Kwanini Ripoti ya Taarifa ya Utendaji wa TAKUKURU inaishia kwa Rais badala ya kuwekwa wazi ili Umma uijue?

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,512
8,403
Kila mwaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) huwa inatoa Ripoti ya Taarifa ya Utendaji Kazi ambayo hukabidhiwa kwa Rais kwaajili ya hatua mbalimbali. Lakini Ripoti hiyo haiwekwi wazi kwa Umma kutokana na kubanwa na Sheria ya Kupambana na Rushwa ambayo haijaweka takwa hilo

Je, unadhani Ripoti hii kuendelea kuwa Siri, inachangia Mapambano Dhidi ya Rushwa na Ubadhirifu kutokuwa na matokeo mazuri?
 
Sasa kama ripoti imemfumuafumua marinda mpelekewa ripoti unadhani ataamua iwekwe hadharani ili muone alivyofumuliwa? TAKUKUURUUU ni kikundi cha wahuni wachache wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom