Mbekenga
JF-Expert Member
- Jun 14, 2010
- 3,262
- 8,097
Niliwapa ukweli kama huu mabinti wa ofisini ila sijui kama walinielewa.Idadi ya singo maza ni kubwa sana Usisahau pia wanawake wengi age under 25 wapo katika machaguzi awe, mrefu awe na hela ,mwanaume asiyejua kuvaa simtaki kipindi hichi mnakuwa na market kubwa sana mnajaa dharau na kiburi matokeo yake ndio hayo mnakutana na wahuni kuzalishwa na kuachwa mkifika miaka 31 tunawaona hata hapa jf tena vigezo vikiwa vimepungua kabisa