Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?
Kaini, baada ya kumuua ndugu yake Abeli, alikimbilia katika nchi ya Nodi (Mwanzo 4:16).
Nodi (Kiebrania) maana yake ni kutanga-tanga. Hivyo, Kaini alikwenda nchi isiyojulikana.
Je, huko alipatia wapi mke na kuzaa naye watoto?
Ukisoma kitabu cha Mwanzo...