new level
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 269
- 569
Alinikata mood sana ukizingatia nilikuw namchukulia Ni kigoli yan mbichi kumbeee duhKwahiyo ulivyosikia ana mtoto kitu kikasinyaa kikalala?
Alinikata mood sana ukizingatia nilikuw namchukulia Ni kigoli yan mbichi kumbeee duhKwahiyo ulivyosikia ana mtoto kitu kikasinyaa kikalala?
Mtihani kuwa kwenye mahusianohiyo kuwa single sasa ndio mtihani.
Hhahha!hujaweka becon mkuu?maaana nyamhongolo huk nahc vwanja vishapimwa vyote,ss angalia ucjekuta wamekifanya barabara😂😂😂 Naona aliwapelekesha kweli, nitakuja kuangalia kiwanja changu sijui kipo maana watu wamezidi utapeli kweli
Kuwa singo mama ni dhambi??? Mbona masingo faza wamejaa kibao lakini atusemiKwanini hakuniambia kua Ni single mother toka mwanzoni ..
Siyo dhambi ila unamwambia mtu kabla ili afanye mahmuzi ... Siyo Kila mwanaume anapenda kua kwenye mausiano na single momKuwa singo mama ni dhambi??? Mbona masingo faza wamejaa kibao lakini atusemi
umeniitia nini huku?
Sawa.Siyo dhambi ila unamwambia mtu kabla ili afanye mahmuzi ... Siyo Kila mwanaume anapenda kua kwenye mausiano na single mom
naona wameunga uzi wako bila hurumaAlinikata mood Sana ukizingatia nilikuw namchukulia Ni kigoli yan mbichi kumbeee duh
Ata sielewi nini kimetokea ivi ni kwanini ?naona wameunga uzi wako bila huruma
pole, mada zinafananaAta sielewi nini kimetokea ivi ni kwanini ?
Hooh kwauyo kumbe hua iko ivyo nyuzi ziki match wanaziunga etpole, mada zinafanana
yeah hua wanafanya ivyo, ili wasiunge inabidi mwanzo wa nyuzi uwaambie mapema, 'tafadhali naomba msiunge huu uzi'Hooh kwauyo kumbe hua iko ivyo nyuzi ziki match wanaziunga et
Duh Hatari SanaUnatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO: raha ya soda ukute haijaonjwa
********** Mwenye mtazamo sawa na mwanzisha mada*********
Ushauri kwa waliooa Single Mothers
********** Mama yake amemkata asioe single Mother**********
********** Madhara ya mtoto wa kiume kulelewa na Single Mother**********
********** Kauli zilizowauzi waliokuwa kwenye mahusiano na Single Mothers**********
Kweli mkuuHivi uaanzaje kuvuna kwenye shamba lililokwisha vunwa na wanaume mwezio kama sio kwenda kuambulia mabua tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia tu mkuuDah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Na mi nimemwambia. Hawajui single motherMega usepe, vinginevyo itakula kwako mkuu
Mkuu hata Mimi sikumoja niliwahi kujiuliza maswali kama hayo lakini sikupata majibu... Inataka moyo lakiniIla mi huwa najiuliza hivi ukiwa na single mother jamaa akipiga Simu kumjulia hali mtoto wake huku nyie mmetulia yaan sijui unajiskiaje?au mkeo anakwambia baby subiri kidogo niongee na baba flan..au anaongelea pembeni...!!!!au mbele yako...au unakausha tu!!!!
Na ukimwangalia huyo mtoto wake unajiskiaje
Sent using Jamii Forums mobile app