Chimamanda Ngozi Adichie ( (listen); born 15 September 1977) is a Nigerian writer whose works range from novels to short stories to nonfiction. She was described in The Times Literary Supplement as "the most prominent" of a "procession of critically acclaimed young anglophone authors [who] is succeeding in attracting a new generation of readers to African literature".Adichie has written the novels Purple Hibiscus (2003), Half of a Yellow Sun (2006), and Americanah (2013), the short story collection The Thing Around Your Neck (2009), and the book-length essay We Should All Be Feminists (2014). Her most recent book, Dear Ijeawele, or A Feminist Manifesto in Fifteen Suggestions, was published in March 2017. In 2008, she was awarded a MacArthur Genius Grant.
Ukikaa muda bila kufanya mazoezi halafu siku ukirudi kukimbia ukaanza kuhisi kuwasha tumboni au kifuani mara nyingi ni mwili wako una-react na kitu kinaitwa histamine. Hii ni chemical ambayo mwili huwa nayo naturally na huwa inahusika kwenye allergy au kuwashwa kwa ngozi. Unapoanza kukimbia...
Unaenda kununua mkoba wa milioni 13 wakati mna kiwanda kinatengeneza mikoba ya ngozi original pale moshi. Unapata mkoba safi wa ngozi hapo hapo unatangaza bidhaa za nchi yako. Hivi huko vyuoni mnaendaga kusoma nini?
Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao na nywele kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi na nywele kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo:
1.Makundi 4 ya ngozi, na makundi 3 ya nywele,jinsi ya kuipima...
Watu wengi wakikuona wanakuchukulia kama uko mzembemzembe wakiona ngozi yako laini na haina kash kash au mikwaruzo n.k, kumbe hawajui mtu unaweza ukawa na ngozi laini lakni ukawa mtu mgumu kweli kweli. mi kazi ngumu nafanya sana na wala sifanyi skin care mara nyingi, ni vile tu ngozi yangu...
Msaada wakuu nimejichunguza mda huu,,hasa ngozi chini ya uume kuanzia kwenye kichwa Hadi korodani zote mbili ngozi imebabuka haswaa Hadi magamna ya ngozi yanatika nafanya kuyavuta,pia uume chini wote tokea kwenye kichwa Hadi kwenye kinena nikifanya kupangusa uume ngozi inapukusika,hii itakua...
✨ Handmade Leather Shoes (Premium Quality) ✨
📌 Imara, zinadumu muda mrefu — perfect for everyday & office wear
🥿 Available Sizes: 40 • 41 • 42 • 43 • 44 • 45
🎨 Colors: Brown & Black
💰 Price: 45,000 TSH tu
🛠️ Kila pair inatengenezwa maalum kwa oda yako — ndani ya siku 3 unapata viatu vilivyo...
Nakaambia kademu kangu ka 2005 kuwa nipo geto nimejilaza kwenye mkeka, eti kanasema "mkeka ndo nini au ndo zile ngozi waliolalalia slaves (watumwa) ?
🤣🤣
Aisee dunia inabadilika kwa kasi sana
Dawa ya Kuondoa Michirizi Kwenye Ngozi ✨
Michirizi kwenye ngozi (stretch marks) ni tatizo linalowasumbua watu wengi. Mara nyingi husababishwa na:
Unene uliopitiliza 🏋️
Kupungua uzito ghafla
Baada ya kujifungua 🤱
Matumizi ya vipodozi vyenye kemikali
Mabadiliko ya homoni na urithi wa kimaumbile...
Hali hii hutokana na ngozi kupoteza uimara wake na kuachia mistari ya kudumu inayojitokeza. Mara nyingi husababishwa na unene uliopitiliza, kupungua uzito ghafla, baada ya kujifungua, mabadiliko ya homoni au hata urithi wa kimaumbile. Pia, matumizi ya vipodozi vyenye kemikali yanaweza kuongeza...
Mnatembeza mikanda Katika ma bar watu tumenunuaga mikanda Miaka kumi nyuma huko na bado tunayo.hela ngumu jamani tutanunua mikanda mingapi punguzeni ubora wa mikanda ili angalau kila mwaka tununue mikanda.
Je, wewe n mmoja wapo ya wale wanunuao sabuni kwa kufata manukato pasi na kujali viambata viitengenezayo sabuni husika?
Hili ni moja wapo ya zoea baya la walaji wa bidhaa mbali mbali nnchini. Moja wapo ya walaji hawa ni watumiaji wa sabuni za kuogea.
Matumizi ya Sabuni zenye viambata vya dawa...
Hata masikini wa kijijini kwake waliokuwa wanalalamika kurubuniwa huduma tena watakuwa wanamsimanga utafikiri wanamcheka kwa nini hakuiwaibia vya kutosha.
MENTALLITY ⚡⚡
Ngozi ya chui hutumika kama ishara yenye nguvu ya uungu na mamlaka katika tamaduni mbalimbali za Kiafrika, inayojumuisha nguvu, uhusiano wa kiroho, na utambulisho wa jamii. Katika Kusini mwa Afrika, watu wa Himba wa Namibia wanaona ngozi ya chui kama ishara ya utajiri na uhalali wa viongozi...
Ni huko kanda ya kati Dodoma. Je watabakia? Baada ya kuambiwa wazi wasipitishwe wasije wakamotonaizi na kupetrolilaiz chama...watasepaaa ama watamyuti.
"ELIMU NA CONNECTION" NI KAMA BINADAMU NA NGOZI YAKE.
Salaam kwa wasomi...
Salaam kwa mliopo Vyuoni...
Nawasalimu kwa jina la "elimu na connection" - Itika "Mtaani kugumu".
Tusiwanyime ubuyu wadogo zetu waliopo vyuoni. Sikuhizi "elimu na connection" ni kama binadamu na ngozi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.