ufahamu

Ufahamu: A Journal of African Studies is a graduate-student run, peer-reviewed academic journal published at the University of California, Los Angeles (UCLA). It was established by the UCLA African Activist Association in 1970 and named after the Swahili word for comprehension, understanding, or being. The journal is published three times a year and is available from the University of California's eScholarship website. It is "the longest running ... graduate student journal in the United States."Ufahamu is published in English, with occasional poetry or articles in African and European languages. It is indexed in the MLA International Bibliography, Africa-Wide Information, and Historical Abstracts.

View More On Wikipedia.org
  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Tamisemi, Tunaomba wanafunzi warudi nyumbani likizo wasibaki shuleni mtaàla wa sasa unapima ufahamu siyo content based curriculum

    Kwa huu mtaàla mpya hakuna haja ya Wanafunzi kukesha sana shuleni na content za T/L, huu mtaàla unamruhusu mwanafunzi kuwa na maarifa zaidi ya Yale anayoyapata shuleni, kwahyo mtoto anaendelea kujifunza akiwa katika mazingira yyte Yale iwe nyumbani au shuleni. Tuwape wanafunzi nafasi waendelee...
  2. zee_latown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania kupata pisikali kwa kujitoa ufahamu

    Ni mwanzo tulivu sana wa weekend... maeneo fulani nimetulia na PC yangu nikaona nieleze kinaga ubaga kuhusu jambo hili lililoshamiri mno miongoni mwetu tulio wengi. ingawa jmbo hili halisemwi semwi sana ila limejiotea mizizi mno na bila shaka athari zake ni mbaya sana... nitazieleza mwishoni...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuendelea kutoa ufafanuzi ni kutukana ufahamu wetu wananchi

    Ukisha toa Ripoti na Kuikabidhi na kutuambia kwa mwenye Ripoti na kutueleza kuwa tunyamaze haituhusu hautakiwi kuja kutupa ufafanuzi. Peleka ufafanuzi ulikokabidhi ripoti unatufafanulia nini wakati ripoti yote unayo wewe mwenyewe? Unafafanua nini katika jambo ambalo kila kitu unacho wewe...
  4. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Hekima

    Usitake muujiza , kama unaweza kutumia maarifa ukafanikiwa . Hekima uwa Ina jieleza yenyewe.
  5. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Je unajua binadamu ana level ya ufahamu au dimension kuusu Mungu, upo level gani ? soma hapa

    Dimension nini, ni uwezo au ufahamu wa binadamu kuusu Mungu.Binadamu tuna level fulani ya ufahamu kuusu Mungu.Ufahamu wa juu wa binadamu mara nyingi unatokea pale mtu anapopitia greater loss(Kupoteza au Changamoto ngumu za kimaisha) Dimension hizo ni -3D -4D -5D 3D(dimension) Hii ni level...
  6. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Wanahisi Claude AI imefikia level ya kuwa na ufahamu ( conciousness ) - Anthropic

    ‎CEO wa Anthropic kampuni inayomikiki Claude anasema kwamba kampuni hiyo haiwezi tena kuthibitisha kwa uhakika kuwa AI yake ya Claude haijafikia level ya Conciousness. mtazamo huo unatokana na majaribio ya ndani ambapo AI ilijipa uwezekano wa asilimia 15 hadi 20 wa kuwa na hisia.pia watafiti...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Anayedaiwa kutuma ushahidi kwa inayoitwa "Tume Huru ya Uchunguzi ya Jaji Othuman Chande" achukuliwa na 'wasiojulikana'

    NB: Anayetaka kuthibitisha hili, aende pale Mabibo zilipo Hostel za wanachuo wa UDSM aulize steshenari aliyokuwa anauza Dada Devotha. Watakuambia hajui alipo zaidi ya wiki sasa.... Shetani yuko kazini jamani kulinda himaya na utawala wake ktk Tanganyika akiwatumia mawakala wanadamu wenzetu...
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ukipiga simu sana leo D9 App ya true call inakwambia kuna mtu ameangalia namba yako wakati ufahamu hiyo namba

    Mnaotumia true call mnaweza kujiuliza leo tarehee 9 .App ya true call inaweza kukuonesha wanaokutafuta kama wataweka namba yako. Na kwa nini ili jambo limeanza leo
  9. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Mwenye uelewa,ujuzi au ufahamu na hili anisaidie

    Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2, mguu huu unaouma ni wa kushoto tu. Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO...
  10. Common Folk

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia to Western Countries: Who are You? They think they are still our masters?

