chupi

Chupi (Persian: چوپي‎, also Romanized as Chūpī; also known as Chūbī) is a village in Khvor Khvoreh Rural District, in the Central District of Bijar County, Kurdistan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 68, in 23 families. The village is populated by Kurds.

View More On Wikipedia.org
  1. Salahan

    Biashara ya chupi na sidiria mpya na mtumba

    SIDIRIA Bei ya china 15yuan kwa kilo 1 Oda kima cha chini 100kg (belo 2) 15x100=1500yuan 1500x379=568500Tsh (379 ni bei yangu ya kuuza yuan kwa siku ya leo 23/09/2023) 100kg nikama sidiria 1000-1200 568500÷1200=474 kila sidiria Ukiweka na usafiri nikama 700 kila sidiria...
  2. TUKANA UONE

    Moja ya kitu ambacho siwezi thubutu kukifanya ni Kumnunulia Mwanamke Chupi

    Ukihitaji salamu nenda kwa waswahili wenzio,kwangu utaambulia chuya tu!. Kuna mambo mawili ambayo siwezi katakata na sitothubutu kuyafanya kwa kiumbe anayeitwa "MWANAMKE" Mambo hayo ni :- 1.KUMSOMESHA 2.KUMNUNULIA NGUO YA NDANI (Waswahili huita "CHUPI") Mambo mengine yote naweza kuyafanya...
  3. V

    Chupi za Cotton za Kike

    Nauza chupi za cotton kwa bei ya jumla mzgo umetoka China Location: dar es salaam Bei negotiable kutokana na idadi unazotka si chini ya pc 100 nauza 0753595520
  4. OKW BOBAN SUNZU

    Kazi ya chupi sio kuficha sehemu za siri tena?

    Naziona sana aina hii ya nguo, ama kwenye mwili wa mwanamke au madukani. Kitamaduni nguo hii ni maalumu kwa ajili ya kuuficha uchi ili usionekane kirahisi na kuutia joto ubaki na vuguvugu. Naona kama maana ya vazi hili imepotea. Zinavaliwa nyavu ambazo uchi unaonekana moja kwa moja bila kificho
  5. K

    Nimempa mke wa mtu zawadi ya chupi ameonesha kuikubali na kuifurahia sana

    Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza. So baada ya...
  6. sifi leo

    Namshangaa mke wangu ananunua sana CHUPI kuliko Sindiria ona sasa matiti yanadondoka TUBWi, hadi wa Ng'ambo wanaliona TITI lililo lala ni aibu

    Miaka kadhaa iliyopita nikiwa maeneo ya Namanga Makangira nikiwa njiani kuelekea kanisa la St Peter pale, nilipofika karibu na shule ya msingi Mbuyuni Kuna gari moja ilitokea Mwenge, karibu na Mbuyuni palikuwa na kijishimo uchwara yule bwana aliendesha gari Kwa kasi na kunimwagia Yale maji(kama...
  7. Maghayo

    Yani viswahili vya Kenya eti chupi wanaita nghodha

    Mzuka Wanajamvi! Leo nimecheka Karibu nife. Yani hawa majirani zetu bana. Eti chupi wanaita nghodha nimebaki kushangaa tu WTF! Cheka balaa.
  8. Kiboko ya Jiwe

    Kanikatalia ila nimempa zawadi ya chupi kapokea

    Kwema wakulungwa? Kuna kabinti shemeji yangu niko naye karibu sana. Mishe zake zote ananiambia na mimi ndiye mshauri wake mkuu. Kila nikitupia nyavu kimasihara anagusia kuwa anamwogopa dada yake. Majuzi nikamfungukia live akaniambia no. Hataki kumuumiza dada yake. The next day nikampelekea chupi...
  9. figganigga

    Je, nikimnunulia chupi ya Tsh. 232,602.50/- atazidisha mapenzi?

    Salaam Wakuu, Nina Mwandani wangu nampenda sana. Natamani kuona anakuwa na furaha muda wote na kuniamini. Sasa kuna meseji iliingia kwenye simu yangu bahati mbaya, nikaona amebadilika japo hakutia neno. Nafsi inanisuta sana.. Nikawa natafuta zawadi ya kumnunulia ili iwe kama samahani ya kiutu...
  10. Frumence M Kyauke

    Zari akemea wanaomkosoa kwa kuvaa chupi nyeusi ndani ya nguo nyeupe

    Mwanasoshalaiti na mjasiriamali Zari Hassan amewakemea watu ambao wamekuwa wakimkosoa baada ya video inayoonyesha chupi aliyovalia kusambaa mitandoni. Kwenye video hiyo ambayo ilirekodiwa wakati wa sherehe za kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, Zari anaonekana akiwa anasakata densi huku akiwa...
  11. OKW BOBAN SUNZU

    Haji Manara asaidiwe kabla ya kuanza kuokota makopo na chupi kichwani

    Ukiachwa achika Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali...
  12. BASIASI

    Zahera aliadhibiwa kuvaa pensi; Morrison kavaa chupi hajaadhibiwa. TFF mnaiogopa Simba?

    Huu ni upumbavu kabisa! Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile Mpaka sasa hakuna aliyeamka kuongelea inasikitisha sana sana Unawaza shida n isimba ama shida ni...
Back
Top Bottom