kuitwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. V

    JamiiForums Tanzania Walimu wa arts na lugha waanza kuitwa kazini #kiswahili, English,htm

  2. Mzee Khafidh Ameir

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Unganisha Dot na kuitwa kwa Rostam Aziz huko Uganda

    Afisa wa zamani wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) Michael Katungi Mpeirwe amekamatwa nchini Uganda na anatarajiwa kupelekwa Marekani kwa madai kwamba alishiriki katika njama ya ulanguzi wa silaha wa kimataifa wa mamilioni ya dola unaohusishwa na Cartel de Jalisco Nueva Generación...
  3. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA waweke mwongozo wa viongozi/ wanachama namna ya kujihami na kuitwa polisi na kupotea as if hawajaitwa na polisi

    Kaeni na wataalamu wa mambo ya usalama hata kama kuwatafuta nje ya nchi, wawape namna mtu akiitwa na polisi afanye nini kabla ya kwenda polisi. Nimesoma Mwenyekiti wa Vijana Kanda serengeti ameitwana polisi / walifika Nyumbani kwake na sasa hajulikani alipo Wekeni protocol mtu afanyeje...
  4. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Wabunge waliopo Dodoma wanastahili kuitwa waheshimiwa Bado?

    Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia Nape Samia Bulaya Samia Kingu Samia Samia Samia Samia Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia? Kwani huwezi ongea bila kutaja jina la raisi? Kwann waitwe waheshimiwa Hawa ?
  5. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza hivi zile nafasi za JWTZ watu washaanza kuitwa ??

    Wakuu naomba kujua kama tayari watu washaitwa zile kazi za zilizotangazwa april 14, 2026 ? Maana naona tik tok vijana wanapongezana kana kwamba washaanza kuitwa au sisi wengine tuendelee kusubiri tukihitajika tutapigiwa simu kama tulivyoambiwa?
  6. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaovaa haya magauni kichwani hamnazo, niko tayari kuitwa mshamba

    Haya magauni ndio fashion ya siku hizi. Ni kama yamekaa kihuni/kimalaya zaidi. Unakuta mgongo wote uko wazi. Mwanamke ukivaa hivi jua wanaume tunakuona malaya tu. Niiteni mshamba ila hilo ni vazi la malaya
  7. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya abiria mijini kuitwa Daladala kunatudhalilisha Sisi wamiliki

    Jina la Daladala kwa mabasi ya safari za mjini (Town trip) limeanza wakati nauli ikiwa sh.5 tu. Leo tunaongelea nauli ya tshs.1000 kwa route ndefu hivyo tunaomba Mh Rais atusaidie na Sisi magari yetu yaitwe Buku Buku badala ya Daladala kama alivyofanya Kwa waheshimiwa Mamalishe.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini watanzania bara wanachukia kuitwa wana visogo, kwanini tusiwe proud na jinsi tulivyo ?

    Ni kwanini tukasirike badala ya kujivunia tulivyo? Watanzania, wanaume kwa wanawake, mara nyingi tunaonekana kukasirika sana tukitajwa kuhusu maumbile yetu, kama vile kuitwa tuna visogo. Lakini tukijiuliza kwa utulivu, kuna ubaya gani kuwa hivi tulivyo ? Kujipenda ni kukubali kila sehemu ya...
  9. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ninatamani iwepo sheria ya kulazimisha watu kuitwa kwa majina yao ya asili ya makabila yao badala ya haya ya kizungu na kiarabu

    Katika mazuri machache aliyofanya dikteta Mobutu wa DRC (Zamani Zaire) ni kulazimisha wananchi wote kutumia majina asili ya makabila yao badala ya haya ya kigeni. Imesaidia sana kulinda utamaduni wao na inarahisisha kutambulika bila kujieleza sana. Tanzania tukiendelea hivi tutapoteza kabisa...
  10. Capo_di_Tutti_Capi

    JamiiForums Tanzania Utumishi- kuitwa kwenye interview ya kuandika kwa njia ya mtandao -MDA's & lga's - Accounts assistant ii (12/3/2026)

