hisa

  1. greater than

    JamiiForums Tanzania DSE 1,2,3 : "Ninunue hisa za kampuni ipi ?"

    "Ninunue hisa za kampuni ipi ?" Hili ni moja ya swali ambalo kila Mwanahisa alishawahi kujiuliza au huwa anajiuliza. Leo nitatoa njia nyepesi ambazo utatumia katika kuchagua kampuni utakayoenda nunua hisa zake NJIA hizo ni 1. Bei ya hisa : Unapofika sokoni,bei huwa ni moja ya kipimo kizuri...
  2. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, uwekezaji kwenye soko la hisa ndio njia ya kujenga utajiri wa muda mrefu?

    Watu wengi huweka nguvu zote kwenye kufanya kazi kila siku lakini hawajui jinsi ya kufanya pesa zao ziwaongezee pesa nyingine kupitia uwekezaji. Moja ya maeneo ambayo matajiri wengi duniani hutumia kujenga wealth kwa muda mrefu ni soko la hisa (stock market). Lakini swali kubwa ni: 👉 Soko la...
  3. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Je, Mtanzania anaweza kununua hisa kwenye makampuni ya Kenya?

    Wataalam wa hisa Hivi Watanzania wanaweza kununua hisa kwenye makampuni ya Kenya?
  4. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Dangote kiwanda cha Kuchakata mafuta (Refinery) kutoa IPO katika masoko ya hisa Africa.

    Baada ya kuzidiwa na Madeni naona Aliko Ally Dangote anataka kuweka sawa vitabu vyake Debt to Capital balance kwa kutoa IPO (Initial Public Offer) ili kupata mtaji ambao utasaidia katika ku balance vitabu Mfanyabiashara huyu alishafungua Refinery yake Nigeria ambayo inachakata pipa 650,000/= kwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji soko la hisa kenya(NSE)

    Wakuu habari za majukumu Kwa Yoyote mwenye Ufahamu au uelewa zaidi juu ya namna ya kuwekeza katika soko la HISA Kenya anisaidie ushauri na mawazo.Pia kama kuna soko zuri zaidi la Kenya kwenye HISA naomba nisaidiwe Asante
  6. U

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    Habari ya leo wadau!Kama mtu anaanza kuwekeza katika hisa leo 4/5/2026 unaweza kumshauri anunue hisa za kampuni/benki gani?NAOMBENI USHAURI HAPO
  7. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaingia soko la Dunia la Helium baada ya kusaini mkataba na mwekezaji Helium One Global. Serikali itamiliki hisa asilimia 17 tu

    Ndio kama mlivyosoma kwamba hisa za Serikali ni asilimia 17% tuu. https://www.instagram.com/p/DX1ya8oCn_S/?igsh=MWlja2xja2QxMHd2aw== My Take Kama hatuna pesa za kuingia kwenye ubia hakuna haja ya kusainiana.Pia soma (1) Mradi wa Kuchimba Gesi Adimu ya Helium kwenye Bonde la Ziwa Rukwa Kuanza...
  8. greater than

    JamiiForums Tanzania Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Kwa uchumi wa nchi yetu ulipofikia sasa,Serikali haioni tija ya kuwa na sera itakayo vutia na kulazimisha makampuni makubwa kujiunga na soko la Hisa la DSE Faida ya Makampuni kuwa katika soko la hisa Upatikanaji wa Mtaji wa Gharama Nafuu Kuongeza Thamani na Hadhi ya Kampuni Kuongeza ufanisi na...
  9. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Wekeza kwenye hisa

    Ni wakati wa kujifunza kuhusu uwekezaji katika hisa. Naam — wakati ni sasa. Si kesho, ni leo. Jifunze na uanze kuwekeza kwa minajili ya kukua kifedha. Namba zinaonyesha sekta ya fedha inaendelea kukua kila siku. Ukuaji huu si wa mapato pekee, bali pia watu wengi zaidi wanaanza kujifunza kuhusu...
  10. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Mbona hamkuniambia kuwa HISA ni mchezo wa kubet?

