tokyo

Tokyo ( TOH-kee-oh, -⁠kyoh; Japanese: 東京, Tōkyō [toːkʲoː] (listen)), officially the Tokyo Metropolis (Japanese: 東京都, Tōkyō-to), is the de facto capital and most populous prefecture of Japan. Located at the head of Tokyo Bay, the prefecture forms part of the Kantō region on the central Pacific coast of Japan's main island of Honshu. Tokyo is the political and economic center of the country, as well as the seat of the Emperor of Japan and the national government. As of 2021, the prefecture has an estimated population of 13,960,236. The Greater Tokyo Area is the most populous metropolitan area in the world, with more than 37.393 million residents as of 2020.Originally a fishing village, named Edo, the city became a prominent political center in 1603, when it became the seat of the Tokugawa shogunate. By the mid-18th century, Edo was one of the most populous cities in the world at over one million. Following the end of the shogunate in 1868, the imperial capital in Kyoto was moved to the city, which was renamed Tokyo (literally "eastern capital"). Tokyo was devastated by the 1923 Great Kantō earthquake, and again by Allied bombing raids during World War II. Beginning in the 1950s, the city underwent rapid reconstruction and expansion, going on to lead Japan's post-war economic recovery. Since 1943, the Tokyo Metropolitan Government has administered the prefecture's 23 special wards (formerly Tokyo City), various bed towns in the western area, and two outlying island chains.
Tokyo is the largest urban economy in the world by gross domestic product, and is categorized as an Alpha+ city by the Globalization and World Cities Research Network. Part of an industrial region that includes the cities of Yokohama, Kawasaki, and Chiba, Tokyo is Japan's leading center of business and finance. In 2019, it hosted 36 of the Fortune Global 500 companies. In 2020, it ranked fourth on the Global Financial Centres Index, behind New York City, London, and Shanghai. Tokyo has the world's tallest tower Tokyo Skytree and the world's largest underground floodwater diversion facility MAOUDC. The Tokyo Metro Ginza Line is the oldest underground metro line in East Asia (1927).The city has hosted multiple international events, including the 1964 Summer Olympics and three G7 Summits (1979, 1986, and 1993); it will also host the 2020 Summer Olympics, which were ultimately postponed to 2021 due to the COVID-19 pandemic. Tokyo is an international center of research and development and is represented by several major universities, notably the University of Tokyo. Tokyo Station is the central hub for Japan's Shinkansen bullet train system, and the city is served by an extensive network of rail and subways. Notable districts of Tokyo include Chiyoda (the site of the Imperial Palace), Shinjuku (the city's administrative center), and Shibuya (a commercial, cultural and business hub).

View More On Wikipedia.org
  1. Melubo Letema

    Mwanariadha Magdalena Shauri Aangukia Pua, Tokyo Japan

    Mwanariadha Magdalena Shauri ameangukia pua baada ya kushika nafasi ya 11, kwa muda wa 2:32:58 huko Tokyo Japan, Jana tarehe 3/3/2024. Hata hivyo, Magdalena ndiye Mwanariadha pekee kwa sasa wa kike aliyefuzu kushiriki mashindano ya Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa mwezi julai, baada ya kupata...
  2. Melubo Letema

    Mwanariadha wa Kimataifa Magdalena Shauri Kushiriki “Tokyo Marathon 2024” mwezi Machi

    Mwanariadha wa Kimataifa na mwenye rekodi ya Taifa kwa mbio ndefu, kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Magdalena Crispine Shauri anatarajia kushiriki na kushindana kwenye mbio za TOKYO MARATHON 2024 yanayotarajia kufanyika Jumapili tarehe 03:03:2024 huko Tokyo Japan. Kwenye mbio hizo...
  3. figganigga

    Jengo la PSPF mita 134 ndo Refu Tanzania, Wenzetu wanajenga Jengo lenye Urefu wa Mita 1,700 huko Tokyo

