namshangaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 4

    Msafara wa Makamu Mwenyekiti Chadema, Tundu Lissu wazuiliwa kuingia Ngorongoro

    Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro, Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka...
  2. Baba jayaron

    Namshangaa huyu mwanamke wangu

    Hope mpo salama, Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano. Mwanamke huyu ananishangaza saana, Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha...
  3. JanguKamaJangu

    Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

    "Namshangaa Hussein Bashe anataka pikipiki za maafisa Ugani zifungwe GPS, mbona wao kwenye V8 zao hawajafungiwa" Devotha Minja. Mbunge wa wananchi Jimbo la Morogoro Mjini. Chanzo: Jambo TV === Devotha Minja, ambaye alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya CHADEMA...
  4. sifi leo

    Namshangaa mke wangu ananunua sana CHUPI kuliko Sindiria ona sasa matiti yanadondoka TUBWi, hadi wa Ng'ambo wanaliona TITI lililo lala ni aibu

    Miaka kadhaa iliyopita nikiwa maeneo ya Namanga Makangira nikiwa njiani kuelekea kanisa la St Peter pale, nilipofika karibu na shule ya msingi Mbuyuni Kuna gari moja ilitokea Mwenge, karibu na Mbuyuni palikuwa na kijishimo uchwara yule bwana aliendesha gari Kwa kasi na kunimwagia Yale maji(kama...
  5. W

    Askofu Gwajima: Spika Ndugai ni boss wangu lakini namshangaa sana, ajiuzulu haraka sana

    Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa' Aidha amesema suala la...
  6. mathsjery

    Huyu jamaa, namshangaa sana!

    Okay, Kuna jamaa yeye huwa anafanya kazi akiwa na shida ya hela akipata hafanyi mpaka ziishe yaani anaweza nunua tv, sofa na kitanda lakini pia akanunua mahitaji ya nyumbani, basi anaweza kaa, kaa bila kufanya kazi na king'amuzi chake cha Dstv mpaka yakaisha na ikikaribia mwisho wa mwezi anauza...
  7. M

    Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

    Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi? At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu...
Back
Top Bottom