So huyu dada anaishi modest/humble family/background (nikisema modest i mean kwa tafsiri ya kiswahili ni kama familia maskini). She works for me.
Anakuja kufanya usafi na kufua (as known kama mamafua here in KE). Leo amekuja na I was drinking (I am off duty) so kuna siku niligundua anavaa...
Heri ya Pasaka.
Iko hivi, imekuwa kama tamaduni kwetu kuwa siku za sikukuu ndio mtu atavaa vizuri, atakula vizuri na atatoka out.
Jana wakati natoka kwenye mishe zangu nikamuita boda wangu anipeleke home nikaangalie chama langu Liverpool likimenyana na Arsenal.
Jamaa kafika asee alikuwa...
Niaje wakuu
Tusichoshane.
Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikojolei wala kujinyea.
Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.
Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila...
Wakuu naomba kuuliza.
Hii kauli ya kusoma Cuba ime trend sana mitandaoni. Unfortunately mimi sio mtumiaji wa mitandao sana. Huwa natumia JF na pia JF huwa sio regular user, naweza kupotea miezi hata mwaka ndio nikaja tena kutumia.
Huu msemo wa kusoma Cuba nimekuja kuukuta ila huwa natamani...
Mambo yasiwe mengi.
Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.
Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au...
Huyu manzi tulikutana Nairobi, nilienda kwenye mbishe flani ya chap kwa haraka, mwenyeji wangu akanipeleka club moja inaitwa K1 Klub.
Hapo nilikutana na mamsi mmoja, ni msupuu siyo utani nikamkatia akakatika. Basi siku hiyo nikanunua tu pale vinywaji, alikuwa na beste zake tukapeana number...
Wakuu humu ndani hamna wapenzi wa BBN? Naona season hii kuna washiriki wazuri kweli na wameweka level mbili naona shindano la mwaka huu litanoga sana.
Mpaka sasa housemates wanao make headlines kwenye level one ni Bella na Sheggz.
Kwenye level two Phyna ni wa moto sana.
Mimi binafsi...
Kumekuwa na utani mwingi juu ya walio na hela na wasiokuwa nazo. Sasa hapa huu uzi utakuwa maalumu kwa wenye hela kuwa motivate wasiokuwa nazo wazitafute kupitia quotes (nadhani ni misemo kwa kiswahili).
Mfano.
1. Tafuta hela gas inaivisha maharage
2. Tafuta hela pisi kali zinalika na kila...
Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa Kikristo hawaoi kama wa Kiislam?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je, chanzo ni nini...
Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi...
Wanasheria mtatusaidia kufafanua zaidi kuhusu hii summons.
IN THE RESIDENT MAGISTRATE'S COURT OF DAR ES SALAAM AT KISUTU.
MISCELLANEOUS CRIMINAL APPLICATION NO. 29 OF 2021.
BETWEEN
1. JAMES BURCHARD RUGEMALIRA -...
Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu amewachinja watoto wake wawili kwa kisu kisha yeye mwenyewe kujiua.
Zaidi tazama video. 👇
Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari...
Baada ya kusafisha na kupanga nyumba yangu, kaka yangu alinipigia simu na kuniambia, "Mimi na mke wangu tunakuja kukutembelea."
Nilienda jikoni kuwaandalia kitu, lakini sikuweza kupata chochote cha kuandaa. Baada ya kufikiria sana na kupekua, nilichoweza kukiona ni machungwa machache. Kwa...
Wakuu habari za leo.
Samahani naomba kuuliza. Kuna mdogo wangu amechangulia chuo kikuu cha Dar es Salaam kusoma Sociology lakini yeye ndoto yake ni kosoma Law.
Amechaguliwa kusoma pia Insurance katika chuo cha IFM lakini anataka kusoma UD.
Sasa wakuu ameniomba nimshauri nikawaza kuhusu...
Wakuu cheti cha kuzaliwa siku hizi ndio kipo hivi au hiki ni provisional tu?
Hapa nimemwambia manzi wangu anitumie cheti cha kuzaliwa cha mwanae ili nifuatilie masuala ya bima ya afya akanitumia kinachofanana na hiki.
Sasa sijui kama hiki ndio cha siku hizi au inakuwaje.
Naomba mwenye...
Umeenda semina Njombe, una ndugu yako kule. Unamtaarifu unakuja kumtembelea. Anakuambia karibu sana. Anakuelekeza panda daladala za Ramadhani shukia kwa Sanga. Unashuka stendi unamkuta ndugu yako na mkewe na watoto stendi wamekuja kukupokea! Mnatembea kitambo na kufika kwake. Watoto waliobaki...
1. Man City 83'
2. Manchester United 71'
3. Chelsea 67'
4. Liverpool 66'
5. Leicester City 66'
6. West Ham 62'
[emoji117]Bado mechi 1 kwa kila timu!
Fixture ipo hivi
Leicester city Vs tottenham
West ham Vs southampton
Aston villa Vs Chelsea
Liverpool Vs crystal palace
Manchester united na Man...
Keep your thoughts positive, because your thoughts become your words. Keep your words positive because your words become your behaviours. Keep your behaviours positive, because your behaviours become your habits. Keep your habits positive, because your habits become your values. Keep your values...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.