Jengo la PSPF mita 134 ndo Refu Tanzania, Wenzetu wanajenga Jengo lenye Urefu wa Mita 1,700 huko Tokyo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
pspf-towers.jpg

Jengo la PSPF

Ukiacha na Jengo refu kabisa duniani la Burj Khalifa la huko Dubai lenye urefu wa kwenda Juu zaidi ya Mita 828, sasa yanajengwa Majengo mapya Marefu kulipita na yanatazimwa kufunika kabisa Khalifa. Je, Watafanikiwa kuyajenga?
tpa.jpg

Jengo la TPA

Kwa Upande wa Tanzania, Jengo PSPF COMMERCIAL TOWERS lililopo Dar es salaam ndilo refu. Lina Urefu wa Mita 134 kwenda Juu likifuatiwa na TPA TOWER leenye Urefu wa Mita 134 kwenda Juu pamoja na RITA TOWER leenye Urefu wa Mita 115 kwenda Juu na mengine yanafuata.
rita.jpg

Jengo la RITA

Hata hivyo, Zanzibar kunajengwa jengo refu ambalo litapiku haya majengo yote ya Tanganyika ambalo litakuwa na Urefu wa Mita 385 ambalo likikamilika litaitwa Zanzibar Domino Commercial Tower.
jengoopic.jpg

Zanzibar Domino Commercial Tower.

Majengo mapya yanayojengwa ni kama ifuatavyo;

1. Oblisco Capitale linalojengwa Nchini Misri lenye Urefu wa Mita 1,000 kwenda Juu

2. Jeddah Tower huko Saudi Arabia lenye urefu wa mita 1,008 kwenda Juu

3. Dubai Creek Tower huko Dubai lenye Urefu wa Mita 1300 kwenda juu

4. Sky Mile Tower huko Tokyo lenye Urefu wa Mita 1700 kwenda Juu

Haya ni moja ya majengo ambayo ni Mega project Duniani.

Pia kuna majengo mengine mengi yanajengwa. Angalia Video hii

Tanzania hatupo nyuma sana
 
Majengo marefu hujengwa kwa sababu.Uhaba wa ardhi, ardhi kuruhusu ujenzi wa majengo marefu, kuwapo kwa demand kubwa ya ofisi, n.k.

Sasa unataka watu wajenge majengo marefu hata kama hakuna demand ya hizo ofisi?

Ilimradi na sisi tulimbuke tu kusema tuna jengo refu?
 
Watanzania tunajua ghorofa ni for beautician....
Ni ulimbukeni fulani.

Tunajifananisha na Tokyo, wenzetu hawana ardhi na hivyo wanalazimika kujenga kwenda juu.

Wana uchumi unaohitaji ofisi zaidi. Wana umeme mpaka wa nuclear. Wana zimamoto za kueleweka mpaka kufanya kazi kwenye matetemeko ya ardhi.

Sisi tunataka kumuiga tembo kunya tu, tutapasuka msamba.
 
View attachment 2869997
Jengo la PSPF

Ukiacha na Jengo refu kabisa duniani la Burj Khalifa la huko Dubai lenye urefu wa kwenda Juu zaidi ya Mita 828, sasa yanajengwa Majengo mapya Marefu kulipita na yanatazimwa kufunika kabisa Khalifa. Je, Watafanikiwa kuyajenga?
View attachment 2869998
Jengo la TPA

Kwa Upande wa Tanzania, Jengo PSPF COMMERCIAL TOWERS lililopo Dar es salaam ndilo refu. Lina Urefu wa Mita 134 kwenda Juu likifuatiwa na TPA TOWER leenye Urefu wa Mita 134 kwenda Juu pamoja na RITA TOWER leenye Urefu wa Mita 115 kwenda Juu na mengine yanafuata.
View attachment 2869999
Jengo la RITA

Hata hivyo, Zanzibar kunajengwa jengo refu ambalo litapiku haya majengo yote ya Tanganyika ambalo litakuwa na Urefu wa Mita 385 ambalo likikamilika litaitwa Zanzibar Domino Commercial Tower.
View attachment 2870003
Zanzibar Domino Commercial Tower.

