Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
baada ya kukukuta
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Asilimia 90 wako kimaslah muda wote wanahis wanaachwa tena wanaish kimashaka wanakuwa Na tamaaa lazima mwisho Wa siku lazima akupige tukio zito Na jiwe fatuma
 
Wanaume wenye sifa za kuoa wamepungua, ndio maana wadada wanaamua bora tu wawe na watoto
 
Wanaume bhana,humu mko busy kukandia wakati most of them mna single mother zaidi ya wawili,

Isitoshe Kuna mliolelewa na single mothers,wajomba zenu,au baba zenu wa kambo..

Kwa kweli single mother aliyenilea alishanikataza mara kadhaa kujihusisha na single mothers tena kwa sio kukataa kwa nadharia ni kwa vitendo, basi kuna mwaka nikalazimisha kama mtoa mada, nikakutana na upper cut ,chembe kidevu, Lazima ukae…..nikakumbuka ile methali.
 
Kwa kweli single mother aliyenilea alishanikataza mara kadhaa kujihusisha na single mothers tena kwa sio kukataa kwa nadharia ni kwa vitendo, basi kuna mwaka nikalazimisha kama mtoa mada, nikakutana na upper cut ,chembe kidevu, Lazima ukae…..nikakumbuka ile methali.
Huyo single mother aliyekulea unamaanisha ndio mama Yako mzazi sio?
 
Mkongwe yameshakusibu

Mimi siamini na sintakuja kuamini eti binadamu Ni sawa, mienapinga hii Tabia ya mjumuisho. Haiwezekani single mazas wote wawe sawa, wapo wema wenye kujielewa, yapo mandunduke.
Hata wasiokuwa single mazas, wapi wema, yapo madunduke.
Sisi wanaume wapo wema halafu na sisi madunduke tupo


Asilimia kubwa wana behave haya yanayosemwa humu, na ya humu ndio asilimia kubwa ni ya mtaani tunamoishi
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Naunga mkono hoja...hakuna rangi utaacha kuona
 
Yaan bora utumie nguvu kubwa kwa vibint vya 22yrs kuliko hii MIDUBWASHA SINGLE MOM. Mim nimeipata kama miwili kwakweli mtihani mtupu

1:LA KWANZA
Hili limekuja na option yakutaka kila siku nilihudumie, sasa mimi nikamuuliza wewe si unamtoto?? vipi kuhusu baba yake?? likanijibu wewe uwe unanitumia hela ya kula kila siku.

Nilichofanya wala sukuhangaika nalo, baada ya siku mbili tatu likanitumia picha ya gauni nilinunulie, mara kaja ofisini nikalipotezea na block juu.

2:LA PILI
Hili kama tunawindana, yaan mapenz yamekuwa kama vile Wagner na Putin, kama linakisasi linataka kunikomoa mie, yaan linataka kulipiza nabaki nalichora najisemea Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.


Ukitaka kupata kero date na watu hawa MA SINGLE MOM, kwakweli ni bora upambane wanachuo sio hii Midubwasha, yaan linajikuta kama lipo bikra vile.
 
Yes, yes , ila sijui aliona nini au huwa anawazaga nini…alisema kwanini? Kwani wanawake wameisha, alinipa sababu mostly zinazofanana na za humu, sijui ni member humu…akaniachia uhuru nikajikuta naweza nikayavagaa kweli.
Kwa hiyo yeye alikuwa mtu wa cinema Kwa baba Yako?
 
Back
Top Bottom