Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Ripoti ya CAG itaendelea kuwa Stori zisizo na funzo lolote Kwa Sababu wezi wamegundua kwamba ukiwa na pesa hakuna wakukuchukulia hatua.
Wanasiasa wote walioiba na waliobambikiwa kesi wapo uraia na wananchi wanampongoza awamu ya sita Kwa kuwaachia matajiri; lakini tujiulize NI maskini gani ameachiwa Kwa majadiliano? Kwanza Nani wakukuruhusu ukanyage red carpet kama umechoka?
Naandika huu ukweli kumaanisha kwamba si Bunge wala serikali watakashinikiza mwizi tajiri afungwe. Kelele zinazoendelea bungeni si za Leo, maisha haya yakukwapua yanaanzia Kwa watunga sheria.
Wapo wabunge wanalipwa posho Bila kuwepo kwenye vikao; wapo wabunge wanalipwa posho mara mbili mbili na naamini hata Leo hii wapo waliosaini posho mbili maeneo tofauti.
Unategemea huyu MTU anayemwibia mwananchi ndiye ashinikize mwizi akamatwe?
Lakini tujiulize kuna mkubwa gani asiyetokana na ukoo wa mkubwa? Watu wote wanateuliwa kutokana na connection; kama wapo watoa connection wanakosekana vipi wazima Shari?
Leo akionekana kwenye wezi yupo mtoto wa kigogo unadhani kuna uchunguzi utafanyika? Wajanja wote nchini wanaiba Kwa network na kwenye network Wana make sure yupo kigogo au ndugu ya kigogo; chunguza ufukuzwe kazi .Kamata ukamatwe. Hii ni dhambi iliyozalishwa na makuzi yetu. Hatujazaliwa Kula vya Haki tumezaliwa Kula vyakunyonga.
Hebu jiulize Mwanasheria Mkuu WA serikali anapotetea wanasiasa wapite Bila kupingwa anamtetea mwananchi? Huu ni mfano mdogo kwamba jamii yetu haitaki kuishi Kwa Haki, watu wanawaza ustawi WA familia zao siyo familia zetu.
Unaiba milioni Mia unakaa ndani miezi then unahukumiwa kulipa milioni tano, Nani ambaye ataogopa kufanya biashara yenye faida kubwa kiasi hiki?
Maskini wa Tanzania tafteni pesa hakuna tajiri mfungwa.
Wanasiasa wote walioiba na waliobambikiwa kesi wapo uraia na wananchi wanampongoza awamu ya sita Kwa kuwaachia matajiri; lakini tujiulize NI maskini gani ameachiwa Kwa majadiliano? Kwanza Nani wakukuruhusu ukanyage red carpet kama umechoka?
Naandika huu ukweli kumaanisha kwamba si Bunge wala serikali watakashinikiza mwizi tajiri afungwe. Kelele zinazoendelea bungeni si za Leo, maisha haya yakukwapua yanaanzia Kwa watunga sheria.
Wapo wabunge wanalipwa posho Bila kuwepo kwenye vikao; wapo wabunge wanalipwa posho mara mbili mbili na naamini hata Leo hii wapo waliosaini posho mbili maeneo tofauti.
Unategemea huyu MTU anayemwibia mwananchi ndiye ashinikize mwizi akamatwe?
Lakini tujiulize kuna mkubwa gani asiyetokana na ukoo wa mkubwa? Watu wote wanateuliwa kutokana na connection; kama wapo watoa connection wanakosekana vipi wazima Shari?
Leo akionekana kwenye wezi yupo mtoto wa kigogo unadhani kuna uchunguzi utafanyika? Wajanja wote nchini wanaiba Kwa network na kwenye network Wana make sure yupo kigogo au ndugu ya kigogo; chunguza ufukuzwe kazi .Kamata ukamatwe. Hii ni dhambi iliyozalishwa na makuzi yetu. Hatujazaliwa Kula vya Haki tumezaliwa Kula vyakunyonga.
Hebu jiulize Mwanasheria Mkuu WA serikali anapotetea wanasiasa wapite Bila kupingwa anamtetea mwananchi? Huu ni mfano mdogo kwamba jamii yetu haitaki kuishi Kwa Haki, watu wanawaza ustawi WA familia zao siyo familia zetu.
Unaiba milioni Mia unakaa ndani miezi then unahukumiwa kulipa milioni tano, Nani ambaye ataogopa kufanya biashara yenye faida kubwa kiasi hiki?
Maskini wa Tanzania tafteni pesa hakuna tajiri mfungwa.