani kila mtu anajua kilichomtokea Makubi? Bure kabisa
 
Kwa alichofanya mkuu wa mkoa wa Mwanza cha kumdhalilisha mwandishi wa Habari Mabere makubi pamoja na kutumia madaraka yake kumfukuza kazi mtangazani huyo ni ishara ya ukatili na uonevu unaofanywa na viongozi wanaolipwa Kodi na wananchi.

Mhe.Rais Naamini hatovumilia aina hii ya viongozi. Viongozi wanaosukumwa na hisia kuadhbu wananchi badala ya kusukumwa na Sheria na Kanuni ni mwiba Kwa utawala wa sheria

Kibaya Zaidi kiongozi anafikia hatua yakulazimisha mwajiri akufute kazi Kwa sababu tu umeeleza mapungufu yake

Kiongoz huyohuyo ndiye wa kwanza kutumbua wanaokosea mkoani kwake, for justice Mhandisi anapaswa atenguliwe apeleke ukatili Kwenye familia yake siyo Kwa wananchi.


Mhe. Rais huu ni unyama, ukatili, umungu MTU, udikteta. Nikuombe uvae viatu vya mwandishi huyu na familia yake, uliishi Kwenye utawala wa Watu wa aina ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, unaelewa maumivu yanayoletwa na tawala za aina yake. Msikilize Makubi , Endapo alikosea basi RC aje aseme alivunja Sheri gani
😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom