Hongera mkuuHujaujua utamu wa single mazas wewe, wanajua kuwajibika mno maana option ya kuolewa tena ni nadra.Na wahuni wanasererekea humo kwa free pumbu service.
Mi kuna mmoja alijaa akawa ananijia resi mno nikaweka, akataka kuniganda nikamfungia vioo...Alishaanza habari za kuimagine ndoa baada ya kumgongelea nchi 6 za uhakika. Well im too young to have such kind of woman, siwezi kuoa single mama aisee, as long as jukumu langu ni kutafuta pesa tu..Sitakosa mwanamke fresh nina imani!
Mtazamo wako kwamba single mothers hawafai kuolewa ni potofu sana, na pia inaonesha kiasi gani huna uelewa wala uzoefu katika masuala haya ya uhusiano. Mtazamo wako uko too general, na huwatendei haki kwa kujenga hitimisho kwamba hawana lolote. Kila aliye single mother leo, hujui mazingira aliyopitia hadi amefika hapa leo. Hivyo ni utoto kumhukumu mtu au ku generalize simply because yeye ni single mother. Kwa taarifa yako single mothers are the best, wengi wao wanajitambua, wana uzoefu na maisha, wanapoingia kwenye mahusiano hawabahatishi na wanajua wanachokitaka. Hawaingii kwa majaribio maana tayari huko walishajaribiwa. Kuna wanawake wengi ambao sio single mothers lakini ni majanga kabisa na wengi wamezidiwa kwa mbali sana na hao unaowakejeli kwamba hawafai.
Hongera sana kwa wanaume wote waliooa single mothers, kwani wao ni mashujaa, wanajiamini na hawachagui kwa kuangalia kigezo cha nje tu - kuwa single mother.
Mfano wako wa soda iliyofunguliwa unaashiria upande mmoja tu wa mahusiano - ngono. Maisha ya mahusiano ya dhati ni zaidi ya ngono (kufunguliwa soda).
Role model wako?
Akiwa anagegedwa na michepuko unamuonaga?
Moyo wa mtu ni kichaka
Ayayayaya itabidi nije tu kumuona mwananguSingo mamaView attachment 1828217
Hakika raha ya soda uifungue mwenyeweUnatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Kuna changamoto kubwa lkn ya kujitakia ukioa singo mamaMkuu hata Mimi sikumoja niliwahi kujiuliza maswali kama hayo lakini sikupata majibu... Inataka moyo lakini
Adios AmigoUkweli Mchungu
mtoto na mama mtoto.Ayayayaya itabidi nije tu kumuona mwanangu
Tafadhali nakutumia mpesa nani uandae na chakula kabisa Ili nkija tule kwa pamoja mtoto wetu ajue wazazi wake tunampenda .mtoto na mama mtoto.
hatari.Tafadhali nakutumia mpesa nani uandae na chakula kabisa Ili nkija tule kwa pamoja mtoto wetu ajue wazazi wake tunampenda .
Hapo ujanja kwisha ila kiporo hatupashi.usiwe na wasiwasi sawa mama watoto mtoto asie Kama tuligombana .hatari.
singo faza.Hapo ujanja kwisha ila kiporo hatupashi.usiwe na wasiwasi sawa mama watoto mtoto asie Kama tuligombana .
Unakosea mzazi mwenzangu mtoto atasikia we sema tu baba wardat/mumewangu mtoto bado mdogo utamuharibu akili etisingo faza.
nilikuita ili umuone pacha mwenzio...Majina yenu yanafanana sana...Ila umepotea sana madamumeniitia nini huku?
niponilikuita ili umuone pacha mwenzio...Majina yenu yanafanana sana...Ila umepotea sana madam