Majengo mapya yanayojengwa ni kama ifuatavyo;

1. Oblisco Capitale linalojengwa Nchini Misri lenye Urefu wa Mita 1,000 kwenda Juu

2. Jeddah Tower huko Saudi Arabia lenye urefu wa mita 1,008 kwenda Juu

3. Dubai Creek Tower huko Dubai lenye Urefu wa Mita 1300 kwenda juu

4. Sky Mile Tower Nchini Tokyo lenye Urefu wa Mita 1700 kwenda Juu

Haya ni moja ya majengo ambayo ni Mega project Duniani.

Pia kuna majengo mengine mengi yanajengwa. Angalia Video hii
View attachment 2869996
Tanzania hatupo nyuma sana

So WHAT?
 
View attachment 2869997
Jengo la PSPF

Ukiacha na Jengo refu kabisa duniani la Burj Khalifa la huko Dubai lenye urefu wa kwenda Juu zaidi ya Mita 828, sasa yanajengwa Majengo mapya Marefu kulipita na yanatazimwa kufunika kabisa Khalifa. Je, Watafanikiwa kuyajenga?
View attachment 2869998
Jengo la TPA

Kwa Upande wa Tanzania, Jengo PSPF COMMERCIAL TOWERS lililopo Dar es salaam ndilo refu. Lina Urefu wa Mita 134 kwenda Juu likifuatiwa na TPA TOWER leenye Urefu wa Mita 134 kwenda Juu pamoja na RITA TOWER leenye Urefu wa Mita 115 kwenda Juu na mengine yanafuata.
View attachment 2869999
Jengo la RITA

Hata hivyo, Zanzibar kunajengwa jengo refu ambalo litapiku haya majengo yote ya Tanganyika ambalo litakuwa na Urefu wa Mita 385 ambalo likikamilika litaitwa Zanzibar Domino Commercial Tower.
View attachment 2870003
Zanzibar Domino Commercial Tower.

Majengo mapya yanayojengwa ni kama ifuatavyo;

1. Oblisco Capitale linalojengwa Nchini Misri lenye Urefu wa Mita 1,000 kwenda Juu

2. Jeddah Tower huko Saudi Arabia lenye urefu wa mita 1,008 kwenda Juu

3. Dubai Creek Tower huko Dubai lenye Urefu wa Mita 1300 kwenda juu

4. Sky Mile Tower Nchini Tokyo lenye Urefu wa Mita 1700 kwenda Juu

Haya ni moja ya majengo ambayo ni Mega project Duniani.

Pia kuna majengo mengine mengi yanajengwa. Angalia Video hii
View attachment 2869996
Tanzania hatupo nyuma sana
Kwanza rekebisha .. hakuna taasisi inaitwa PSPF ..
 
View attachment 2869997
Jengo la PSPF

Ukiacha na Jengo refu kabisa duniani la Burj Khalifa la huko Dubai lenye urefu wa kwenda Juu zaidi ya Mita 828, sasa yanajengwa Majengo mapya Marefu kulipita na yanatazimwa kufunika kabisa Khalifa. Je, Watafanikiwa kuyajenga?
View attachment 2869998
Jengo la TPA

Kwa Upande wa Tanzania, Jengo PSPF COMMERCIAL TOWERS lililopo Dar es salaam ndilo refu. Lina Urefu wa Mita 134 kwenda Juu likifuatiwa na TPA TOWER leenye Urefu wa Mita 134 kwenda Juu pamoja na RITA TOWER leenye Urefu wa Mita 115 kwenda Juu na mengine yanafuata.
View attachment 2869999
Jengo la RITA

Hata hivyo, Zanzibar kunajengwa jengo refu ambalo litapiku haya majengo yote ya Tanganyika ambalo litakuwa na Urefu wa Mita 385 ambalo likikamilika litaitwa Zanzibar Domino Commercial Tower.
View attachment 2870003
Zanzibar Domino Commercial Tower.

