themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Hakuna tofauti kati ya Single Mother na Single father, Ukiona mwanaume na mwanamke wameachana tayari wakiwa wameshazaa kama mwanaume unaogopa huyo mwanamke ambae ni Single Mother basi na wanawake pia mnapaswa kuogopa sana Mwanaume ambae tayari kashazaa na mtu na anataka kukuowa hao wote ni majanga na wazazi hawaachanagi
Ukiona Wazazi wamechana basi msikimbilie kumlaumu mwanamke kuwa ndio ana matatizo wapo wanaume pia ni washenzi balaa,wakishazalisha tu wanakimbia majukum chap alafu huyo huyo mwanaume anakuja hapa jamvini anasema ogopa single mother wakati yeye mwenyewe ana mtoto na kakimbia majukum
Mwanaume anaepaswa kuwapinga Single mother ni yule tu ambae hana historia ya kuzalisha mtoto wa mtu huko nnje, ila kama ushazaa na mtu na umeshamkimbia wewe ni Single Father tu yani chupa na mfuniko
Ukiona Wazazi wamechana basi msikimbilie kumlaumu mwanamke kuwa ndio ana matatizo wapo wanaume pia ni washenzi balaa,wakishazalisha tu wanakimbia majukum chap alafu huyo huyo mwanaume anakuja hapa jamvini anasema ogopa single mother wakati yeye mwenyewe ana mtoto na kakimbia majukum
Mwanaume anaepaswa kuwapinga Single mother ni yule tu ambae hana historia ya kuzalisha mtoto wa mtu huko nnje, ila kama ushazaa na mtu na umeshamkimbia wewe ni Single Father tu yani chupa na mfuniko