Nawasalimu ndugu zangu
Huu uzi ni sawa na mrejesho wa uzi wangu uliopita juu ya sintofahamu yangu kuhusu upatikanaji wa Dada poa maeneo ya Mbezi Mwisho
Nawashukuru wadau walichangia, wakanielekeza machimbo. Nami nilihakikisha nafika ili nipate mbususu, basi nilifika eneo hilo Lubumbashi Bar...
Heri ya Mwaka mpya wakuuu,
Nimeishi maeneo mengi hapa Dsm ila nina mwezi wa saba sasa since nihamie mbezi mwisho, mimi ni wale domo zege, yaaani kutongoza Mitihani, mimi ndo wale tunapata mbususu kwa wadau (dada zetu hawa watoa huduma).
Nimekuja kugundua hii sehemu ina uhaba wa mbususu...
SIMON MAGUS NA WACHAWI KANISANI!
Simon Magus alikuwa ni mchawi kutoka kabila la Samaria aliyeingia Ukristo baada ya kufufuka kwa Yesu. Kabla ya hapo alitumia uchawi wake kama biashara akiwalipisha watu ili kuwapatia miujiza. Alipokutana na Mtume Petro aligundua kuwa Petro alikuwa na nguvu kubwa...
Habari wakulungwa ,
Naomba kufahamu jina la contractors wa huu mradi wa EACOP,
Lakini pia naomba kufahamu huyu EALS naye ni nani kwenye huu mradi maana sielewin, nimejaribu kuugogle but sijapata majibu takwa,
Asanteni sana
Habari zenu wakulungwa!!
Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?
Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye
Asante
Habari zenu wadau,
Jamani nimeandika huu ujumbe maana sasa imekuwa kisanga kwanza ni mwaka sasa nahangaika na mfumo wa ajira portal bila mafaniko na kila nikiwapigia siimu hawapokei, nourishing kipipigwa block tu. Nimejaribu kwenda pale DSM, posta kwenye ofisi za utumishi nikaambiwa niende...
Habari zenu wadau,
Jamani leo nimekuja hapa tena kwa wenye ufahamu nimepata scholarship ambayo nalipiwa 50% tu
Masters degree in supply chain management
Westford University
Mimi napaswa kujigharamikia kama usd 6500
Sasa nauliza hivi serikali haiwezi ni nipa sponsorship? Na kama inaweza je...
Ndugu wanajamvi habari zenu,
Natumaini mko powa kabisa na mnaendelea na shughuli za hapa na pale
Kwenye maisha ya mwanadamu kila mtu anakuwa na ndoto zake ambazo hana budi kuzipigania!!
Binafsi toka nikiwa mdogo ndoto zangu zilikuwa ni kuishi Canada, hapa katikati ni kama zilipotea vile...
Habari wakulungwa
Leo katika pitapita zangu kwenye email zangu nikakutana na email 📧 niliambiwagwa nijiandae kwa virtual interview, lakini mpaka Leo Mwezi wa Tano
Lakini nakumbuka hilo Tangazo lilikuwa linahitaji watu kibao wa logistics, marketing na sales nk
Nimeona niulize vipi kuna mtu...
Wakuuu Mambo vipi tena kwenu mimi
Mtumishi wa Mungu,
Naulizia hivi nani Mwingine katumiwa hii email ya fundsforafrica waliiiona Tangazo
Mimi nimetumiwa lakini siielewi elewi
Kwenye zile nafasi za procurement na field officer
Habari zenu wadau!!
Naomba mtu anayefahamu ofisi za Sunda International, kampuni hii ya Kichina inayojishughulisha na mambo ya transport and logistics
Asanteni
Habari zenu wadau,
Naomba mtu anayeishi Abbeyhill ,ottawa Street nchini Canada, nina shida moja hapa Natambua humu kuna watu mbalimbali na maeneo mbalimbali
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo!
Poleni na Majukumu ya kimaisha na harakati za kila siku.
Leo nakuja kwenu tena hapa nikiomba kuunganishwa na mtu ambaye anafanya kazi pale shirika la chakula Duniani (Tanzania)
WFP hasa kitengo cha ajira.
Lengo ni kuwa niweze kuteta naye...
Wakuu habari zenu!
Jamani mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nataka kubadilisha mazingira nihamie Botswana 🇧🇼 japo kibishi bishi ,naomba ushauri au connection.
Asante.
Kama ilivyokawaida yangu wikiend nikiwa bored ilikuwa ni kawaida kabisa kucheki boda boda au uber afu na drop maeneo ya Bata Batani Ilikuwa the same case kuna demu flani nilikuwa namsuburi mageto, na nilikuwa na hamu naye sana lakini sasa alichelewa sana nikaona isiwe case ngoja niende zangu...
Habari zenu Watanzania wenzangu na Wengine pia!!
Naomba kufahamishwa ni Taratibu zakufuatwa ili mtu afungue real estate agent business ( uwakala wa kuuza na kununua viwanja, Mashamba na Nyumba)
Nitafurahi zaidi akijitokeza Yeyote anayefanya hii ishu, ili anieleweshe zaidi!!
Asante na Mungu...
Habari wakubwa wa kazi,
Mimi ni mbobezi wa taaluma ya usafirishaji, nikijikita zaidi katika usafirishaji wa aridhi (land transport) nikiwa na taaluma ya GPS tracking,
Nipeni mchongo wa kazi wakubwa.
Mtaa mgumu sana huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.