Aisee! Hii imetokea mtaani kwetu, kuna Single Mother alikuwa ameolewa na Jamaa mwenye pesa.
Kama unavyojua maisha ni kupanda na kushuka, yule jamaa kafukuzwa kazi na hana inshu yoyote zaidi ya kupambana na vikazi vidogo mtaani.
Hauwezi amini yule Mwanamke kambeba mwanae na kumkimbia jamaa na mbaya zaidi amerudisha ukaribu na Baba Mtoto wake.
Baba mlezi anasema anajuta sana kumuoa yule Single mother kwani amemgeuka na mbaya zaidi amerudiana na Baba mtoto.
AMA KWELI ASIE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA UGOKO.
Kama unavyojua maisha ni kupanda na kushuka, yule jamaa kafukuzwa kazi na hana inshu yoyote zaidi ya kupambana na vikazi vidogo mtaani.
Hauwezi amini yule Mwanamke kambeba mwanae na kumkimbia jamaa na mbaya zaidi amerudisha ukaribu na Baba Mtoto wake.
Baba mlezi anasema anajuta sana kumuoa yule Single mother kwani amemgeuka na mbaya zaidi amerudiana na Baba mtoto.
AMA KWELI ASIE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA UGOKO.