    Rais Samia amesema katika visingizio vya upinzani kuepuka kushindwa na uchaguzi wanaweka visingizio, ambavyo vyote vinaungwa mkono na nchi za nje. Nje hawana aibu wanakaa wanasema Tanzania ifanye moja, mbili tatu halafu ndio itakuwa hivi, WHO ARE YOU? Niawaulize kwao hayatokei? Tumenyanyua...
  11. J

    JamiiForums Tanzania GUTA

    Jamani naomba kuuliza wenye uzoefu kuhusu guta aina ya KEVLA. Naomba kujua kuhusu ubora wake wakuu
  12. R

    JamiiForums Tanzania Said Miraji: Tunahitaji wabunge wenye uelewa na ufahamu zaidi wa kukosoa hoja

    Mchambuzi wa siasa na mwanasiasa mkongwe Saidi Miraj amesema kuwa Bunge la Tanzania linapoteza maana yake halisi iwapo halina mijadala yenye upinzani wa kweli na mawazo mbadala yanayowakilisha matakwa ya wananchi. Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo TV, Miraj amesema kuwa mijadala ya...
  13. Logikos

    JamiiForums Tanzania Siasa Mamboleo: Macho yanapojaribu Kudanganya Akili (Ufahamu)

    Katika kukumbushana hapo kabla nilisema haya..... https://www.jamiiforums.com/threads/siasa-mamboleo-mdomo-unapojaribu-kulidanganya-sikio.2123568/ Lakini sasa naona kuna mengine ya kushangaza; tunafuja mali ili kwa macho tuonekane tupo vizuri kuliko uhalisia.... Wakati hatuna ambulance za...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Jipe siku 1 tu kwa mwezi bila simu, intaneti, watu na vileo. Utapata ufahamu wa kina kuhusu maisha yako kuliko miaka miwili isiyo na stop

    Katika maisha ya sasa yenye kelele nyingi, teknolojia kila mahali, shughuli zisizoisha, majukumu, watu, uraibu wa vileo na addictions ni rahisi kupotea ndani ya harakati bila kujitambua. Kila mwezi, jitahidi kutenga siku moja hata kwa masaa 12 ya kuwa peke yako. Nenda unakojua bila simu, bila...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ufahamu wa kuhusu Bima uko chini au Diva ameamua kununua ugomvi?

    Nimepita huko mtandaoni yule mdada Diva amepost barua aliyotumiwa na bima yake ya afya, Jubilee Insurance. Barua imemtaka afute post zake kuhusu bima hiyo na aombe radhi kwa kuwa bima yake iliisha tangu 2 Machi 2025. It seems kwamba Diva alienda hospitali baada ya bima kuisha na alipokosa...
  16. Poker

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ukweli usioufahamu kuhusu wanaosema wataandamana

    Wengi wenu mnajitahidi kuamini kuwa tarehe 29 watz wataandamana, ila kiuhalisia haiwezekani kwasababu zifuatazo. 1- Idadi ya wageni waliopo Tz ni kubwa mno, yaani wakongo, warundi, wamalawi, wahindi n.k. Hili kundi haliwezi kuandamana maana wapo nchini kwa hisani ya CCM. Kweli mhindi...
  17. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana kichaa chake

    Katika saikolojia, kauli ya “kila mtu ana kichaa chake” wewe Fanya observation utaona Kila mtu ana tabia, fikra, au hisia zisizo za kawaida au tofauti na wengine, hata kama si ugonjwa wa akili. Inaweza kumaanisha pia kuwa hakuna mtu mkamilifu kiakili kila mtu ana mapambano yake ya ndani...
  18. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Ufahamu mfumo wa Kidigitali AcademiazSoft

    Unatafuta mfumo bora wa kidigitali wa kusimamia shule yako? AcademiazSoft ni jibu sahihi kwa shule za kisasa zinazotaka uwazi, ufanisi na taarifa sahihi kwa wakati. Tunatoa: ✅ Usimamizi wa wanafunzi (registration, attendance, discipline) ✅ Taarifa za kitaaluma – Matokeo, Report Cards...
  19. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Hekima, ufahamu na maarifa, ni ipi?

    Tofauti kati ya Hekima, ufahamu na maarifa, ni ipi? 1. Naomba kujua tofauti Kati ya Hekima , Ufahamu na Maarifa. 2. Jinsi gani vitu hivyo vinavyohusiana? Katika kitabu cha Mithali 2:6 “Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu”; Lakini pia Mambo ya Nyakati...
  20. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Utambuzi na ufahamu wa ukweli

    JE, UKWELI NI NINI? —Mtakatifu Augustine (au labda mtu mwingine kabisa…) Vipi kama simba huyo amefungwa? Vipi kama ukweli wa kweli, ule usiohudumia taasisi, dini, au mifumo ya mamlaka, umefukiwa makusudi chini ya maelfu ya nusu-ukweli uliopambwa? Vipi kama ukweli haujawahi kuwa juu ya...
Back
Top Bottom