mrembo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    JamiiForums Tanzania Mchungaji afia gesti akiwa anamuombea maombi ya faragha mrembo wa Kanisani kwake

    Mchugaji Michael Kofi Appiah muanzilishi wa kanisa la Light of Faith Ministry, Tokoradi -Ghana amefariki kifo cha kushtusha baada ya kufia gesti alipokuwa akimuombea msichana mrembo katika shughuli za nje ya kanisa. Uchunguzi wa polisi ulionesha kuwa mchungaji Kofi alikuwa amefika hapo na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Polisi inamshikilia Joe McCann, Mchumba wa marehemu Ashly Robinson maarufu kama "Ashlee kwa mahojiano

    Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar linamshikilia Joe McCann ni Mchumba wa marehemu Ashly Robinson maarufu kama "Ashlee Jenae" kufuatia tukio la kifo chake lililoripotiwa kutokea siku kadhaa zilizopita baada ya kukutwa amejinyonga katika chumba cha hoteli. Akizungumzia tukio hilo leo April 14...
  3. The ghost writer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Urembo wako usiwe guarantee ya kudate na wanaume kibao Ili wakuweke mjini. Acha kushinda saloon binti acha kushinda mtandaoni kutingisha makalio, kurembuarembua Ili upate likes. Kama mrembo, mbona warembo wapo kibao na wengine walishaiga dunia. Na bado kuna wengine daily wanazaliwa. Punguza...
  4. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Offer ya Iddi kutoka kwa mrembo anayevutia.

    Wakuu yani nimeshajiandaa natinga Bongo kutoka mamtoni tarehe 19. Yani mfungo unaisha tu unakaribishwa na mambo mema na matamu ya duniani. Mrembo Janepher Sanga katoa offer ya Iddi Shilingi elfu 50 tu. Je mwanaume utakubali offer hii ikupite kirahisi na Kizembe hivi hivi. Msikie mwenyewe...
  5. geesten66

    JamiiForums Tanzania Je, mimi ni mrembo sana au wa size ya kati?

    Kwa wanaume tu naombeni mnipe sifa zangu. Ila mimi ni single mama
  6. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Mhaini mrembo! Ila, Tanzania imeshindikanika!!

    Binti Mhaini anashtakiwa kwa kutaka kupindua Serikali ya Samia, wameua ndugu zetu wanaleta kesi ili tuache kujadili mauaji tusiingie huo mkenge.
  7. Poker

    JamiiForums Tanzania Hivi Nancy Sumari ndio alikuwa mwanamke mrembo Tanzania nzima?

    Huyu mwanadada enzi hizo alitikisa sana hapa bongo, kiasi kwamba watu tuliamini ndio mwanamke mzuri Tanzania nzima. Wanaume wote wa dasalama, walishirikiana kumkuwadia mwanetu Mb dogg. Ila pamoja na kubembelezwa na wanadasalama, kimwana huyo alimchomolea mb dogg ambaye hata denda hakuambulia...
  8. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanamke mrembo unayemuona, ana mwanaume ambaye amechoka kuwa naye kwenye mahusiano

    Take Note.
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Angalia video Hii kisha utoe hukumu kwa haki.

    Binafisi mimi nimetokea kwenye familia ya wafugaji wa mifugo karibia yote yaani mbuzi,kondoo na hata ng'ombe . kipindi tukiwa tunachunga ilikuwa ni fahari sana kulisha mazao ya wakulima tena ikitokea mkalisha na msionwe au kukutwa mtajipongeza kweli. Ukweli usiosemwa ukisikia vita ya wakulima...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Uzinzi ni mbaya mnoo aisee, nishawahi fukuzia mrembo fulani ananifanyia dharau kumbe mme wa shangazi yake alipokuwa anaishi alikuwa anajilia kisela

    Ngono ni laaana duh, kumbe mtoto alikuwa anapata kila kitu ambacho binti yoyote angekihitaji maana mme wa shangazi alikuwa well-off plus unajua sugar daddy akionga basi anahonga kweli, nyie agemates wake anawaona wahuni tu😁 Aisee ila yule binti hata na huruma kidogo kwamba Shangazi mtu...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe hongera sana kwa Kuoa ila umehakikisha kuwa Boss wako Mmoja mharibifu hadi kwa Wake za Wachezaji hatopita pia na Mkeo huyu Mrembo?

