soko la hisa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini NBC Bank haipo kwenye soko la hisa (DSE)? Wakati NMB na CRDB ziko huko mda mrefu?

    Wakuu, Nimekaa hapa nimejiuliza benki kubwa zaidi Tanzania ni CRDB, NMB na NBC Sasa CRDB na NMB wenyewe wako kwenye soko la hisa kwa muda mrefu sana, NMB wako tangu mwaka 2008 Kwanini hii benki ya NBC haiko kwenye soko la hisa? Kuna siri gani huko kwenye hii benki mpaka haitaki watu...
  2. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, uwekezaji kwenye soko la hisa ndio njia ya kujenga utajiri wa muda mrefu?

    Watu wengi huweka nguvu zote kwenye kufanya kazi kila siku lakini hawajui jinsi ya kufanya pesa zao ziwaongezee pesa nyingine kupitia uwekezaji. Moja ya maeneo ambayo matajiri wengi duniani hutumia kujenga wealth kwa muda mrefu ni soko la hisa (stock market). Lakini swali kubwa ni: 👉 Soko la...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Soko La Hisa La Afrika Kusini lina kampuni 251 ila Bongo (DSE) soko lina kampuni 28 tu? Kwanini kampuni kubwa hazijiungi??

    Naomba kuuliza Wakuu Hivi kwanini Tanzania kuna kampuni 28 tu kwenye soko la hisa? Ukienda kuangalia kwenye nchi nyingine kama Afrika Kusini unakuta kuna kampuni kama 200 hivi ambazo watu wanaweza kununua na kuuza hisa Sasa naomba kueleweshwa kwanini? Hapa Bongo tuna watu kama kina Mo...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji soko la hisa kenya(NSE)

    Wakuu habari za majukumu Kwa Yoyote mwenye Ufahamu au uelewa zaidi juu ya namna ya kuwekeza katika soko la HISA Kenya anisaidie ushauri na mawazo.Pia kama kuna soko zuri zaidi la Kenya kwenye HISA naomba nisaidiwe Asante
  5. greater than

    JamiiForums Tanzania Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Kwa uchumi wa nchi yetu ulipofikia sasa,Serikali haioni tija ya kuwa na sera itakayo vutia na kulazimisha makampuni makubwa kujiunga na soko la Hisa la DSE Faida ya Makampuni kuwa katika soko la hisa Upatikanaji wa Mtaji wa Gharama Nafuu Kuongeza Thamani na Hadhi ya Kampuni Kuongeza ufanisi na...
  6. greater than

    JamiiForums Tanzania HISA : Karibuni tuchambue makampuni yaliyopo soko la hisa DSE

    Nipo katika wiki mbili za mapumziko,natumia mda huu katika kuchambua ripoti za makampuni yaliyopo DSE.. Karibuni tushirikiane kwa hili. Tunaweza fanya kwa kuunda group la WhatsApp au tukakutana... Ili tujue kampuni lipi 1. Zuri kuwekeza kwa mda mrefu 2.zuri kuwekeza mda mfupi 3. Hali nzima...
  7. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Fahamu Faida na Mbinu za Kupeleka Kampuni/ Biashara katika SOKO la HISA

    Habari za wakati; Habari za wakati huu.Ni matumaini yangu kwamba unaendelea salama na Ujenzi wa Taifa na Uchumi binafsi. Leo nataka nilete mada hii kwa ufupi ili nichokozi mjadala uanohusu soko La Hisa.Kabla ya kuanza kwa mjadla niweke wazi kwamba mimi sio mtaalamu wa fedha,wala biashara,wala...
  8. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Siwezi kuwekeza kwenye Soko la hisa la Dar (DSE) sababu factors zinazoathiri bei ya hisa hazieleweki, ni tofauti na masoko mengine ya hisa duniani

    Niwe mkweli, uchumi wetu kwenye kona ya soko la hisa una tabia yake yenyewe tu ambayo ni unique dunia nzima. Hii ni sababu zile factors ambazo zinatambulika 'globally' kuathiri bei ya hisa za public companies duniani kote hapa Tanzania hazifanyi kazi. Mfano mdogo sana, hisa za kampuni kama...
  9. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Ielewe biashara ya benki (Banking business model) — kwa wawekezaji wanawekeza sekta ya benki kwenye soko la hisa

    Sekta ya benki ni mojawapo ya sekta zinazofanya vizuri katika Dar es Salaam Stock Exchange ikiwa na taasisi kama CRDB Bank Plc, NMB Bank Plc, MKCB, MBP na DCB Commercial Bank Plc. Lakini pia ni sekta inayosimamiwa kwa ukaribu mkubwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwa sababu inahusisha fedha za...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi afanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela, mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 13 Februari 2026, Dodoma. Katika...
  11. HIMARS

    JamiiForums Tanzania Je, soko la HISA ni utapeli?