    Jengo la PSPF Ukiacha na Jengo refu kabisa duniani la Burj Khalifa la huko Dubai lenye urefu wa kwenda Juu zaidi ya Mita 828, sasa yanajengwa Majengo mapya Marefu kulipita na yanatazimwa kufunika kabisa Khalifa. Je, Watafanikiwa kuyajenga? Jengo la TPA Kwa Upande wa Tanzania, Jengo PSPF...
  4. Influenza

    Mwisho wa Enzi: Kampuni ya Toshiba yaachana na soko la hisa la Tokyo baada ya miaka 74

    Wale Wazee wa zamani watakubaliana na mimi kuwa kulikuwa na wakati ambapo moja ya runinga yako, kompyuta, redio au bidhaa nyingine muhimu za kielektroniki zingetengenezwa na Toshiba. Hata hivyo, Kampuni hiyo kubwa ya Kijapani ya vifaa vya kieleteoniki ya KijapanoToshiba, iliyotawala kwa ubora...
  5. Nazjaz

    Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

    Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan. Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe? Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko. Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na...
  6. GP Logistics Company

    Kenya yafanikiwa kurusha Satelite yake kwenye mzingo wa Dunia kwa kutumia Roketi, Tanzania kufanya hivyo mwaka 2025

    Nchi ya Kenya wamefanikiwa kurusha satellite yao kwenda anga za mbali muda mchache uliopita ikiwa imesafirishwa ndani ya rocket ya Falcon 9 kutokea huko katika kambi ya Vendeberg space center Mara baada ya majaribio matatu kushindikana siku chache za nyuma kutokana na hali mbaya ya hewa ambayo...
  7. JanguKamaJangu

    Japan: Familia itakayohama Tokyo kulipwa Tsh. Milioni 21.3 kwa kila mtoto

    Uamuzi huo umechukuliwa na Serikali ikiwa ni katika harakati za kushawishi kupunguza idadi ya watu katika Mji huo Mkuu. Tokyo na maeneo ya jirani ya Kanagawa, Sai-tama na Chiba yanatajwa kuwa na idadi ya watu Milioni 35 ikiwa ni 28% ya watu wote wa #Japan, ambapo Serikali ina hofu ongezeko la...
  8. Melubo Letema

    Eliud Kipchoge Ameshinda Tokyo Marathon (2:02:40)

    Mwanariadha wa Kimataifa kutoka Kenya, Eliud Ameshinda Tokyo Marathon Kwa muda 2:02:40 huko Japan, Hadi Sasa Ameshinda Mashindano Makubwa manne (4), anatarajiwa kushiriki Boston Marathon itakayofanyika April 18, 2022 na New York Marathon itakayofanyika November 22, 2022. Picha Kwa hisani ya...
  9. Sky Eclat

    Adolf Hitler and the Origins of the Berlin-Tokyo Axis

    Top Image: Adolf Hitler (fourth from right) at his trial in Munich following the Beer Hall Putsch, 1924. Image courtesy of Bundesarchiv Bild, 102-00344. Historians should not fear accusations of exaggeration when designating December 1941 as not only one of the most decisive months of World War...
  10. beth

    Michuano ya Paralympic yaanza Tokyo

    Michuano ya Paralympics inaanza leo Jijini Tokyo huku Japan ikikabiliwa na mlipuko mbaya zaidi ya COVID-19 ambao umepelekea idadi kubwa ya maambukizi kurekodiwa na Mfumo wa Huduma za Afya kulemewa Waandaaji wa Michezo hiyo wamekiri itafanyika katika mazingira magumu kwani hali ya Japan imekuwa...
  11. Sam Gidori

    Tokyo: Mashindano ya Olimpiki 2020 yakamilika

    Baada ya kushuhudia wiki mbili za mashindano ya aina yake katika historia, hatimaye Michezo ya Olimpiki mjini Tokyo nchini Japan imeahirishwa hii leo na kijiti kukabidhiwa kwa Paris, muandaaji wa mashindano hayo mwaka 2024. Mashindano ya mwaka huu yalikuwa ya tofauti kutokana na maambukizi ya...
  12. May Day

