Kama umeitwa katika usaili wa mchujo, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II au kwa kimombo, Record Management Assistant II utakuwa unajiuliza maswali yanatokaje hasa kama ni mara yako ya kwanza kufanya mitihani hii.
Katika mitihani hii, chochote kinaweza kuulizwa hata kile ambacho hujasomea. Hata...
Kwa kweli suala la ajira, hususan katika baadhi ya taasisi za umma kama PCCB, limekuwa chanzo cha masikitiko na kukatisha tamaa kwa wahitimu wengi.
Mimi ni mhitimu mwenye shahada inayokidhi kikamilifu sifa zilizotangazwa katika nafasi husika. Hata hivyo, jambo lililonishangaza ni kuambiwa kuwa...
Vijana wengi wameitwa katika usaili wa mchujo TAKUKURU au PCCB. Usaili huu ni wa kuandika na unafanyika kwa njia ya kompyuta. Wengi walioitwa katika usaili, hawajui hasa ni maswali ya aina gani yanatoka. Ni jambo la hatari kwenda katika mtihani ambao hujui maswali yataulizwa kuhusu nini, endapo...
Ikiwa TAKUKURU ni taasisi huru, tafadhali chukueni hatua juu ya malalamiko yanayoendelea kuibuka, kwani watu wengi hawaridhishwi na namna Bw. Wallace Karia anavyosimamia rasilimali fedha za TFF.
Aidha, mtu huyo anaonekana kuwa na upendeleo mkubwa katika maamuzi yake.
===
If PCCB is independent...
Askofu Jude Thadeus Ruwaichi, JImbo Kuu la Dar es Salaam kilipo Kituo cha Msimbazi
Nchini Tanzania, utekaji haramu ni kosa la jinai chini ya kifungu cha 253 cha Sheria ya Makosa ya Jinai, Sura ya 16, Toleo la 2022. Kifungu hiki kinasema kwamba:
“Mtu yeyote ambaye anamteka mtu mwingine kinyume...
Rushwa kwa sasa tanzania ipo nje nje na tena inasemwa hadharani as if hatuna takukuru tena.
Ona chama cha chadema kinavyojaa rushwa tena nyingine kutika kwa abdul lakini takukuru kimya.
Rushwa iko wazi wazi lakini takukuru kimya. Lisu anaonesha mpaka mifano ya rushwa ndani ya chama lakini...
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Kahama District, Shinyanga Region, has uncovered that some political party leaders are offering bribes to candidates to encourage them to withdraw and allow their own candidates to run unopposed.
This situation has been said to lead to...
The anti-corruption watchdog, along with nine other institutions, was recognized as one of the most responsive government bodies during the ‘Stories of Change 2024’ gala, held over the weekend in Dar es Salaam where the PCCB received the ‘Champion of Citizen Engagement’ award.
PCCB has been...
Hii ikufikie Boss wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (PCCB) wilaya ya Bunda mkoani Mara. Wiki hii Kuna kijana mmoja ambaye kaanzisha operation ya kupita kwa baadhi ya maduka ya wafanyabiashara na kuwaulizia kama tayari washalipa leseni za biashara au la. Inajulikana wazi...
Kuna mfanyabiashara mmoja anaitwa Kaburu. Mkazi wa Mganza anajitapa hadharani kuwa yeye hupeleka rushwa kwa huyu hakimu. Na sababu wote ni kabila moja la wachaga basi humsikiliza kwa lolote.
Rushwa zinafanyika hadharani. Kaburu ndio wakala wa huyu hakimu mfawidhi. Wavuvi haramu wanaoingia...
Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.
Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?
Position: Investigation Officers II (250 Posts)
Required Qualifications:
Academic Qualifications:
Applicants should possess three years Advanced Diploma or Undergraduate degree from recognized learning institutions in any of the following fields; Civil Engineering, Building...
Assistant Investigators III (100 Posts)
Required Qualifications:
Academic Qualifications:
Applicants should possess Certificate of Secondary (CSE), Basic Technician certificate, or
Diploma from a recognized learning institution in one of the following categories; National
Service’s...
Eric Shigongo Mbunge wa Buchosa, amesema Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) amewekewa kinga ya kustaafu kazi yake atakapotimiza umri wa miaka 60, ila anashangaa kwa nini Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) hana kinga yoyote kwenye Katiba ya Jamhuri ya...
Na Gregory J.Mahanju;
Kimekua ni kilio cha muda mrefu sana toka kwa wananchi wa jimbo la Singida Magharibi kuomba ufafanuzi na mchanganuo wa Matumizi ya pesa za mfuko wa jimbo lakini wamekua wakiambulia patupu na majibu ya kejeli kutoka ofisi ya mbunge.
Kuna tetesi kua Mhe Mbunge kama...
Prime Minister Kassim Majaliwa has ordered the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) to investigate the allegations facing Sumbawanga Teachers College Accountant Eric Rutamirwa and Instructor Godfrey Msenuka for burning government documents.
According to the Prime Minister, the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.