Je, unatamani kuwekeza kwenye Soko la Hisa Tanzania lakini hujui pa kuanzia? Au unataka kujifunza jinsi ya kufanya maamuzi sahihi ya uwekezaji kwa kutumia uchambuzi wa kitaalamu? Kozi ya Uwekezaji Katika Soko la Hisa Tanzania ya ChuoSmart imeandaliwa kwa lugha rahisi ya Kiswahili kwa wanaoanza...
Unawekeza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE?
Hii hapa ndiyo ratiba ya magawio yanayotarajiwa kulipwa kwa wanahisa wa kampuni zilizoorodheshwa DSE.
24 Juni 2026
• NMB Bank: TZS 610.15 kwa kila hisa
30 Juni 2026
• Twiga Cement: TZS 300 kwa kila hisa
• DSE: TZS 69 kwa kila hisa, gawio la...
Wakuu nimeangalia trend ya NMB,
Leo kuna change ya 300+ kwene share !!
Nikawaza ningekua nimewekeza milion 20 leo ningetengeneza hela hii
1=15380 Tsh
X=20,000,000
Kwaiyo milion 20 ingekua ni sawa na hisa
20000000/15380=1,300.39
Ningekua na hisa 1300
Kwa ongezeko la leo 300+
=1300+300=1,600...
Katika hatua inayoweza kubadilisha kabisa mwonekano wa hisa za NMB kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Bodi ya Wakurugenzi wa NMB Bank Plc imependekeza mgawanyo wa hisa (Share Split) wa uwiano wa 1:10, ambapo hisa moja ya kawaida itagawanywa kuwa hisa 10 za kawaida.
Pendekezo hilo...
Mkombozi Commercial Bank Plc imetangaza gawio la TZS 100 kwa kila hisa kwa wanahisa wake kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe 31 Desemba 2025.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kampuni, gawio hili limeidhinishwa na Bodi ya Wakurugenzi, na wanahisa wanapaswa kuzingatia tarehe muhimu...
1. Utangulizi
Hisa Kiganjani ni mfumo wa kidijitali wa Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) unaomwezesha mwananchi kuwekeza katika masoko ya mitaji kwa kutumia simu ya mkononi, kompyuta au huduma ya USSD. Kupitia mfumo huu, mwekezaji anaweza kufungua akaunti ya CDS, kufuatilia uwekezaji wake...
Kwa sasa habari ya mjini ni kununua hisa, bonds, mifuko ya uwekezaji n.k, je ni kitu kizuri au ni kibaya? Ni kitu cha kudumu au ni upepo tu? Je hao watu wanatengeneza hela kweli au ni mamotivesheni spika wanawajaza upepo. Binafsi naamini wale waliokuwa na pesa nyingi enzi hizo wakanunua hisa...
"Ninunue hisa za kampuni ipi ?"
Hili ni moja ya swali ambalo kila Mwanahisa alishawahi kujiuliza au huwa anajiuliza. Leo nitatoa njia nyepesi ambazo utatumia katika kuchagua kampuni utakayoenda nunua hisa zake
NJIA hizo ni
1. Bei ya hisa : Unapofika sokoni,bei huwa ni moja ya kipimo kizuri...
Watu wengi huweka nguvu zote kwenye kufanya kazi kila siku lakini hawajui jinsi ya kufanya pesa zao ziwaongezee pesa nyingine kupitia uwekezaji. Moja ya maeneo ambayo matajiri wengi duniani hutumia kujenga wealth kwa muda mrefu ni soko la hisa (stock market).
Lakini swali kubwa ni:
👉 Soko la...
Baada ya kuzidiwa na Madeni naona Aliko Ally Dangote anataka kuweka sawa vitabu vyake Debt to Capital balance kwa kutoa IPO (Initial Public Offer) ili kupata mtaji ambao utasaidia katika ku balance vitabu Mfanyabiashara huyu alishafungua Refinery yake Nigeria ambayo inachakata pipa 650,000/= kwa...
Wakuu habari za majukumu
Kwa Yoyote mwenye Ufahamu au uelewa zaidi juu ya namna ya kuwekeza katika soko la HISA Kenya anisaidie ushauri na mawazo.Pia kama kuna soko zuri zaidi la Kenya kwenye HISA naomba nisaidiwe
Asante
Ndio kama mlivyosoma kwamba hisa za Serikali ni asilimia 17% tuu.
https://www.instagram.com/p/DX1ya8oCn_S/?igsh=MWlja2xja2QxMHd2aw==
My Take
Kama hatuna pesa za kuingia kwenye ubia hakuna haja ya kusainiana.Pia soma (1) Mradi wa Kuchimba Gesi Adimu ya Helium kwenye Bonde la Ziwa Rukwa Kuanza...
Kwa uchumi wa nchi yetu ulipofikia sasa,Serikali haioni tija ya kuwa na sera itakayo vutia na kulazimisha makampuni makubwa kujiunga na soko la Hisa la DSE
Faida ya Makampuni kuwa katika soko la hisa
Upatikanaji wa Mtaji wa Gharama Nafuu
Kuongeza Thamani na Hadhi ya Kampuni
Kuongeza ufanisi na...
Ni wakati wa kujifunza kuhusu uwekezaji katika hisa.
Naam — wakati ni sasa. Si kesho, ni leo.
Jifunze na uanze kuwekeza kwa minajili ya kukua kifedha.
Namba zinaonyesha sekta ya fedha inaendelea kukua kila siku. Ukuaji huu si wa mapato pekee, bali pia watu wengi zaidi wanaanza kujifunza kuhusu...
Nipo katika wiki mbili za mapumziko,natumia mda huu katika kuchambua ripoti za makampuni yaliyopo DSE..
Karibuni tushirikiane kwa hili.
Tunaweza fanya kwa kuunda group la WhatsApp au tukakutana...
Ili tujue kampuni lipi
1. Zuri kuwekeza kwa mda mrefu
2.zuri kuwekeza mda mfupi
3. Hali nzima...
Wadau wa fedha na uwekezaji,
Kuna kitu muhimu sana ambacho mara nyingi tunakisoma kwenye vitabu vya Rich Dad Poor Dad na vingine vya personal development, lakini wengi wetu hatuchukui hatua — financial intelligence.
Reading is powerful, yes. Lakini knowledge bila application ni sawa na theory...
Watu wengi wakisikia “DSE” wanafikiria ni sehemu ya kununua hisa tu. Lakini wachache wanaelewa kuwa DSE yenyewe ni biashara inayouza huduma za soko la mitaji.
Huu ni uchambuzi wangu unaolenga kutoa insights za DSE plc shares.
Ukiniuliza kama ni sawa kununua hisa za DSE? Nitakujibu ndio, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.