    Uzuri wetu wengine Wachezaji wako ni Marafiki zetu na hawatufichi jambo. Boss hapendi vitu vizuri vizuri vimpitie mbali.
  12. Chibike

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetamani kupata dada mmoja mrembo wa kikenya wamenikosha sana

    Nikiwa napata lunch mahali, kwenye tv wanaonesha maandamano yanayoendelea huko Kenya, ila kilichonivutia sio hayo maandamano Bali wadada warembo wasioogopa hata risasi...nikajawa na hisia za mapenzi kwa wadada hawa Kenyans have more bigger b*lls than us tanzanians..sisi ni wachumba tu ... Yan...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Nimekwisha! Huyu mrembo wa Tiktok sijui kama ni binadamu. Toto la Kisandawe

    Habari za Sabato! Mbaya Sana! Basi tena! Akili yangu inanituma kwamba nimeshafika mwisho! Sijui kama hata nitapata nafasi ya kusema neno la mwisho! Maskini mimi! Mwisho gani huu! Taikon wenu! Mtibeli wenu! Nimekosa balansi sheet kutokana na demand schedule ya kijinga Sana. Mimi ni kijana wa...
  14. dorge

    JamiiForums Tanzania Mkulima alivyomtamani mrembo aliyelimwa tayari

    Ni kawaida sisi wanaime kufuatlia Ili kujua yaliyomo yamo. Shida ni matokeo yake
  15. Redpanther

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unapewa namba na mrembo kuisave True caller inaitambua ...Tinder alfu ya pili ....Badoo...Utaendelea naye ?

    Niaje wakubwa Ni Asubuhi njema na kupendeza, kumekucha kumepambazuka. Eeeh bhana nikiwa kwenye harakati za hapa na pale akapita mdada mrembo aseee. Macho yangu hayakuweza kukatika kwake na nikaona ameingia kwenye mgahawa kupata chakula. Basi namimi mtoto wa kiume nikamfuata.. Nimemsemesha akawa...
  16. Stability

    JamiiForums Tanzania Niko maeneo ya buza getoni kwa shemeji yenu. Sasa mrembo huyu amenipikia haya majitu, sijui ni nini au kunas meseji gani anajaribu kunifikishia?

    Namuuliza, eti yeye ananiambia wewe kulaa bwana
  17. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke mrembo kuzaa na mwanaume masikini ni mapenzi ya kweli, bahati, hajui kukataa, ushirikina au ni kitu gani ?

    Mabinti warembo / Visu / Pisi Kali huwa wana demand kubwa, atafatwa na wanaume wa aina nyingi, yeye ni kuchagua tu Inapotokea mwanamke mrembo kampenda hadi kumzalia mwanaume masikini huwa ni kipi . Mapenzi ya kweli Ni cha wote Ushirikina / Ndumba Bahati ama kuna cha ziada
  18. Knock life

    JamiiForums Tanzania Mtibeli Robert Heriel yawezekana akawa ndo mwana JF mwenye mwanamke mrembo sana JF nzima

  19. ZILLIONAIRE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempenda msichana mrembo aliyezaliwa na HIV, nifanye nini?

    Wakuu habarini, Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana kiki wala maigizo na ana heshima balaa. Amenieleza ukweli kwamba anaishi na HIV tangu kuzaliwa...
  20. Sauti ya Mamlaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi mrembo alivofanya niende mahabusu kwa mara ya kwanza

    habarin wakuu leo nataka nishare na nyie jinsi mrembo huyu alivonifanya niswekwe mahabusu kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ilikua ni siku ya jumapili ya tarehe 30 mwezi march mwaka huu nilipokuwa na mrembo huyu wakuitwa x tulipokua tumetoka kazin mida ya saa mbili kasoro usiku sasa akawa...
Back
Top Bottom