    Nina mwezi sasa hisa hazipandi kwanza sishashuka Hapo nilikua na 170,000 Saizi imebaki 148,000 Nasikitika sana HAMKUNISANUA
  11. greater than

    JamiiForums Tanzania HISA : Karibuni tuchambue makampuni yaliyopo soko la hisa DSE

    Nipo katika wiki mbili za mapumziko,natumia mda huu katika kuchambua ripoti za makampuni yaliyopo DSE.. Karibuni tushirikiane kwa hili. Tunaweza fanya kwa kuunda group la WhatsApp au tukakutana... Ili tujue kampuni lipi 1. Zuri kuwekeza kwa mda mrefu 2.zuri kuwekeza mda mfupi 3. Hali nzima...
  12. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Fedha: Kwanini uwekeze kwenye hisa DSE

    Wadau wa fedha na uwekezaji, Kuna kitu muhimu sana ambacho mara nyingi tunakisoma kwenye vitabu vya Rich Dad Poor Dad na vingine vya personal development, lakini wengi wetu hatuchukui hatua — financial intelligence. Reading is powerful, yes. Lakini knowledge bila application ni sawa na theory...
  13. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Fahamu Faida na Mbinu za Kupeleka Kampuni/ Biashara katika SOKO la HISA

    Habari za wakati; Habari za wakati huu.Ni matumaini yangu kwamba unaendelea salama na Ujenzi wa Taifa na Uchumi binafsi. Leo nataka nilete mada hii kwa ufupi ili nichokozi mjadala uanohusu soko La Hisa.Kabla ya kuanza kwa mjadla niweke wazi kwamba mimi sio mtaalamu wa fedha,wala biashara,wala...
  14. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Kwanini ununue hisa za DSE plc(Dar es Salaam stock exchange)

    Watu wengi wakisikia “DSE” wanafikiria ni sehemu ya kununua hisa tu. Lakini wachache wanaelewa kuwa DSE yenyewe ni biashara inayouza huduma za soko la mitaji. Huu ni uchambuzi wangu unaolenga kutoa insights za DSE plc shares. Ukiniuliza kama ni sawa kununua hisa za DSE? Nitakujibu ndio, kwa...
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kalonzo: Tunachunguza kwa umakini mauzo ya hivi karibuni ya hisa za Nation Media Group

    Kalonzo Musyoka ambaye ni kiongozi wa chama cha upinzani cha Wiper Democratic Movement na aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wakati wa uongozi wa Mwai Kibaki, amesema wanafanya uchunguzi juu ya mauzo ya hisa yaliyofanyika hivi karibuni kwenye taasisi ya Nation Media Group kwa bwana Rostam Aziz...
  16. Gotze Giyani

    JamiiForums Tanzania Kukua kwa DSE pamoja na ununuzi wa hisa za CRDB aka Tembo

    Wadau habari za mida, Nimekuwa nafuatilia sana kuhusu elimu ya uwekezaji kwa muda sasa kuhusu stock au hisa, hatifungani na mifuko ya uwekezaji ya pamojai ila sasa naomba niongelee hisa haswa za CRDB Bank, NMB NICOL, TCC na DSE zenyewe. Hii kasi ya upandaji wa soko la hisa zikiwepo hizo...
  17. Bullshit

    JamiiForums Tanzania Kwanini kubeti inaoneka haram lakini kununua hisa halali?

    Kusema ukweli mimi napenda kubet zaidi na nimependzi wa kubet magoli. Vile vile mimi Nani is hisa, ila hisa ndo ilianza kitambo kabla ya kubet ila kubet napenda sana kuliko kununua hisa. Shida inakujua ukimwambia mtu una bet anaona unafanya jambo la ajabu yaan anakushangaa kwanini una bet ila...
  18. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Plan B yakuokoa Hasara kwenye Hisa

    Kuna watu wanasema mtu asubiri hisa ishuke kwanza ndio anunue mfano kama hisa ya CRDB ikiwa 1500 mtu anasema ngoja ishuke tena iwe chini ya 1000 ndio anunue , swali la kujiuliza je isiposhuka tena hatanunua? na je ikiendelea kupanda ikafika 5000 wakati wewe unasubiri iwe buku ? Ushauri wewe...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    Habar wakuu Nimekuja kwenu nina akiba hapa ya Milioni 40 Nimekuja kwenu kama wataalamu wa uwekezaji au wazoefu wa uwekezaji mpo Nishaurini kati ya kununua hisa CRDB, NMB na kuwekeza UTT, niwekeze sehemu ipi kati ya hizo Maana nafanya shughuli zangu zingine zabiashara kama kawaida ila Nina...
  20. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Hii Minong'ono itaathiri bei ya hisa za CRDB?

    Agosti mwaka huu, CRDB ilikuwa trendy sana, market cap ya Tsh trilioni 3.6 na hisa zake ziliuzwa kwa zaidi ya Tsh 1,500. Kila mtu alitaka kuzinunua, akitumaini mambo yatazidi kuwa matamu, lakini ma-speculators walikimbia. Sasa mwenendo wa CRDB huko DSE unawapa watu tumbo joto, na licha ya...
Back
Top Bottom