democracy

  1. Mto Songwe

    Malcolm X speech democracy is hypocrisy/Demokrasia ni unafiki

    Malcolm X anasema kuwa demokrasia ni "unafiki". Ni tofauti kabisa na inavyoandikwa na kuhubiriwa duniani. Kwa kiasi kikubwa sasa dunia inashuhudia huu unafiki uitwao demokrasia. Tumsikilize kwa makini hapa
  2. Roving Journalist

    Wiki ya AZAKI: Mabunge yetu hayajui kitu kuhusu Ulinzi wa Data

    Bodi member wa JamiiForums atashiriki mjadala wa Tech, Democracy & Decolonization: Interplay and Impact ambao unafanyika katika wiki ya Azaki, AICC Arusha. Wazungumzaji wengine ni Deogratias Bwire, Harold Sungusia (Rais wa TLS), Andrew Karamagi (MSCTDC), Aikande Clement Kwayu (Board Member JF)...
  3. The Sheriff

    Amani, Uhuru, na Ustawi wa Kiuchumi ndiyo mambo pekee yatakayoiepusha Afrika na Mapinduzi ya Kijeshi

    Maendeleo ya Afrika yanakwamishwa na serikali zilizojaa ukandamizaji, taasisi zinazotumia rasilimali kwa faida ya wachache, na viongozi wanaoona siasa kama njia ya kujinufaisha. Misingi ya jamii inayofanya kazi vizuri na kuwajumuisha watu wote katika nchi nyingi za Afrika mara nyingi haipewi...
  4. Mto Songwe

    TUNAHITAJI parliamentary democracy (system ) sio kuendelea chini ya Presidential democracy (system )

    Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system. Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati Nyerere anakabidhiwa nchi kwa kuhamisha mfumo wa Taifa kutoka mamlaka kwa bunge kwenda mamlaka yote...
  5. B

    Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

    Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao. Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao...
  6. The Sheriff

    Uhuru wa Kujieleza Unaendelea Kushambuliwa Katika Maeneo Mengi Duniani

    Jinsi tunavyoiona dunia na kuitendea inategemea sana taarifa tulizo nazo. Hii ndiyo sababu uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari ni haki za kimsingi, na mtiririko huru wa mawazo ni kichocheo kikuu cha maendeleo jamii na ustawi wa binadamu. Hata hivyo, uhuru wa mawazo na...
  7. S

    Kura ya maoni huko Ukraine yaingia siku ya mwisho, raia kujiamulia hatma yao wenyewe

    Leo ndio siku ya mwisho ya kura za maoni huko Donetsk, Lugansk, Zaporizhzhye na Kherson. Raia wa maeneo hayo wanaamua hatma yao kupitia sanduku la kura maarufu kama democracy (ma-LGBTQ yatanuna🤣🤣😇😇). Muitikio wa raia kujitokeza kupiga kura umekuwa mkubwa mno tofauti na ma-LGBTQ yalivyotegea...
  8. M

    A transient democracy: My reflections of 30 yrs of multiparty democracy in Tanzania

    Prior to July 1st, 2022 I took time to read written records about a movement towards re introduction of pluralistic politics in Tanzania. On the onset it is important to note that since January, 2021 I have embarked on writing a book about our recent political history and my participation in...
  9. N

    Mbunge gani katika bunge letu la sasa tunaweza kumpa shida/tatizo au siri na akatusaidia kwa hoja, kama ilivyokuwa awali?

    Heshima kwema JF Moja kwa moja kwenye hoja, zamani wananchi walikuwa wanaibua uozo uliko ndani ya wizara, mkoa, wilaya, Idara au hata mashirika ya umma kwa kutoa siri ya kinachoendelea kwa wabunge wa upinzani iliwanjenge hoja na kulisidia taifa kutokana hali hiyo. Rejea Richmond, chuo cha KIU...
  10. C

    Kuwe na Uhuru wa Mahakama katika masuala ya Kidemokrasia

    Kama wote tutakuwa sawa chini ya sheria na hakuna hata mmoja atakayekuwa juu ya sheria hiyo ndiyo itakapokuwa nchi yenye misingi ya kisheria. Sheria inatakiwa imuhusishe kila mtu ndani yake ukiingiza na serikali ndani yake kwani serikali pia imebeba watu inaowatumikia katika kufanya kazi katika...
  11. C

