dangote

Aliko Dangote GCON (born 10 April 1957) is a Nigerian billionaire businessman, and the owner of the Dangote Group, which has interests in commodities in Nigeria and other African countries. As of January 2020, he had an estimated net worth of US$10 billion.Dangote is ranked by the Bloomberg Billionaires Index as the 88th-richest person in the world and the richest man in Africa, and peaked on the Forbes list as the 23rd-richest person in the world in 2014. He surpassed Saudi-Ethiopian billionaire Mohammed Hussein Al Amoudi in 2013 by over $2.6 billion to become the world's richest person of African descent.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Tajiri namba moja wa Afrika, Aliko Dangote ni wa 191 duniani kwa utajiri

    Sasa kama Dangote anaweza kuwa namba 191 duniani kwa utajiri wakati ndio namba moja Afrika, huyo tajiri namba moja duniani si anaweza kununua Afrika yote akiamua?
  2. A

    Simba la Masimba Dangote ndani ya Unguja

    Simba la Masimba Dangote anakiwasha Unguja Leo. Dunia yote inasubiria tukio Kuu uwanjani. NB: karibuni sana Unguja.
  3. Kingsmann

    Ali Dangote alikuwa ameshaua takribani watu zaidi ya 4, alianza kuua siku ya mechi ya Simba Vs Yanga.

    Mmoja kati ya walinzi wa Polisi Jamii ambaye alishiriki kwenye msako wa kumtafuta Ali Dangote, kijana mhalifu anayetajwa kuwaua takribani watu wanne, amesema kijana huyo alianza kufanya mauaji, siku ya Mechi ya Simba na Yanga (Novemba 5, 2023). Amesema alianza mauaji hayo baada ya kuachiwa...
  4. mtetezi wa MAGU

    Ally Dangote auawa jijini Arusha

    Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai...
  5. John Haramba

    Takwimu zinaonesha kila sekunde 24 kuna mtu anafariki kwa ajali ya barabarani

    Umoja wa Mataifa kupitia Shirika la Afya Duniani (WHO) umeeleza kuwa Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanachangia vifo vya watu Milioni 41 kila Mwaka Duniani sawa na 74% ya vifo Ulimwenguni. Hayo yamebainishwa katika Kongamano la Mabalozi wa Usalama Barabarani lililofanyika kwenye Ukumbi wa...
  6. Vladivostok

    Dangote watangaza ongezeko la bei Ya cement uhaba wa dola watajwa.

    Kampuni ya Dangote imetangaza kupanda kwa bei ya cement kwa shillingi 885 kwa wauzaji wa jumla.Na 2000 kwa wauzaji wa rejareja Na sababu ni kuadimika kwa dola ya marekani.Kwa mwaka huu cement ilipanda julai mosi kwa ongezeko la shilingi 2000 baada ya serikali kuongeza kodi katika bajeti ya...
  7. mdukuzi

    Mkilazimisha kumleta Mwarabu bandarini tutamfanyia hujuma kana tulivyomfanyia Dangote na Nakumat

    Dangote alikuja na mkwara eti atauza cement 5000, tulichomfanya abajuta kuwekeza Tanzania. Kila week kuna roli linaanguka na kuwa scraper, cement yake haina tena soko wala hajawahi kuuza bei chini na wenzake. Huyo Nakumat alitaka kushindana na Shoprite, tulichomfanya hatasahau. Sisi ni...
  8. HIMARS

    Dangote afungua kiwanda kikubwa Afrika cha kusafisha mafuta

    Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta. Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD) Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika. Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani. Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani...
  9. JanguKamaJangu

    Ethiopia: Wafanyakazi wa kiwanda cha Dangote watekwa

    Waasi ambao inadaiwa wana uhusiano na kikundi cha Oromo Liberation Army wamelaumiwa kwa kuhusika katika tukio hilo la utekaji wa wafanyakazi zaidi ya 10 wa kiwanda cha simenti kinachomilikiwa na Bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote. Inadaiwa basi lililokuwa limebeba wafanyakazi hao Wilaya ya...
  10. Jamii Opportunities

    Public Relations Manager at Dangote

    Description JOB RESPONSIBILITIES: Prepare all Media communications content, including digital and social media communication Manage effective relationships with media stakeholders Act as a first point of contact regarding all media stakeholder engagements and manage the implementation of...
  11. B

    TPA na kampuni ya Dangote waingia makubaliano ya kibiashara kupitia bandari ya Mtwara

    Mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA) Leo Jumatano Machi 16, 2022 imeingia makubaliano ya kibiashara na kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara yenye lengo la kurahisisha usafirishaji wa Saruji kwa kutumia bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo Yanawezesha kampuni ya...
  12. babukijana

    Cocaine na Heroine zinateketezwa kiwanda cha Dangote mkoani Mtwara

    Nimeishia kutoa macho tu, zinateketezwaje? Imekuwa sio kazi ya Polisi tena kuteketeza ila kampuni binafsi? Hata ulinzi hakuna pale. Hamna namna ingine ya kuteketeza wanapeleka kule kule tena buchani mbuzi afie hapo.
  13. Analogia Malenga

    Vijana wamshinikiza bilionea Aliko Dangote kuwania urais Nigeria

    Kundi la vijana nchini Nigeria, chini ya mwamvuli wa Bunge la Vijana wa Kaskazini, limetoa wito kwa mfanyabishara tajiri zaidi Afrika Aliko Dangote, viongozi wengine wa wafanyabiashara na wataalamu kuingilia kati uchaguzi wa rais wa 2023. Vijana hao wanasema kuwa uzoefu wao itasaidia kuleta...
  14. Replica

    Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

    Jarida la Forbes limetoa orodha ya matajiri barani Afrika ambapo Mohammed Dewji ameendelea kushikilia usukani kutokea Tanzania na kushika nafasi 15 barani Afrika. Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana...
  15. Mbao Tanzania

    Hadi Mama Dangote amekuja Mbao Tanzania, sijui anajenga ghorofa!

    Habari zetu kupitia JF zinafika mbali sana. Ishukuriwe platform hii kwa kutusaidia kuonekana kupitia mijadala yenye tija hasa kwa sisi eneo letu la ujenzi na hamasa tunazopeana humu. Tunapenda kuwajuza tu kuwa Mama Dangote ni miongoni mwa wateja wetu waliofika #MbaoTanzania kuchukua mzigo wa...
  16. K

    TANZIA Sani Dangote afariki dunia

    Bwana Sani Dangote mdogo wa tajiri nambari moja Africa ameaga Dunia huko Marekani. === Sani Dangote, the vice president of theDangote Group and brother to Aliko Dangote, is dead. Mr Dangote died in the United States Sunday after a protracted illness, PREMIUM TIMES learnt. Relatively less...
  17. Jamii Opportunities

    Sampler – UG Geology at Geita Gold Mining Limited

    ABOUT GEITA GOLD MINING LTD Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in...
  18. La Quica

    Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

    Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki. Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari...
  19. Jamii Opportunities

    Social Performance Manager at Dangote

    Description Develop, implement and maintain a consistent strategy on stakeholder’s engagement establishing cordial relationship with host communities and other relevant stakeholders Key Duties and Responsibilities Manage, direct and inspire a team of independent professionals in order to...
  20. Mzee makoti

    Dangote kampuni

    Wakuu Kuna mtu amenitumia link, kufungua nakuta haya
Back
Top Bottom