Mwaka 1991 wakati USSR inavunjika mataifa kadhaa yaliyokuwa yanaunda umoja huo yalikuwa yanamiliki silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu. Ukraine lilikuwa ni taifa mojawapo lililokuwa likimiliki mzigo mkubwa wa silaha za nyuklia na nyinginezo nzito, ilikuwa taifa la tatu duniani kwa...
Yaani warusi wa Moscow wameambukizwa tabia za warusi wa tandahimba.
——––————————————————
Ikulu ya Marekani imethibitisha kuwa ilionya mamlaka za Urusi mapema mwezi Machi kuhusu kuwepo na uwezekano wa shambulio linaloweza kulenga “maeneo yenye watu wengi” mjini Moscow.
“Mapema mwezi huu...
Limetetemeka kweli kweli na kufunguka yote, sijawahi kuelewa mawazo ya hawa watu na haya maugaidi ya kwenye dini yao....................
This is the moment the gunmen suspected of carrying out an attack on a concert hall in Moscow are arrested by Russian authorities.
Videos shared online...
Wametoa taarifa kwenye mtandao wa Telegram kwamba wao ndio walihusika........
Putin alikua ameanza kujenga uhusiano na magaidi ya hii dini, hakujua nyoka haachi asili yake
ISIS claims responsibility for attack in busy Moscow-area concert venue that left at least 40 dead
ISIS has claimed...
Kikosi kidogo cha askari wa Ukraine hivi karibuni kilifanikiwa kuvuka mto Dnipro oblast ya Kherson kutoka upande wa Magharibi na kuingia Mashariki ambako ndiko ziliko ngome za jeshi la Urusi tangu walipoamua kuachia eneo hilo la mashariki ambalo halina umuhimu kwao kiulinzi.
Kikosi hicho...
Mnaokesha humu kushabikia HAMAS huwa mnatumia vigezo gani kando na dini, nini kingine kinachowapa hamasa ya kushabikia maovu yao, wameteka watu wa mataifa mbali mbali wasiohusiana na ugomvi wa Palestina, humo kuna hadi Watanzania...
Wamefaulu kufyatua ngome zilizokuwepo na sasa wanapambana kubomoa ya mwisho ambayo Warusi walikua wamejichimbia.
Ukrainian armoured vehicles are already operating beyond the last line of Russian defensive fortifications, which Ukrainian forces are currently breaking through in the west of...
Urusi inatia huruma kwa kweli, yaani ilianzisha huu ubabe halafu leo inataka ihurumiwe kwenye baadhi ya maamuzi, leo inalalamika kuhusu zuio la magari yenye usajiri wa namba za Urusi kutokuruhusiwa kuingia bara Uropa, inasema wananchi wake raia wa kawaida watateseka, eti ionewe huruma kwenye...
Historia itaandikwa na kusomwa miaka 100 jinsi Urusi ilijitia aibu kwenye huu ugomvi, wanajeshi wa Urusi wamejichokea baada ya kufa zaidi ya laki mbili kwenye kainchi kadogo hapo pembeni, wanapambania ardhi ambayo wenyewe hawana haja nayo......
Walikua wamejichukulia vinu vya gesi, vimewatoka...
Yaani hii aibu kwa Urusi, jeshi la kainchi kadogo hapo pembeni linaitesa Urusi hadi raha.
=======
Deputy Defence Minister Hanna Maliar has said that the Armed Forces of Ukraine regained part of Opytne in Donetsk Oblast.
Maliarʼs briefing on 11 September on the air of the national joint 24/7...
Mwendo wa mpwito mpwito...
Ukrainian troops continued their offensive actions near the city of Bakhmut and in the western part of Zaporizhzhia Oblast on 7 September and they had gains on both frontlines.
Source: Institute for the Study of War (ISW)
Details: Geolocation footage published on 7...
Warusi wanaendelea kufukuziwa licha ya kujichimbia na kuwekeza nguvu kubwa kwenye kufukia mabomu kote kote, Ukraine hawachoki, wanapiga kwa matumizi ya HIMARS, storm shadows na madubwana mengine yote....
As observed by ISW’s military analysts, Ukrainian forces have made additional and...
Kuna video naitafuta nitaileta niliitizama inaonyesha jinsi Warusi walivyofyekwa wakikimbia eneo la Urozhaine, aise cluster bombs ni hatari, mnauawa kama senene. Hii picha hapa inaonyesha jamaa wakitoroka huku wakiuawa.
SCREENSHOT FROM CNN
The Ukrainian troops have likely used...
Ni nyingi sana mpaka imekua mtihani kuzitunza, zinatumika kupelekea moto Warusi....
Ukraine has recovered a vast array of Russian military equipment and is putting it to use.
That includes 800 pieces of artillery, tanks, and other vehicles, Deutsche Welle reports.
But experts say there are...
Jeshi la Urusi linaendelea kulemazwa.....
Ukraine’s defence forces have destroyed 6 Russian ammunition storage points and 21 pieces of military equipment on the Tavriia front in southern Ukraine over the course of the past 24 hours. Russia lost up to two companies’ worth of military personnel...
Hii itasaidia pakubwa sana kuilemaza jeshi la Urusi lililopo ndani ya Ukraine....
The Department of Strategic Communications of Ukrainian Armed Forces has confirmed the strikes on the Chonhar and Henichesk automobile bridges.
Quote: "At around 15:00, Ukraine's Defense Forces struck the Chonhar...
Kwa ngome ya supapawa kupasuliwa licha ya miezi yote waliyotumia kujichimbia na kujihami sio kitu cha mchezo, wazalendo wa Ukraine wanasonga mbele kwa mbele.....
===========================
Hanna Maliar, Deputy Defence Minister, has reported that Ukrainian defenders had broken through the...
Haya madubwana ni hatari sana.....
UKRAINE has reportedly wiped out hundreds of Russian soldiers who thought they were out of the range of danger.
Sources say five US-made HIMARS missiles slammed into the squaddies who were gathered on a beach in the Kherson region.
7
Up to 200 of Putin's...
Hiki ndio kinawasumbua kumbe na ndio kimesababisha Putin aamue tu bora jeshi lake liishe lote tu.
Hapa kiaina kuna kaukweli maana Urusi imepoteza hadhi yote mpaka hapo, na ikishindwa kabisa na kujiondokea Ukraine, basi haitokua Urusi tena, kwanza kabisa wamepoteza wateja wakubwa wa silaha...
Hii video hapa chini inaonyesha namna Warusi kwenye mji wao mkuu wanakipata freshi, Zelensky amewaambia mpaka hapo walipofika hamna jinsi ila kuhakikisha Warusi pia na wao wanapokea, itabidi waache kukaa kizembe, waangaze macho angani muda wowote.
Ukraine kainchi kadogo lakini kamefanya kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.