    Jaji Makambara: Hakuna Sheria mbovu, kuna Sheria zilizopitwa na wakati

    Maneno haya yalizungumzwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria akizungumzia hayo katika Mkutano wa Miaka 30 ya Demokrasia ya Vyama Vingi. Mkutano uliohudhuriwa na baadhi ya viongozi wa serikali na vyama vya kisiasa kama vile ACT, Chadema na wengine lakini Chama Tawala kilitoa Udhuru kutokana na...
  12. Mathanzua

    World Economic Forum, Klaus Schwab calls for higher gas prices to save democracy

    The World Economic Forum (WEF) on Monday released a position paper 👇 World Economic Forum Paper: Gas Prices Must Go Higher to Save Democracy https://www.newsmax.com/newsfront/world-economic-forum-fossilfuel-democracy-gas/2022/07/11/id/1078214/ The paper reiterates that lowering fossil fuel use...
  13. Erythrocyte

    Mwanza: Nguvu ya Umma yalidhibiti Jeshi la Polisi kuzuia fulana za Katiba Mpya Uwanjani

    Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea mchezo wa soka wa Yanga na Simba. Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia...
  14. G

    The office of registrar of political parties defiles democracy

    It is an absurd and inconceivable by all democracy lovers to see how the office of registrar of political parties meddles and reacts to hooliganism going on in NCCR-MAGEUZI. Instead of mitigating the conflicts in the party, this office has fueled anger and facilitated deep divisions. Why this...
  15. Suley2019

    Joseph Selasini: Mwaka 2020 Mbatia alitupeleka na Anthony Komu kwa Dkt. Bashiru Ally kufanya makubaliano na CCM

    Picha: Joseph Selasini Joseph Selasini: Kuna barua inaonekana kusambaa katika mitandao ya kijamii ikidaiwa kusaini wa na katiba kata wa Makiidi nyumbani kwetu, ikinihusisha mimi na uanachama wa CHADEMA. Niliondoka CHADEMA mwezi Juni 2020, na tangu nilipoondoka CHADEMA sikurejea tena" Joseph...
  16. B

    Former President Obama speaks on disinformation's threat to democracy — 4/21/22

    21 April 2022 Former President Obama speaks on disinformation's threat to democracy — 4/21/22 Former President Barack Obama delivers a keynote address at Stanford University about disinformation and challenges to democracy in the digital realm. The event is co-hosted by the Freeman Spogli...
  17. The Sheriff

    Mkutano wa Kitaifa wa Haki, Amani na Maridhiano, 2022: Rais Samia asema Maendeleo hayafanywi na CCM na Rais pekee, aahidi ushirikiano na vyama vingine

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano wa Kitaifa wa Haki, Amani na Maridiano ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo tarehe 05 Aprili, 2022 katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma. ========= Updates: RAIS SAMIA AMEELEZA HAYA: Binafsi...
  18. The Sheriff

    Ushiriki Huru wa Wananchi Katika Shughuli za Kisiasa Ndiyo Msingi Thabiti wa Utawala Bora

    Ushiriki wa umma katika masuala ya kisiasa na kidemokrasia hauishii kwenye kufahamu tu yanayoendelea, bali wanaoathiriwa na maamuzi wana haki ya kushirikishwa kisawasawa katika mchakato wa kufanya maamuzi hayo. Ushiriki huu ni sehemu muhimu ya utawala wa kidemokrasia. Lengo kuu la...
  19. The Sheriff

    Kusinyaa kwa Nafasi ya Kiraia (Civic Space) Tanzania: Si salama kuendelea kuishi chini ya Sheria kandamizi

    Kumekuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu kusinyaa kwa Nafasi ya Kiraia (civic space), yaani ushiriki huru katika masuala ya kidemokrasia nchini Tanzania kabla na baada ya uchaguzi wa tarehe 28 Oktoba, 2020. Serikali sio tu ilijionesha wazi kukandamiza vyombo vya habari, lakini pia kudhoofisha uwezo wa...
  20. The Sheriff

    Kunyimwa Uhuru wa Kujieleza ni kunyimwa Haki ya msingi ya ushiriki katika maendeleo ya nchi yako

    Wakati viongozi wakitazamia kusimika mabavu yao, kwa kawaida huwa wanashambulia haki zetu za uhuru wa kujieleza kwanza. Tumeona mchezo huu mara nyingi. Kwanza wanashambulia vyombo vya habari, kisha taasisi za kidemokrasia, na kisha, taratibu, wanachukua uhuru wetu. Namna ambayo serikali...
Back
Top Bottom