ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,813
- 45,499
Unaweza ukapoteza single mother wa kukusaidia maishani kwa sababu ya uchoyo na ubinafsi na chuki na kiburi.huijui kesho yako wape watu nafasi waishi.unaweza kukuta huyo unayemuona hajazaa amewahi kutoa mimba mbili na ashafanya mapenzi zaidi ya mara 500 Ila single mothers ukakuta amefanywa mara 70 tu na kapata mtoto means ni mzima.kuhusu hoja kwamba kupasha kiporo na baba mzazi ni uongo baba wazazi wengi wamevurugwa hata hawatunzi watoto wamebaki kuhudumiwa na bibi zao mungu ni mwema wanakula na kusoma hakuna tena mapenzi na baba zao mtu akikupenda mpende muheshimu.
Najua mshaelewa kilichonikuta nime fall in love kwa mama fulani maisha yenyewe yanaenda kasi sana miaka kumi nyuma unaona kama juzi tu kumbe umekuwa unahitaji na wewe kufanya vya maana na ukikaa na mke hela unaiona wanawake kwenye kuzungusha hela ni hodari kuliko sisi na siokukimbilia kufunga Harusi.Ndoa sio lazima we vuta wazazi siku hizi waelewa wanajua maisha yamechange hawawezi kukunyima ule raha na mtoto wao sasa hivi tuwape chapuo single mother ni wachapakazi tuwape nafasi.
Najua mshaelewa kilichonikuta nime fall in love kwa mama fulani maisha yenyewe yanaenda kasi sana miaka kumi nyuma unaona kama juzi tu kumbe umekuwa unahitaji na wewe kufanya vya maana na ukikaa na mke hela unaiona wanawake kwenye kuzungusha hela ni hodari kuliko sisi na siokukimbilia kufunga Harusi.Ndoa sio lazima we vuta wazazi siku hizi waelewa wanajua maisha yamechange hawawezi kukunyima ule raha na mtoto wao sasa hivi tuwape chapuo single mother ni wachapakazi tuwape nafasi.