    Tukutane hapa tupeane experience, waliowahi kufanya Interview written ya ACCOUNTS OFFICER II kwa njia ya mtandao.
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ili kuitwa mwanaume, si lazima upigane vita na Marekani na Israel

    Juzi kati hapo sisi Tanzania, tuliwaita wazungu Who are you! Siyo kwamba tunaweza kabisa kabisa kuwadunda, la sivyo, ila wajue tu kwamba, na sisi ni wanaume, na wakija juu watake kutupiga, tunazo meza kibao za mazungumzo ili tu tubaki kwenye uanaume wetu! Inatosha kuwa mwanaume hata...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI February, 2026

    Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI February, 2026) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) 2025. UTUMISHI is a government organization responsible for recruiting and...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi: Rais Samia kuitwa Daktari wa Tanzania tunajifurahisha tu, ila hana sifa za kuwa DAKTARI Kitaaluma

    "You deserve to be in the market but don't call yourself I am a certified professional. No, huna cheti, usiseme unacheti. Kama mimi ‘trainers’ wangu wamesafiri hadi Uturuki nagharamika ili niwasomeshe. Kwanini? Kwasababu mimi I am responsible for afya ya watu, tayari nimeshaingia kwenye kile...
  14. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Kuitwa hili neno sio tusi. Dini zetu zote tupendani tunamuabudu Mungu mmoja tofauti ni njia za kuabudu

    Jana nilikutana na raia mmoja wa Misri akanifafanulia mambo ambayo sikuyajua. Mimi kwa mawazo yangu nilidhani hakuna wakristo Misri ila aliniambia wapo wengi tu japo idadi kubwa ni waislam na yeye mwenyewe ni mkristo. Akaniambia hata Iraq kwenyewe kuna wakristo hata Tariq Azizi aliyekuwa waziri...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI January, 2026

    Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI January, 2026) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) 2025. UTUMISHI is a government organization responsible for recruiting and...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI January, 2026

    Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI January, 2026) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) 2025. UTUMISHI is a government organization responsible for recruiting and...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Yesu alimwita Herode kuwa Mbweha. Unang’aka kuitwa Lofa?

    Wakuu Askofu Kalikawe Bagoza anasema; Yesu alimwita Herode kuwa ni Mbweha (Luka 13:32). Unang'ka kuitwa Lofa? Mimi nimeitwa fala nikanenepa 🤣🤣
  18. adriz de mbusii

    JamiiForums Tanzania Kama kuvuta bangi ni "ujanja" na kunaongeza "akili " kwa nini wavuta bangi hawawafundishi watoto bangi na hawapendi kuitwa wavuta bange ?

    Moja kwa moja. Wavuta bange wengi wanadai mtu ukivuta bange unawaza vitu mbali akili inakuwa kubwa hata uwezo wako wa kufikiri na kupanga mipango chanya unaongezeka. Na wengine wanadai hata kwenye madoma darasani bangi inasaidia na wavuta bange wengi wanajiona wao maIntelligent kama Isac...
  19. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Hawafai kuitwa Binadamu

    Kuua watu na kutupa kwenda kuzika bila kuwapa miili ndugu zao. Nyie ni wanyama hata wanyama wana ustaarabu kuwaliko. R.I.P Robati na wengine wote mliodhulumiwa nafsi.
  20. Pakome

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi watu wanakusikia, ili wakuelewe vizuri hakikisha unafika kwenye maandamano ili ufe nao kinyume na hapo wewe ni Mhalifu na Tapeli

    Mange Kimambi watu wanakusikia, ili wakuelewe vizuri hakikisha unafika kwenye maandamano, kinyume na hapo utabaki kuitwa Mhalifu na Tapeli Kufika kwako kwenye maandamano kutauthibitishia uma kuwa ni namna gani uliwapenda mpaka ukaamua kufa nao na sio wao wafe kwaajili yako huku ukiwa umebakia...
Back
Top Bottom