    Soko la hisa huendeshwa na mwenendo wa kampuni husika. Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake? Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile? Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse...
  12. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Kampuni zilizowapa wawekezaji ongezeko kubwa la mtaji kwenye soko la hisa ndani ya miezi minane kutoka January 2025

    Moja ya faida kubwa ya kuwekeza kwenye soko la hisa ni ongezeko la mtaji (capital gain). Hii hutokea pale ambapo bei ya hisa unazozimiliki inapanda kuliko bei uliyozinunulia, na hivyo kuongezeka kwa thamani ya uwekezaji wako. Picha hapo juu inaonyesha mfano halisi wa makampuni 10 yaliyoongoza...
  13. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Je, wewe kama muwekezaji kwenye soko la hisa unafahamu maana ya return on equity (roe)?:twende pamoja 👇

    🔑 RETURN ON EQUITY (ROE) 👉 ROE ni kipimo kinachoonesha uwezo wa kampuni kutumia mtaji wa wanahisa (shareholders’ equity) kutengeneza faida. Kwa lugha rahisi, ni kipimo kinachojibu swali: “Kila shilingi moja iliyowekezwa na wanahisa, kampuni inaleta faida kiasi gani?” 📌 Jinsi ya kuipata ROE...
  14. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Je, unalenga nini katika uwekezaji wako kwenye soko la hisa: Ongezeko la mtaji (Capital Gain) au Gawio (Dividends)?

    Je, unalenga nini katika uwekezaji wako: Ongezeko la mtaji (Capital Gain) au Gawio (Dividends)? Watu wengi huingia kwenye soko la hisa bila kuwa na malengo ya wazi. Lakini ukweli ni kwamba malengo yako ndiyo dira ya uwekezaji wako. Kabla hujaweka hela yako, jiulize: Nataka kupata faida kwa njia...
  15. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Umenunua hisa za benki yoyote kwenye soko la hisa la Dar-es-Salaam?

    Sekta ya Bank inazidi kukua. Takwimu za nusu ya kwanza ya mwaka 2025 zinaonesha picha nzuri sana kwa sekta ya benki nchini. Benki za biashara zimepata jumla ya faida ya Sh1.2 trilioni, ongezeko la 9% ukilinganisha na Sh1.09 trilioni kipindi kama hicho mwaka 2024. Ukuaji huu umechochewa na...
  16. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya soko la hisa la Dar es Salaam ndani ya miaka mitano mpaka sasa

    Kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita, soko la hisa Tanzania limekuwa moja ya maeneo yenye faida kubwa kwa mwekezaji wa kawaida. Mfano halisi ni hisa za CRDB, ambazo zimepanda kwa zaidi ya 614.29%. Hata baada ya kutoa mfumuko wa bei wa wastani wa 15%, bado unapata ongezeko la takribani 599% — bila...
  17. Smart Finance

    JamiiForums Tanzania Dondoo muhimu juu ya soko la hisa DSE

    Imeandaliwa na Smart Finance SW 📚 Uwekezaji katika soko la hisa una faida kubwa na hatari kubwa lakini pia ni njia yenye uwezo mkubwa wa kukuza mtaji kwa muda mrefu. Kwa mtu asiye na uzoefu na maarifa ya kutosha ni vyema kuwasiliana na wataalamu wakusaidie na anza kujifunza taratibu taratibu...
  18. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Somo la 5: Faida ya pili ya uwekezaji kwenye soko la hisa — gawio (dividends)

    🔁 Katika somo letu lililopita, tulielewa vizuri dhana ya ongezeko la mtaji (capital gain) — faida unayopata pale bei ya hisa inapopanda. 📍 Leo, tunazungumzia faida ya pili: Gawio. 1️⃣ Gawio ni nini? Gawio ni sehemu ya faida ya kampuni inayogawiwa kwa wanahisa wake, kawaida mara moja au mbili...
  19. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Somo la 5: Faida ya pili ya uwekezaji kwenye soko la hisa — Gawio (dividends)

    📘 🔁 Katika somo letu lililopita, tulielewa vizuri dhana ya ongezeko la mtaji (capital gain) — faida unayopata pale bei ya hisa inapopanda. 📍 Leo, tunazungumzia faida ya pili: Gawio. 1️⃣ Gawio ni nini? Gawio ni sehemu ya faida ya kampuni inayogawiwa kwa wanahisa wake, kawaida mara moja au...
  20. W

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na makampuni ya utalii, mashirika ya ndege binafsi, soko la hisa, n.k. nimestuka kuona hadi kwenye mabasi ya mikoani wachaga wamewekeza mno

    Nilihani ni kwenye kampuni za utalii, usafiri wa ndege, soko la hisa (DSE) ndiko walikowekeza zaidi, Nimeshangazwa upya kujua kumbe hadi kqmpuni zq mabasi ya mikoani wamewekeza mzigo wa kutosha, rough estimation wamiliki almost asilimia 40 ni wachaga, karibia nchi nzima hukosi kampuni yao...
Back
Top Bottom