    Tumeshindwa Wapi? Olympic Games Tokyo 2021

    Kama kuna Medali ambayo Taifa tunastahili basi ni Medali ya vipaji vya kuamini miujiza ya kuvuna tusichokipanda. Kama tunavyofanya kwenye tozo, badala Mamlaka kuandaa kwanza Wananchi wenye uwezo wa kulipa 'tozo' wao wanaanza na tozo kwanza wakiahidi uwezo wa kulipa utakuja huko mbeleni. Na...
  13. MK254

    Wakenya washinda medali ya dhahabu na fedha mtawalia kwenye mbio za marathon kule Tokyo

    Kama kawaida Wakenya wanaendelea kukusanya medali kadhaa kule, vipi majirani kunaye anatajika hata kuonekana tu kwenye TV. • Fellow Kenyan Brigid Kosgei took silver and Molly Seidel of the United States took bronze • Battling hot and humid conditions, Chepng'etich dropped out around the 30km...
  14. I

    Mbio za mita 42,000 Olimpiki kuna Mtanzania anakimbia?

    saa 6 na nusu usiku wa manane. marathon mita 42000 inaendelea. nataka kufahamu kama kuna mkimbiaji kutoka Tanzania maana nimechungulia mpaka nimechoka simuoni.
  15. beth

    Makocha waliomlazimisha Mwanariadha kuondoka kwenye michuano ya Olimpiki watimuliwa

    Makocha wawili wa Belarus wameondolewa Vibali vya Olimpiki kufuatia madai ya kujaribu kumlazimisha Mwanariadha kuondoka kwenye Michuano inayoendelea Tokyo Nchini Japan Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) imethibitisha kuondoka kwa Artur Shimak na Yury Maisevich, na Uchunguzi unaendelea Kesi...
  16. beth

    #COVID19 Japan yashuhudia ongezeko la maambukizi. Hospitali kupokea walio hoi tu

    Japan inatarajia kubadili Sera ili kuweka kipaumbele katika kulaza Wagonjwa wa COVID19 wanaoumwa sana ili kuepuka kudhoofisha Mfumo wa Afya. Hivi sasa Taifa hilo linarekodi zaidi ya visa 10,000 kila siku. Wagonjwa wengine watatakiwa kubaki nyumbani na Serikali itahakikisha wanalazwa hali zao...
  17. BAK

    Tokyo 2020: Two Namibian Olympic medal contenders ruled ineligible for women's 400m due to naturally high testosterone levels

    Tokyo 2020: Two Namibian Olympic medal contenders ruled ineligible for women's 400m due to naturally high testosterone levels By Kevin Dotson, CNN Updated 10:21 AM ET, Sat July 3, 2021 Christine Mboma of Namibia reacts set a new world Under-20 record in a women's 400m race at the Irena...
  18. A

    Tanzania kufanya vizuri kwenye Para-olympics Tokyo

    Ninaamini nchi yetu itafanya vizuri sana kwenye paraolympics. Tuna wabunge, wanasiasa wakiongozwa na honorable Ndungai, Polepole, Gwajima, Tarimba, Mwigulu, Zungu etc hakuna hata haja ya kuwapima maana wana akili ya kuku wote hao. Mheshimiwa Tarmba atasindikizwa na na vigogo wa Yanga, huyu jamaa...
  19. Ndebile

    Ufunguzi wa Olympic Tokyo Japan: Bendera ya Tanzania imeingia peke yake

    Wakuu wenye uelewawa wa haya mambo, naona bendera ya nchi yetu ameibeba mzungu mmoja ambaye sina uhakika kama ni mwanamichezo au kiongozi wa Tanzania! Je huu ndio utaratibu mpya au ndio hivyo tumekosa watu wa kushiriki? Labda wanamichezo watafika kesho! Acha tuendelee kuwashangilia majirani zetu!
Back
Top Bottom