Majengo mapya yanayojengwa ni kama ifuatavyo;

1. Oblisco Capitale linalojengwa Nchini Misri lenye Urefu wa Mita 1,000 kwenda Juu

2. Jeddah Tower huko Saudi Arabia lenye urefu wa mita 1,008 kwenda Juu

3. Dubai Creek Tower huko Dubai lenye Urefu wa Mita 1300 kwenda juu

4. Sky Mile Tower Nchini Tokyo lenye Urefu wa Mita 1700 kwenda Juu

Haya ni moja ya majengo ambayo ni Mega project Duniani.

Pia kuna majengo mengine mengi yanajengwa. Angalia Video hii
View attachment 2869996
Tanzania hatupo nyuma sana
Kama PSPF na TPA yote yana urefu sawa (mita 134) kwa nini PSPF liwe la kwanza na TPA liwe la pili?
 
View attachment 2869997
Jengo la PSPF

Ukiacha na Jengo refu kabisa duniani la Burj Khalifa la huko Dubai lenye urefu wa kwenda Juu zaidi ya Mita 828, sasa yanajengwa Majengo mapya Marefu kulipita na yanatazimwa kufunika kabisa Khalifa. Je, Watafanikiwa kuyajenga?
View attachment 2869998
Jengo la TPA

Kwa Upande wa Tanzania, Jengo PSPF COMMERCIAL TOWERS lililopo Dar es salaam ndilo refu. Lina Urefu wa Mita 134 kwenda Juu likifuatiwa na TPA TOWER leenye Urefu wa Mita 134 kwenda Juu pamoja na RITA TOWER leenye Urefu wa Mita 115 kwenda Juu na mengine yanafuata.
View attachment 2869999
Jengo la RITA

Hata hivyo, Zanzibar kunajengwa jengo refu ambalo litapiku haya majengo yote ya Tanganyika ambalo litakuwa na Urefu wa Mita 385 ambalo likikamilika litaitwa Zanzibar Domino Commercial Tower.
View attachment 2870003
Zanzibar Domino Commercial Tower.

Majengo mapya yanayojengwa ni kama ifuatavyo;

1. Oblisco Capitale linalojengwa Nchini Misri lenye Urefu wa Mita 1,000 kwenda Juu

2. Jeddah Tower huko Saudi Arabia lenye urefu wa mita 1,008 kwenda Juu

3. Dubai Creek Tower huko Dubai lenye Urefu wa Mita 1300 kwenda juu

4. Sky Mile Tower Nchini Tokyo lenye Urefu wa Mita 1700 kwenda Juu

Haya ni moja ya majengo ambayo ni Mega project Duniani.

Pia kuna majengo mengine mengi yanajengwa. Angalia Video hii
View attachment 2869996
Tanzania hatupo nyuma sana
Wanataka nini huko juu?
 
Majengo marefu hujengwa kwa sababu.Uhaba wa ardhi, ardhi kuruhusu ujenzi wa majengo marefu, kuwapo kwa demand kubwa ya ofisi, n.k.

Sasa unataka watu wajenge majengo marefu hata kama hakuna demand ya hizo ofisi?

Ilimradi na sisi tulimbuke tu kusema tuna jengo refu?
Right on! PSSSF Commercial Tower (Sam Nujoma road) mpaka leo liko empty. Nina uhakika hata hilo PSPF litakuwa na occupancy ndogo sana.
 
Kwa japan ni hatari sana kufanya ujenzi wa aina hiyo... ni kisiwa cha baharini ambacho hukumbwa na madhira kama tetemeko.. unaweza ukabisha ila hata ujenzi wa titanic ulikatizwa na mambo yasitozuilika na mwanadamu...
Ushauri wangu wawe na kiasi
Japan na China ni kama Tanzania na Kenya. Kila mmoja anaetaka aonekane yuko mbele ya mwenzake. Lakini ki ukweli ardhi ya Japan ni ya mashaka sana, wakiendelea kutaka kushindana na China kwa kila kitu. Basi kuna siku watakuja kuwaangamiza raia wao kwa kujenga vitu ambavyo havitaweza kuvumilia tetemeko lolote litakalotokea.
 
Back
Top Bottom