MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,663
- 48,440
Hii video hapa chini inaonyesha namna Warusi kwenye mji wao mkuu wanakipata freshi, Zelensky amewaambia mpaka hapo walipofika hamna jinsi ila kuhakikisha Warusi pia na wao wanapokea, itabidi waache kukaa kizembe, waangaze macho angani muda wowote.
Ukraine kainchi kadogo lakini kamefanya kitu ambacho hakikutabiriwa kabisa....binafsi niliogopa walipoanza mashambulizi ya ndani ya Urusi, nilidhani Putin atabonyeza manyuklia yake, nafikiri ule uasi ulimfundisha kitu, kwamba humo humo Urusi anaweza akaamshiwa muda wowote akifanya maamuzi ya hovyo, kwa maneno ya vijiweni, kawa mpole, kanyong'onyea, kanywea, kapwayaa, kasinyaa...
China na wengine wote wamejifunza pakubwa.
Ukraine kainchi kadogo lakini kamefanya kitu ambacho hakikutabiriwa kabisa....binafsi niliogopa walipoanza mashambulizi ya ndani ya Urusi, nilidhani Putin atabonyeza manyuklia yake, nafikiri ule uasi ulimfundisha kitu, kwamba humo humo Urusi anaweza akaamshiwa muda wowote akifanya maamuzi ya hovyo, kwa maneno ya vijiweni, kawa mpole, kanyong'onyea, kanywea, kapwayaa, kasinyaa...
China na wengine wote wamejifunza pakubwa.
The war is coming to Russia, Zelenskiy warns after latest drone attack
Ukrainian president makes veiled reference to this week’s attacks in nightly video addressThe war is coming to Russia, Zelenskiy warns after latest drone attack
Ukrainian president makes veiled reference to this week’s attacks in nightly video address
www.theguardian.com