Idadi ya singo maza ni kubwa sana Usisahau pia wanawake wengi age under 25 wapo katika machaguzi awe, mrefu awe na hela ,mwanaume asiyejua kuvaa simtaki kipindi hichi mnakuwa na market kubwa sana mnajaa dharau na kiburi matokeo yake ndio hayo mnakutana na wahuni kuzalishwa na kuachwa mkifika miaka 31 tunawaona hata hapa jf tena vigezo vikiwa vimepungua kabisa
Niliwapa ukweli kama huu mabinti wa ofisini ila sijui kama walinielewa.
 
Shida yangu kwanini uzae ni single Maza na uleee watoto wake wakati kuna wasichana kibao wamejaa Tena hawana watoto.


Mwanaume tafuta pesa wanawake wapo wengi sio kwenda kujibana Kwa singo mama
Okey.
 
Utasikia...mimi sipendagi ahadi za uongo....ukisikia hii juua mbele kuna kona kaki na mteremko mkali, kushoto kuna mto😂😂😂😂
😅😅😅 sema hizi siku mbili tatu watu wana malalamiko sana kuhusu single mother ... sijui watalaamu wana fail wapi
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Nini kimekupata
 
Single mothers ni kama pazia au mlango ulioegeshwa ambao unajifungukia tu hata kwa upepo.
Zaidi huanzisha mahusiano na wewe kama bega la kuegemea kipindi analia, ukishampa bega anaanza kumfikiria mtu wake, akiona mtu wake kaanza mahusiano atataka afanye juu chini kushindana na msichana mpya wa mtu wake, na hapo ndipo hujipeleka wenyewe kwa gharama nafuu kuliko fungu la bamia.
Umetisha
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Haya makitu hayana shukrani kabisa yana sahau haraka sana, ukiwanalo lifanye spam dustbin.
 
Back
Top Bottom